Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku ya kuanza hedhi ukiihesabu kama moja , hesabu siku 14 ndio yai lingine hutoka, lakini mbegu za kiume huishi mpaka masaa 48 yaani siku mbili kwa hiyo mkingonoka siku ya 12 tokea kuanza kwa hedhi basi siku ya 14 yai likitoka litakutana na mbegu, pia baada ya yai kutoka huishi siku 2 so mtu anaweza pata mimba kuanzia siku ya 12-17 tokea kuonekana kwa hedhi,
NB:siku 14 za ovulation ni fixed haajalishi mwanamke ana mzunguko wa siku ngapi