Afrika nzima hili tatizo lipo, hakuna nchi isiyo na maharamia wanaofadhiliwa na mfumo wa nchi.
Wakati wa Nyerere magazeti yalikuwa matano tu, Uhuru, Mzalendo, Daily News, Sunday News na Mfanyakazi siku za Jumamosi, alivitawala vyombo vya habari kadri alivyojisikia. Leo hii Samia anaongoza nchi yenye uhuru mkubwa wa kujieleza, wajuaji wa kila kabila wapo TZ.