sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Niliwahi kumpa mwanafunzi mwenzangu shilingi laki 3 tukiwa chuo, yeye akiwa mwaka wa mwisho ili alipie kodi ya geto lake mimi nikirudi nihamie.
Aliingia mitini kwa miaka mitatu hivi, siku ya siku nikiwa sina hili wala lile napokea meseji, shilingi laki 3 na elf 20 imeingia, napokea na meseji nimetuma na yakutolea kwenye lile deni.
Mambo yalikuwa hayasomeki yaani, lakini siku ilimeremeta.
Aliingia mitini kwa miaka mitatu hivi, siku ya siku nikiwa sina hili wala lile napokea meseji, shilingi laki 3 na elf 20 imeingia, napokea na meseji nimetuma na yakutolea kwenye lile deni.
Mambo yalikuwa hayasomeki yaani, lakini siku ilimeremeta.