Wana jamvi napenda kujua ni shule gani ambayo imetoa wasomi weng sana kuliko shule nyingne, kuna tetesi kuwa eti ni mzumbe na tabora boys je kweli'? Naomba msaada wadau
Ni Tanga school ndo inaongoza kwa kutoa prof wengi!
Hao maprofesa wamesaidia nn taifa zaidi ya kukimbilia siasa na kufisadi nchi.
Ndiyo maana unaitwa Qeen! Yaani mpaka leo yote haya huyaoni.!!!!
Wana jamvi napenda kujua ni shule gani ambayo imetoa wasomi weng sana kuliko shule nyingne, kuna tetesi kuwa eti ni mzumbe na tabora boys je kweli'? Naomba msaada wadau
tobaaaaaaaaaaaaaaaaaMpwapwa sekondari moprofesa wengiii
tobaaaaaaaaaaaaaaaaa