Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Bnafsi naamini kilichomfanya Ndugai ajiuzulu si mashambulizi(shinikizo) kutoka ndani na nje ya chama chake, bali ni baada ya kugundua Rais hana imani nae huku mhimili anaouongoza Rais ukiwa umejichimbia zaidi. Hivyo, bwana Ndugai akaona hana ubavu wa kupingana nae akaamu kujiuzulu.
Kwahiyo, kutokana na kuonja machungu ya katiba hii, atakuwa na jambo rohoni, na njia pekee ya kutuliza nafasi yake ni siku moja kutoka hadharani na kukiri au kutamka kuwa katiba yetu ni mbovu.
Kumbukeni hakuna kibaya alichosema kilichostahili yeye kujiuzulu zaidi ya kuwa Mhanga wa hii katiba mbovu.
Tunza huu uzi(hii thread) for future reference.
Kwahiyo, kutokana na kuonja machungu ya katiba hii, atakuwa na jambo rohoni, na njia pekee ya kutuliza nafasi yake ni siku moja kutoka hadharani na kukiri au kutamka kuwa katiba yetu ni mbovu.
Kumbukeni hakuna kibaya alichosema kilichostahili yeye kujiuzulu zaidi ya kuwa Mhanga wa hii katiba mbovu.
Tunza huu uzi(hii thread) for future reference.