Ni story gani au mada gani uliikuta kwenye chombo cha usafiri ukaishia kucheka?

Ni story gani au mada gani uliikuta kwenye chombo cha usafiri ukaishia kucheka?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hello 👋

Tunatumia usafiri sana sana usafiri wetu daladala, mwendokasi, bajaji nk

Nisikuchoshe kuna tukio nishashuhidia na kusikia nikaishia kucheka mpaka mwisho wa safari

Ya kwaza ilikuwa mwaka 2015 nikiwa kwenye daladala kipindi cha uchaguzi tukifika kituo fulani sasa pembeni kulikuwa na nyumba inapiga wimbo wa ccm na mkoa huo wengi ni CUF sasa walivyosikia hivyo akasikika member mmoja akasema huyo anajifanya mwana ccm kindakindaki nyumba yake yenywe haitaji petrol kuchoma ase tukicheka sana

Nyingine juzi hapa nilikuwa kwenye mwendokasi picha inaanza kapanda mdada anamkoba sasa hakumuona mtoto chini akawa kaweka begi kichwani make akaibuka mzee anafoka wewe dada muonevu jambo ambalo kila mtu alikuwa aanashangaa

Wakati mgogoro uho ukiendelea akatokea mama mmoja anasema dereva shush hapo kuna mwanafunzi anashuka uku anamwambia pita haraka wasije kukupitisha akaibuka mzee anamjibu uyo mama hii sio daladala uhu ni mwendokasi kila kitu inasimama au wewe wa mbagala mgeni na mwendokasi?

Mama nae hakutaka kushindwa mimi sio mgeni mjini hapa kwa rafuzi ya kizalamo najua sana au wewe mwezetu wa masaki mbona una nongwa sana 🤣🤣🤣🤣

Mzee akajibu wewe watandale na hujawi panda mwendokasi wewe

Nilikuwa nacheka sana mpaka kufika home
 
Kuna mzee mmoja kwenye hiace njia nzima anajisifia kwenye simu oooh sasa hv ana hela wamempandisha cheo na mshahara kajipakulia minyama njia nzima..mwishoni nikasikia anasema aaah sasa hv nitakua na hela bhna laki 4 kwa mwezi sio hela ndogo

NB;kulikua hakuna haja ya kutaja kipato chako mbele za watu
 
Kuna mzee mmoja kwenye hiace njia nzima anajisifia kwenye simu oooh sasa hv ana hela wamempandisha cheo na mshahara kajipakulia minyama njia nzima..mwishoni nikasikia anasema aaah sasa hv nitakua na hela bhna laki 4 kwa mwezi sio hela ndogo

NB;kulikua hakuna haja ya kutaja kipato chako mbele za watu
Ahhahh kazi kweli kweli
 
Nakumbuka siku moja nmetoka hukoo musoma. Nkafika buzuruga jioni jioni, nkangoja hiace, ikaja ya igoma buhongwa.
Imejaa top.
Kwakua mda umeenda tukapanda hivyo hivyo full kubanana.
Sasa ile gari imetoka tu mataa, aisee kukaibuka harufu moja mbovu sana. Uvundo mkali haueleweki kama n viatu au kitu kimeoza.
Zikaanza pigwa kelele madirisha yafunguliwe, lakini wapi, harufu ya kushato bado imetawala.
Baadhi ya abiria wakaanza kusema kua watu waliopandia buzuruga ndo wamepanda na hyo harufu.
Sasa daladala nzima kila mtu anasema lake, na harufu haikomi.
Mimi kama mmoja wa aliepandia buzuruga, nkaanza kupata wenge, nkawa nahisi isijekua nmekanyaga kimba hapo stendi af nkapanda nalo ndo kiatu kinatema.
Tumefika mabatini, kuna abiria alikua anashuka so ikabidi tushuke ili kumpisha. Ile nmefika chini, chap sana nkaangalia viatu vyangu kwa chini ili nijihakikishie usalama.
Kuvicheki viko fresh. Aah, hapo nkarudi kwa uhuru sasa.
Gari inakata mwendo, abiria wanalalamika, lakini wapii, harufu bado ipo.
Mpka tumefika mkuyuni, kuna jamaa alikua kakaa siti ya mwisho kabisa akashuka, uwongo mbaya harufu yote ilikua inatokea kwake.
Aliposhuka tu, gari ikapoteza ile harufu.
Maneno yakaanza upya.
Kuna kadada kamoja kakasema, "yule jamaa kweli anatema, lakini kwa sura yake ilivo kavu na ngumu, hata ningekua pembeni yake sithubutu kufungua mdomo. Hakuna anaependa kwenda kulala na mapengo ilhali aliamka na meno yake yote 32 asubuhi"
Gari zima hoi..
Anyway nkafika kituo changu nkashuka nkawaacha na mjadala wao.
 
