muulize mleta thridiKunyonya mbususu ni starehe kwako au unampa starehe Mtu mwingine
Ni hobby, ni starehe ndiyo. Kuna mwingine bila kuzama uvinza hajaenjoy 😁Kunyonya mbususu ni starehe kwako au unampa starehe Mtu mwingine
Kwani starehe unafanya 24/7?Utafanya ibada 24/7?
Wanawake,sigara, bange, madawa ya kulevyaMm binafsi ni Kuvuta Ganja, kunyonya Mbususu au kula Gambe.
Wewe Je?
Kuliko niwe bonge bora nife ila sipendi hiyo kitu kabisa😁😁Unakosa uhondo banaaa
Au we bonge??
Zipline ni kitu ya kuogopa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimetamani kukuona.
Hiyo paff nina wasiwasi nayo.🤣🤣🤣🤣 oyaaaa
Mary jane iko kwa forehead. Nikupasie paff kidogo tujimalize? Maana hamna konyagi ya baridi
🤣🤣🤣aiiiiiKuliko niwe bonge bora nife ila sipendi hiyo kitu kabisa😁😁
Na unavyoipenda wewe.Ni hobby, ni starehe ndiyo. Kuna mwingine bila kuzama uvinza hajaenjoy 😁
Mama weee mpk Olkokola unapajua😂😂😂 uwiii nakugawaHiyo paff nina wasiwasi nayo.
Siku hizi chuga mnatuona hatujua ladha, mna tuuzia taka taka sana.
Mimi nikiwa huko naenda mwenyewe buchani kisimiri au olkokola.
Nikikosa bora skanka tu😀
Aiii🤣🤣Starehe ni nini kwanza?
kuna watu wametaja majukumu ya familia hapa
Olkokola ndiko nilipata nauli ya kwenda masomoni huko🤣Mama weee mpk Olkokola unapajua😂😂😂 uwiii nakugawa
paff kitu OG from Kenya 🤣🤣
Sasa ukichukulia Kenya ndio inakuwa OG ojijo 🤣🤣Olkokola ndiko nilipata nauli ya kwenda masomoni huko🤣
Hiyo ya kenya nakubali, japo inatolewa hapo olkokola na tarime.
😂😂😂😂
Olkokola pazuri kipindi cha mvua. Very greenSasa ukichukulia Kenya ndio inakuwa OG ojijo 🤣🤣
Wee usinambie? Sema Olkokola pazuri ukiondoa shida ya maji na lile vumbi. Pana vumbi orijino kama unga wa ngano