Ni starehe ipi huwezi kuifanya hata ushawishiwe?

😂😂😂Nimecheka
Kunasiku nilitoka na rafikiyngu na mchumba Ake walikuwa wakiagiza bia mm naletewa soda nikasema hamnikomoi nikawa nakunywa nilikojoa Ile siku balaa 😂😂😂😂
Zingine nikabeba
🤣🤣🤣 uwiii sehemu km hizo jamani soda za nini? Hamna kupandisha visugar sugar kilazima.
We Jiagizie bavaria mdo mdo unaenda nao sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…