Ni shule tanzania imetoa maprofesa wengi zaidi

Ni shule tanzania imetoa maprofesa wengi zaidi

Hapo ndipo huwa nachoka kabisa, haya niseme Ihungo sekondari inaongoza kwa kutoa maprof wengi! Sasa mantiki inakuja wamefanya jipya lipi kwa watanzania? Mbona hata Mengi anawazidi ni mjasiri amali? Hata Ruge anawazidi kuwa na manufaa? Mbona wizara wanaboronga wakipewa? Mbona bungeni wengi wao hutoa point zisizo na mashiko? Bora tuseme michango yao kwa jamii sio matumbo yao tu.
 
wana jamvi napenda kujua ni shule gani ambayo imetoa wasomi weng sana kuliko shule nyingne, kuna tetesi kuwa eti ni mzumbe na tabora boys je kweli'? Naomba msaada wadau
maprof wengi ni wazee na walisoma kipindi hicho wakati shule zipo chache saana so walilazimika kusoma shule kama hizo.angalia shule za vipaji za zamani kuliko zote kwa mpangilio utajua hilo .tabora na mzumbe ni kweli ila sijafaya research maana hiyo research kwangu ni useless
 
Wana jamvi napenda kujua ni shule gani ambayo imetoa wasomi weng sana kuliko shule nyingne, kuna tetesi kuwa eti ni mzumbe na tabora boys je kweli'? Naomba msaada wadau

Hamna ukweli wowote!! Na hakuna shule (ya olevo au advance) inayotoa msomi au profesa!! Bali ni vyuo ndivyo vinatoa wasomi au ma profesa!!
 
alharamain seminary

Tabora school(taboraboys) maprofesa wa kumwagaaaa

haiwezi kuwa kweli
hii shule ya kawaida sana

Mpwapwa sekondari moprofesa wengiii
shule ya sekondari ina maprofesa??
tosamaganga

Ni Tanga school ndo inaongoza kwa kutoa prof wengi!

ndanda boys high school

kantalamba secondary

Ndanda boys imemtoa Mkapa tu tena mwenye Phd ya kupewa na enzi zile ilikuwa mixture boys imeanza miaka ya 2000's

malangali secondary ndo baba lao

Au mimi ndio sielewi!!! maprofesa wanatokea shule za sekondari au vyuoni embu naomba mnijibu tafadhali??
 
Mimi sijui,anayejua anisaidie kujua wamewahi kugundua nini kinachowasaidia watanzania hadi sasa,
MMoja ninayemjua ana bendi ya mziki,hivi
huyu naye tujivunie shule aliyosoma au wingi wao?
 
shule ya sekondari ina maprofesa??












Au mimi ndio sielewi!!! maprofesa wanatokea shule za sekondari au vyuoni embu naomba mnijibu tafadhali??

Yaani shule za secondary ambazo maprofesa walisomea mfano,JUMA KAPUYA(BOTANIST) kasomea TABORABOYS ,IBRAHIM LIPUMBA(ECONOMIST) TABORABOYS
 
shule ya sekondari ina maprofesa??












Au mimi ndio sielewi!!! maprofesa wanatokea shule za sekondari au vyuoni embu naomba mnijibu tafadhali??

Nawewe usijifanye kichwa ngumu au mjuaji kwa huyo prof hakupitia kindergarten au primary au alizaliwa tu akawa prof mwenzako kauliza shule ambazo hao maprof walisoma kabla hawajafika huko vyuoni.
 
Na mm ya kwangu hatuko nyuma "Musoma (technical /Alliance) High School, nadhani tunaongoza kwa Maprofesa, MaDR na Viongozi wakubwa serikalini.
 
Am very proud shule yangu ya olevel imemtoa mbunge machachari Mh Sugu
 
Back
Top Bottom