Ni Signature ya producer gani Bongo huwa ina Swag na inakuvutia? ( Producer Mkali wa Signature)

[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] baada ya kuandika comment yangu ndo naona tulikua na mawazo sawa...

me nasemaga diva makoo u killing 'em[emoji23][emoji23][emoji23] kune wimbo wa OLE
 
Pancho alikuaga na Signtune kweli?me nilikua naiskia ya Hammy B tu hadi kwenye ngoma za Pancho"Kwenye track hii ya Hammy Biiiiiii"
[/QUOTE haha! Hujawahi kusikia pancho latino mfano katika nyimbo ya linah bora nikimbie au ile
Pancho alikuaga na Signtune kweli?me nilikua naiskia ya Hammy B tu hadi kwenye ngoma za Pancho"Kwenye track hii ya Hammy Biiiiiii"
Anayo ile ya Upwee
 
Inagonga midundo hiyo na wasanii wetu wa Lake Zone kama kina SAIDA KAROLI, BK SANDE, KYANA KYO MUHAYA, MWL GEORGE SURA 2, BHADAGALA, MCHELEMCHELE, YA LEO KALI, LADY KILLY N.K
Bk sande anajua Sana tatizo anapiga Sana urabu.
 
The Mix Killer
Neym
Abbah
Mocco
S2Kizz baby
Kamix Lizer
Yogo on the beat
Chiby
Kimambo on the beat
Bear
 
Hupaaah Hupaaaaaa! Pancho M.A.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…