Ni starehe ipi huwezi kuifanya hata ushawishiwe?

Ni starehe ipi huwezi kuifanya hata ushawishiwe?

😂😂😂Nimecheka
Kunasiku nilitoka na rafikiyngu na mchumba Ake walikuwa wakiagiza bia mm naletewa soda nikasema hamnikomoi nikawa nakunywa nilikojoa Ile siku balaa 😂😂😂😂
Zingine nikabeba
🤣🤣🤣 uwiii sehemu km hizo jamani soda za nini? Hamna kupandisha visugar sugar kilazima.
We Jiagizie bavaria mdo mdo unaenda nao sawa
 
Back
Top Bottom