Nakumbuka siku moja nmetoka hukoo musoma. Nkafika buzuruga jioni jioni, nkangoja hiace, ikaja ya igoma buhongwa.
Imejaa top.
Kwakua mda umeenda tukapanda hivyo hivyo full kubanana.
Sasa ile gari imetoka tu mataa, aisee kukaibuka harufu moja mbovu sana. Uvundo mkali haueleweki kama n viatu au kitu kimeoza.
Zikaanza pigwa kelele madirisha yafunguliwe, lakini wapi, harufu ya kushato bado imetawala.
Baadhi ya abiria wakaanza kusema kua watu waliopandia buzuruga ndo wamepanda na hyo harufu.
Sasa daladala nzima kila mtu anasema lake, na harufu haikomi.
Mimi kama mmoja wa aliepandia buzuruga, nkaanza kupata wenge, nkawa nahisi isijekua nmekanyaga kimba hapo stendi af nkapanda nalo ndo kiatu kinatema.
Tumefika mabatini, kuna abiria alikua anashuka so ikabidi tushuke ili kumpisha. Ile nmefika chini, chap sana nkaangalia viatu vyangu kwa chini ili nijihakikishie usalama.
Kuvicheki viko fresh. Aah, hapo nkarudi kwa uhuru sasa.
Gari inakata mwendo, abiria wanalalamika, lakini wapii, harufu bado ipo.
Mpka tumefika mkuyuni, kuna jamaa alikua kakaa siti ya mwisho kabisa akashuka, uwongo mbaya harufu yote ilikua inatokea kwake.
Aliposhuka tu, gari ikapoteza ile harufu.
Maneno yakaanza upya.
Kuna kadada kamoja kakasema, "yule jamaa kweli anatema, lakini kwa sura yake ilivo kavu na ngumu, hata ningekua pembeni yake sithubutu kufungua mdomo. Hakuna anaependa kwenda kulala na mapengo ilhali aliamka na meno yake yote 32 asubuhi"
Gari zima hoi..
Anyway nkafika kituo changu nkashuka nkawaacha na mjadala wao.
Ahahahah nimecheka sana ase
 
Nakumbuka siku moja nmetoka hukoo musoma. Nkafika buzuruga jioni jioni, nkangoja hiace, ikaja ya igoma buhongwa.
Imejaa top.
Kwakua mda umeenda tukapanda hivyo hivyo full kubanana.
Sasa ile gari imetoka tu mataa, aisee kukaibuka harufu moja mbovu sana. Uvundo mkali haueleweki kama n viatu au kitu kimeoza.
Zikaanza pigwa kelele madirisha yafunguliwe, lakini wapi, harufu ya kushato bado imetawala.
Baadhi ya abiria wakaanza kusema kua watu waliopandia buzuruga ndo wamepanda na hyo harufu.
Sasa daladala nzima kila mtu anasema lake, na harufu haikomi.
Mimi kama mmoja wa aliepandia buzuruga, nkaanza kupata wenge, nkawa nahisi isijekua nmekanyaga kimba hapo stendi af nkapanda nalo ndo kiatu kinatema.
Tumefika mabatini, kuna abiria alikua anashuka so ikabidi tushuke ili kumpisha. Ile nmefika chini, chap sana nkaangalia viatu vyangu kwa chini ili nijihakikishie usalama.
Kuvicheki viko fresh. Aah, hapo nkarudi kwa uhuru sasa.
Gari inakata mwendo, abiria wanalalamika, lakini wapii, harufu bado ipo.
Mpka tumefika mkuyuni, kuna jamaa alikua kakaa siti ya mwisho kabisa akashuka, uwongo mbaya harufu yote ilikua inatokea kwake.
Aliposhuka tu, gari ikapoteza ile harufu.
Maneno yakaanza upya.
Kuna kadada kamoja kakasema, "yule jamaa kweli anatema, lakini kwa sura yake ilivo kavu na ngumu, hata ningekua pembeni yake sithubutu kufungua mdomo. Hakuna anaependa kwenda kulala na mapengo ilhali aliamka na meno yake yote 32 asubuhi"
Gari zima hoi..
Anyway nkafika kituo changu nkashuka nkawaacha na mjadala wao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii ya kwako inafurahisha sana.
 
Tulikua tunatoka loliondo kupiga kikombe Cha mzee mwasapila tunarudi town Hapo road story zilizokua zinapigwa na mzee na wale wenzake asalaleeee
 
Nakumbuka siku moja nmetoka hukoo musoma. Nkafika buzuruga jioni jioni, nkangoja hiace, ikaja ya igoma buhongwa.
Imejaa top.
Kwakua mda umeenda tukapanda hivyo hivyo full kubanana.
Sasa ile gari imetoka tu mataa, aisee kukaibuka harufu moja mbovu sana. Uvundo mkali haueleweki kama n viatu au kitu kimeoza.
Zikaanza pigwa kelele madirisha yafunguliwe, lakini wapi, harufu ya kushato bado imetawala.
Baadhi ya abiria wakaanza kusema kua watu waliopandia buzuruga ndo wamepanda na hyo harufu.
Sasa daladala nzima kila mtu anasema lake, na harufu haikomi.
Mimi kama mmoja wa aliepandia buzuruga, nkaanza kupata wenge, nkawa nahisi isijekua nmekanyaga kimba hapo stendi af nkapanda nalo ndo kiatu kinatema.
Tumefika mabatini, kuna abiria alikua anashuka so ikabidi tushuke ili kumpisha. Ile nmefika chini, chap sana nkaangalia viatu vyangu kwa chini ili nijihakikishie usalama.
Kuvicheki viko fresh. Aah, hapo nkarudi kwa uhuru sasa.
Gari inakata mwendo, abiria wanalalamika, lakini wapii, harufu bado ipo.
Mpka tumefika mkuyuni, kuna jamaa alikua kakaa siti ya mwisho kabisa akashuka, uwongo mbaya harufu yote ilikua inatokea kwake.
Aliposhuka tu, gari ikapoteza ile harufu.
Maneno yakaanza upya.
Kuna kadada kamoja kakasema, "yule jamaa kweli anatema, lakini kwa sura yake ilivo kavu na ngumu, hata ningekua pembeni yake sithubutu kufungua mdomo. Hakuna anaependa kwenda kulala na mapengo ilhali aliamka na meno yake yote 32 asubuhi"
Gari zima hoi..
Anyway nkafika kituo changu nkashuka nkawaacha na mjadala wao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom