Ni Signature ya producer gani Bongo huwa ina Swag na inakuvutia? ( Producer Mkali wa Signature)

Ni Signature ya producer gani Bongo huwa ina Swag na inakuvutia? ( Producer Mkali wa Signature)

Kwa wadau wa Muziki mnajua namna vionjo vya maprodyuza vinavyonogesha nyimbo. Je wewe kwako ni signature gani huwa zinakuvutia. Kwangu ni:

1. Abba

2. Uprise Music Baby ( Kijisauti cha mrembo )

3. Nahreel On the beat

4. Kwenye Track hii na Hermy B

5. Maximizer ( Huyu naona kachukua nafasi ya Mazuu )

6. Tudd Thomas

7. Luffa

What's yours
me man water hataji jina utaskia vimaji tu tchwaaaaaaa....no name ujue man water
 
Kwa wadau wa Muziki mnajua namna vionjo vya maprodyuza vinavyonogesha nyimbo. Je wewe kwako ni signature gani huwa zinakuvutia. Kwangu ni:

1. Abba

2. Uprise Music Baby ( Kijisauti cha mrembo )

3. Nahreel On the beat

4. Kwenye Track hii na Hermy B

5. Maximizer ( Huyu naona kachukua nafasi ya Mazuu )

6. Tudd Thomas

7. Luffa

What's yours
Daz naledge
 
Halafu kuna signature fulani hivi inatajwa...'Mbeya' 'Mbeya' sijajua ni producer gani

Ipo kwenye nyimbo ya Stamina na Maua sama Love me, Muda ya ChidBenz na Qchief, aje mwenyewe ya Young killer,Stamina na Billnass

Anaeijua ni ya producer gani anifahamishe
 
1. Zest Is On This Beat Ladies And Gentlemen (Moja Moja Records)..

2. Enzi Hizo Dunga Anatamba Joh Makini ansema "DUNGA UTAWAUA" Dunga anajibu "MY CONDOLENCES".. (41 RECORDS)

3. LUCCI

4. MAN WALTER ULE MTIRIRKO WA MAJI

5. Abby Daddy..
Lucci yuko wap siku hizi?? alikuwa anampatia CPwaa
 
Kwa wadau wa Muziki mnajua namna vionjo vya maprodyuza vinavyonogesha nyimbo. Je wewe kwako ni signature gani huwa zinakuvutia. Kwangu ni:

1. Abba

2. Uprise Music Baby ( Kijisauti cha mrembo )

3. Nahreel On the beat

4. Kwenye Track hii na Hermy B

5. Maximizer ( Huyu naona kachukua nafasi ya Mazuu )

6. Tudd Thomas

7. Luffa

What's yours
aby dady
 
Back
Top Bottom