hah
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 507
- 1,004
muulize mleta thridiKunyonya mbususu ni starehe kwako au unampa starehe Mtu mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muulize mleta thridiKunyonya mbususu ni starehe kwako au unampa starehe Mtu mwingine
Ni hobby, ni starehe ndiyo. Kuna mwingine bila kuzama uvinza hajaenjoy 😁Kunyonya mbususu ni starehe kwako au unampa starehe Mtu mwingine
Kwani starehe unafanya 24/7?Utafanya ibada 24/7?
Wanawake,sigara, bange, madawa ya kulevyaMm binafsi ni Kuvuta Ganja, kunyonya Mbususu au kula Gambe.
Wewe Je?
Kuliko niwe bonge bora nife ila sipendi hiyo kitu kabisa😁😁Unakosa uhondo banaaa
Au we bonge??
Zipline ni kitu ya kuogopa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimetamani kukuona.
Hiyo paff nina wasiwasi nayo.🤣🤣🤣🤣 oyaaaa
Mary jane iko kwa forehead. Nikupasie paff kidogo tujimalize? Maana hamna konyagi ya baridi
🤣🤣🤣aiiiiiKuliko niwe bonge bora nife ila sipendi hiyo kitu kabisa😁😁
Na unavyoipenda wewe.Ni hobby, ni starehe ndiyo. Kuna mwingine bila kuzama uvinza hajaenjoy 😁
Mama weee mpk Olkokola unapajua😂😂😂 uwiii nakugawaHiyo paff nina wasiwasi nayo.
Siku hizi chuga mnatuona hatujua ladha, mna tuuzia taka taka sana.
Mimi nikiwa huko naenda mwenyewe buchani kisimiri au olkokola.
Nikikosa bora skanka tu😀
Aiii🤣🤣Starehe ni nini kwanza?
kuna watu wametaja majukumu ya familia hapa
Olkokola ndiko nilipata nauli ya kwenda masomoni huko🤣Mama weee mpk Olkokola unapajua😂😂😂 uwiii nakugawa
paff kitu OG from Kenya 🤣🤣
Sasa ukichukulia Kenya ndio inakuwa OG ojijo 🤣🤣Olkokola ndiko nilipata nauli ya kwenda masomoni huko🤣
Hiyo ya kenya nakubali, japo inatolewa hapo olkokola na tarime.
😂😂😂😂
Olkokola pazuri kipindi cha mvua. Very greenSasa ukichukulia Kenya ndio inakuwa OG ojijo 🤣🤣
Wee usinambie? Sema Olkokola pazuri ukiondoa shida ya maji na lile vumbi. Pana vumbi orijino kama unga wa ngano