Ni suala la muda tu: CCM itabaki kuwa ya wanawake

Ni suala la muda tu: CCM itabaki kuwa ya wanawake

2030 sio mbali na tuko 2021 hahaaaaa mkuu una utani, sidhani kama waliompigia na kumpa nguvu ndani ya chama chake watamgeuka,na kama kuna mpasuko she still got time to amend things,ubaya anajiamini..hicho ndio kinachowafanya muweweseke, tumekaa na marais wanaume wanakaa term mbili tongea uhuru, leo mwanamke akitaka kukaa urais kipindi kingine imekua tabu??!!
Nashangaa!!! Wengine wote wanapewa awamu 2 huyu hawataki!!! Mfumo Dume shida sana
 
Sio tabu, hatutaki jinsia tunataka maendeleo yaonekane. Jinsia haituhusu ni yake. Hivi wewe ni kipofu? Mbali na JK na wachache wengine, fanya tathmini ndogo utaona huyu Hangaya alivyokuwa rejected, kuanzia ndani ya chama na nje ya chama. Kifupi hapendwi, sio wanawake wala wanaume, wote hawampendi.
Mbona alipigiwa kura 100% za kuwa Mwenyekiti wa CCM? Kama hawampendi mbona hawakupiga kura za hapana?
 
Hatutafuti mshindi, tunaelekezana tu! Eti mwanamke akiwa na mafanikio, yaani umeshaanza kuleta ujinsia mara hii?[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni shida kidogo, kingine acha kuji-feel inferior, hakuna anayewadharau wanawake hususani mama yetu katika uongozi, ila utendaji wa hovyo na kupuyanga hufanya viongozi hao wa kike wadharauliwe, na si wanawake wote.
wewe unayedanganya kuwa ulifanya reseach vijijini wakati ni uongo ndio unasema hatubishani kutafuta mshindi???? .... ujinsia ni wewe kumuangalia mtu kwenye miwani ya ujinsia!,...wewe tutabishana mpaka kesho nadhani, SHE IS NOT REJECTED MATERIAL, SHE HAS NOT DONE ANYTHING WRONG,SHE HAS CONSTITUTIONAL RIGHT TO RUN FOR PRECIDENCY, now BYEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Halafu myanaume ya CCM bana sijui ikoje au ni sio ridhiki. Mwanamke anatamba kabisa eti uchaguzi ujao wanaume hawana Chao huko CCM halafu yenyewe yanang'aza sharubu tuu yamefyata makasesera yao Kama mazuzu

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
hahahahahha
 
Hapana wewe ndio mbishi na huna hoja za msingi katika hili, mimi nimesema kwa upepo huu ni ngumu kuchaguliwa kugombea, achana na kuchaguliwa na wananchi. Mpasuko katika chama ni mkubwa, hii ni dosari ya kwanza. Pili ni hayo matozo na madude mengine mengi mno. Ni hivyo tu!

Upepo gani??? Mwacheni mama agombee hayo mengine ni ya kwenu, wananchi wanaochagua viongozi hawana tatizo na mama.....
 
Accident president, au Rais wa mpito!
Kila siku anaongea kuhusu jinsia yake, sijui ni tamu sana?
Miezi sita bado anajifunza kazi ya urais!

Huyu ndiyo Rais wa mwisho Tanzania mwanamke!
Wala asitambe, amebebwa na katiba iliyoandikwa na wanaume!

Nakuhakikishia urais wa kurithi unaisha 2025 alafu wenye nchi yao wanaingia Ikulu kupiga kazi siyo umbea
na iwe hivyo 2025 tupate WAPIGA KAZI NA SIO UMBEA
 
anakua rejected na wasomi??, wasomi wana analyse mambo na kamwe hawawezi kumuita mjinsia mtu bila concrete evidence, wewe zaidi ya hii incidence ya kura una sababu nyingine ya kumuita mjinsia???

mifumuko ya bei,sijui nini ni wewe kutafuta pa kushika, hata serikali zilizopita zilikuwa na challenges zake, Magufuli hakupandisha mishahara,alikuwa mtu wa vitu,ndege kuna watu wengi walikuwa hawa approve na bado alichaguliwa tena.....

Kwa taarifa yako,population ya wanawake Tanzania imewazidi kidogo sana wanaume, is almost similar one to one, so kama unahofia kuchaguliwa mwanamke kwa kudhani wanawake ni wengi pole uko wrong
Ni kweli wanawake wapo wengi, ila hao hao wengi hawampendi(mitandaoni) na hata wasiojua mitandao wengi hawampendi(rejea research ndogo tu za wanawake wenye hali duni wa eneo lako). Sitafuti pa kushikia(ni mtazamo wako), pia sina haja ya kujaji ujinsia wake sehemi nyingine mbali na kura kwani kwenye kura tu ni sehemu TOSHA kudhibitisha ujinsia wake.

Wakati wa JPM ni kweli madaraja hayakupanda, watu hawakuajiriwa na akachaguliwa tena. Ila kwa taarifa yako tu, waliofanya utafiti nyakati zile mimi nikiwa mmoja wapo, ulionesha JPM anakubalika bado na wengi mno pamoja na changamoto zile. Akashinda kwa kishindo.


Nashangaa sijui kwa nini mama anachukiwa na wengi kiasi hiki, hata ukiingia mtandaoni utajua JPM na mama nania anasemwa sana kwa mabaya na watu wengi wakati wa utawala wake. Najiuliza au mama yetu ana gundu? Ila sipati jibu.

Wakati wa JPM mpaka watu walidirki kusema kuwa hata kama anaitwa dikteta ila wapo tayari kumpa nchi dikteta ambaye anafanya maendeleo ya wazi.(Hii ni heshima kubwa).

Swali: je, kwa nini mama hapendwi na wananchi walio wengi mpaka muda HUU wakati kama ni ugumu wa maisha hata kwa JPM ulikuwepo?

Ukijibu nitakujulisha kitu.
 
Mbona alipigiwa kura 100% za kuwa Mwenyekiti wa CCM? Kama hawampendi mbona hawakupiga kura za hapana?
Lini alipigiwa hizo kura? Kuwa mwenyekiti ni tofauti na kuchaguliwa kupeperusha bendera ya chama. Niambie ni lini alipigiwa(mwezi gani)?
 
Habari zenu wakuu?

Kwa kauli za Rais Samia jana sikuzifurahia kabisa, kwani ni za kibaguzi.

Hazina tofaugi na kauli za kidini kama ile aliyoitoa Lowassa akiwa KKT Tabora 2015.

Katiba yetu ya JMT ibara ya 13(2), (4)(5)(6) na ibara ndogo (a) mpaka (e).
zinakataza mamlaka yoyote kuweka ubaguzi dhahiri au kwa taathira yake.
Chini ya sheria Na.4 ya 1992 ib.8 zikisomwa kwa pamoja na sheria Na.3 ib.3 ya 2000.

Sasa kwanini Katiba inavunjwa?

Nashaurinwashauri wa mama wampe maneno ya kusema.

Kuna watu hata ndani ya chama cha mapinduzi wanausaka Urais naona kawanyooshaView attachment 1940069View attachment 1940070
na wanawake ni wengi kuliko wanaume, itaendelea kushinda tu. Afu kwa taarifa yako ccm haijaanza kuwa ya wanawake leo hii, ni ya wanawake tangiapo.
 
Upepo gani??? Mwacheni mama agombee hayo mengine ni ya kwenu, wananchi wanaochagua viongozi hawana tatizo na mama.....
Na ndio maana nakuambia fanya research ndogo mno huhitaji hela nyingi. Tembea hata nyumba kumi uliza, utapata majibu.
 
Habari zenu wakuu?

Kwa kauli za Rais Samia jana sikuzifurahia kabisa, kwani ni za kibaguzi.

Hazina tofaugi na kauli za kidini kama ile aliyoitoa Lowassa akiwa KKT Tabora 2015.

Katiba yetu ya JMT ibara ya 13(2), (4)(5)(6) na ibara ndogo (a) mpaka (e).
zinakataza mamlaka yoyote kuweka ubaguzi dhahiri au kwa taathira yake.
Chini ya sheria Na.4 ya 1992 ib.8 zikisomwa kwa pamoja na sheria Na.3 ib.3 ya 2000.

Sasa kwanini Katiba inavunjwa?

Nashaurinwashauri wa mama wampe maneno ya kusema.

Kuna watu hata ndani ya chama cha mapinduzi wanausaka Urais naona kawanyooshaView attachment 1940069View attachment 1940070
Kwahiyo kitakua chama cha masingle maza sugu
 
wewe unayedanganya kuwa ulifanya reseach vijijini wakati ni uongo ndio unasema hatubishani kutafuta mshindi???? .... ujinsia ni wewe kumuangalia mtu kwenye miwani ya ujinsia!,...wewe tutabishana mpaka kesho nadhani, SHE IS NOT REJECTED MATERIAL, SHE HAS NOT DONE ANYTHING WRONG,SHE HAS CONSTITUTIONAL RIGHT TO RUN FOR PRECIDENCY, now BYEEEEEEEEEEEEEEEE
Sasa mbona hueleweki? Mimi sijabisha kuwa hana haki, ila vikwazo nimeshavisema. Elewa basi, sio vita.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] suala la utafiti ni kweli nimefanya japo sikushiriki. Tena nilifanya katika kijiji kimoja tu nilichohitaji, na hata Uswahilini kwenys watu wengi nimefanya. Inaonekana unafikiri research ni kitu kikubwa mno kwako[emoji23]
 
KILA KITU NI KUDRA ZA MUNGU. MH SAMIA HASSAN SULUHU TUNAOMBA USIJENGE UBAGUZI WA AINA YOYOTE. KWANZA SIO KWELI KWAMBA ULIFIKA HAPO KWA JUHUDI ZA WANAWAKE PEKEE. ULIBEBWA NA WANAUME KINA KIKWETE, KARUME , PINDA NK. WAO NI WENGI KWENYE VIKAO VIZITO VYA MAAMUZI. USIWABEZE LEO. WASHUKURU. BADO HUJAVUKA MTO. PILI SI KWELI KWAMBA WANAWAKE MNAPENDANA SANA. AGAIN USIBEZE NGUVU YA WANAUME. NI WENGI HATA MAJESHINI AMBAKO UMEWAWEKEA WAZIRI MWANAMKE PIA. HATUOMBEI WAONYESHE NGUVU YAO LAKINI USIWAAMBIE WAMEBEBWA SANA NA WANAWAKE. TATU, URAIS 2025 NI MBALI MNO. KWENYE SIASA WIKI MOJA INAWEZA KUWA MWAKA! CHA KUKUBEBA NI RECORD YAKO NZURI ITAKAVYOKUWA KIKAZI, UNYENYEKEVU NA UWEZO WA KUUNGANISHA TAIFA NA MAKUNDI YOTE .FANYA HIVYO MPAKA WAKATI HUO LAKINI KUMBUKA KUNA "KUDRA" ZA MUNGU PIA. NNE, VITABU VITAKATIFU QUORAN NA BIBLIA HAVIKUFAGILIA WANAWAKE KAMA VIONGOZI WAKUU AU AMIRI JESHI KWA HIYO NENDA KWA HEKIMA MTU ASIPATE HOJA YA "MNAWAONA TABIA ZAO" HATA KWA HISIA TU. MWISHO SIO WEWE PEKE YAKO UNAEUTAKA URAIS WAPO WA CHAMA CHAKO PIA WANAOENDELEA KUKU ANALYSE NA WA VYAMA VINGINE PIA. UKO NAFASI NZURI KIJIOGRAFIA LAKINI NENDA KWA BUSARA. WISH YOU THE BEST
Ushauri mzuri sana huu kwa SSH
 
Ni kweli wanawake wapo wengi, ila hao hao wengi hawampendi(mitandaoni) na hata wasiojua mitandao wengi hawampendi(rejea research ndogo tu za wanawake wenye hali duni wa eneo lako). Sitafuti pa kushikia(ni mtazamo wako), pia sina haja ya kujaji ujinsia wake sehemi nyingine mbali na kura kwani kwenye kura tu ni sehemu TOSHA kudhibitisha ujinsia wake.

Wakati wa JPM ni kweli madaraja hayakupanda, watu hawakuajiriwa na akachaguliwa tena. Ila kwa taarifa yako tu, waliofanya utafiti nyakati zile mimi nikiwa mmoja wapo, ulionesha JPM anakubalika bado na wengi mno pamoja na changamoto zile. Akashinda kwa kishindo.


Nashangaa sijui kwa nini mama anachukiwa na wengi kiasi hiki, hata ukiingia mtandaoni utajua JPM na mama nania anasemwa sana kwa mabaya na watu wengi wakati wa utawala wake. Najiuliza au mama yetu ana gundu? Ila sipati jibu.

Wakati wa JPM mpaka watu walidirki kusema kuwa hata kama anaitwa dikteta ila wapo tayari kumpa nchi dikteta ambaye anafanya maendeleo ya wazi.(Hii ni heshima kubwa).

Swali: je, kwa nini mama hapendwi na wananchi walio wengi mpaka muda HUU wakati kama ni ugumu wa maisha hata kwa JPM ulikuwepo?

Ukijibu nitakujulisha kitu.

hahaaaaaaaa mama kutopendwa una evidence???? wewe kama mfanya utafiti leta utafiti hapa ama utuambie source ya utafiti wako watu wakausome, this time round tunataka huo utafiti usilete tena bla bla sijui twende twitani, ...
 
Back
Top Bottom