Ni siku ipi nzuri kwako ilikuwa na matukio nadra mazuri kwako?

Ni siku ipi nzuri kwako ilikuwa na matukio nadra mazuri kwako?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Niliwahi kumpa mwanafunzi mwenzangu shilingi laki 3 tukiwa chuo, yeye akiwa mwaka wa mwisho ili alipie kodi ya geto lake mimi nikirudi nihamie.

Aliingia mitini kwa miaka mitatu hivi, siku ya siku nikiwa sina hili wala lile napokea meseji, shilingi laki 3 na elf 20 imeingia, napokea na meseji nimetuma na yakutolea kwenye lile deni.

Mambo yalikuwa hayasomeki yaani, lakini siku ilimeremeta.
 
Ndio ujue kuna watu maisha ndio yanawafanya wawe wasanii,

Mimi pia kuna Rafiki alishwahi ni tumia ila sio kwa wema, mambo yake yalikua hayaendi kabisa akaamini sbb ya lile deni kumbe mi nilishasahau.
 
Niliwahi kumpa mwanafunzi mwenzangu shilingi laki 3 tukiwa chuo yeye yupo mwaka wa mwisho alipie kodi ya geto lake mimi nikirudi nihamie, aliingia mitini kwa miaka mitatu hivi, siku ya siku nikiwa sina hili wala lile napokea mesej, shilingi laki 3 na elf 20 imeingia, napokea na mesej nimetuma na yakutolea kwenye lile deni,, mambo yalikuwa hayasomeki yani lakini siku ilimeremeta.
Hiyo ni sawa na kubeti. Pata potea
 
Nimeajiliwa sehem nimekaa siku mbili sina kazi yoyote yani naamkia ofsini lakin hamna kazi nafanya , na mkataba sijasaini aisee wenge kama lote ..siku ya tatu kama kawaida nawahi asubuhi nakaa ofsin bila kazi mida ya saa nne napewa taarifa nijiandae kwa safari ya miezi sita nje ya ofsi nikafanya logistic za safari nikapewa pesa yote ya miezi sita ...kilichofata hehe ..!


Nko mwaka wa pili mambo yamebana sina hata Mia mawazo kedekede nahisi kama dunia imenitenga ...nikawaza Acha nifanye usafi wa geto ,nikasafisha geto nikamaliza nikatoa nguo ili nifue nikafua mashati na t-shirt nikamaliza nika anza kufua suruali ile nagusa suruali ya kwanza nakagua mifuko hehehe nakutana na elfu 30k Akili ilihama hapo hapo isitoshe nilikua na kiu koo linawasha zile nguo niliacha pale pale ratiba ya kufua ikaishia palepale hata geto sikufunga nilienda kusuuza koo mpka Leo sijawahi kurudi ...
 
Nko mwaka wa pili mambo yamebana sina hata Mia mawazo kedekede nahisi kama dunia imenitenga ...nikawaza Acha nifanye usafi wa geto ,nikasafisha geto nikamaliza nikatoa nguo ili nifue nikafua mashati na t-shirt nikamaliza nika anza kufua suruali ile nagusa suruali ya kwanza nakagua mifuko hehehe nakutana na elfu 30k Akili ilihama hapo hapo isitoshe nilikua na kiu koo linawasha zile nguo niliacha pale pale ratiba ya kufua ikaishia palepale hata geto sikufunga nilienda kusuuza koo mpka Leo sijawahi kurudi ...
Huna akili
 
Nimeajiliwa sehem nimekaa siku mbili sina kazi yoyote yani naamkia ofsini lakin hamna kazi nafanya , na mkataba sijasaini aisee wenge kama lote ..siku ya tatu kama kawaida nawahi asubuhi nakaa ofsin bila kazi mida ya saa nne napewa taarifa nijiandae kwa safari ya miezi sita nje ya ofsi nikafanya logistic za safari nikapewa pesa yote ya miezi sita ...kilichofata hehe ..!


Nko mwaka wa pili mambo yamebana sina hata Mia mawazo kedekede nahisi kama dunia imenitenga ...nikawaza Acha nifanye usafi wa geto ,nikasafisha geto nikamaliza nikatoa nguo ili nifue nikafua mashati na t-shirt nikamaliza nika anza kufua suruali ile nagusa suruali ya kwanza nakagua mifuko hehehe nakutana na elfu 30k Akili ilihama hapo hapo isitoshe nilikua na kiu koo linawasha zile nguo niliacha pale pale ratiba ya kufua ikaishia palepale hata geto sikufunga nilienda kusuuza koo mpka Leo sijawahi kurudi ...
Mkuu wewe ni noma
 
Niliwahi kumpa mwanafunzi mwenzangu shilingi laki 3 tukiwa chuo, yeye akiwa mwaka wa mwisho ili alipie kodi ya geto lake mimi nikirudi nihamie.

Aliingia mitini kwa miaka mitatu hivi, siku ya siku nikiwa sina hili wala lile napokea meseji, shilingi laki 3 na elf 20 imeingia, napokea na meseji nimetuma na yakutolea kwenye lile deni.

Mambo yalikuwa hayasomeki yaani, lakini siku ilimeremeta.
Siku niliyo tahiriwa baada ya kutoka pale kitandani nilifurahi sana ,maana nilikua naiwazia sana Jando vitisho vingi mara ooooooh inauma sana,kumbee
 
Siku nimenunua gari ya kwanza kwa pesa cash.
Yaani naamka usiku nalichungulia dirishani. Usiku silali kwa mawenge, nawaza safari tu. Yaani nilikua nawahi kazini hatari. Mida ya lanch naweza toka mpaka parking just nilione tu. Ikifika mida ya jioni ndio mawazo yote yanahama hapo kazi haziendi nawaza jinsi gani nitaendesha back home.
 
Siku nimenunua gari ya kwanza kwa pesa cash.
Yaani naamka usiku nalichungulia dirishani. Usiku silali kwa mawenge, nawaza safari tu. Yaani nilikua nawahi kazini hatari. Mida ya lanch naweza toka mpaka parking just nilione tu. Ikifika mida ya jioni ndio mawazo yote yanahama hapo kazi haziendi nawaza jinsi gani nitaendesha back home.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom