Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
SawaWakati wa Nyerere nilikuwa ntu mzima na mfuatiliaji wa siasa tofauti na wewe pengine hujazaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaWakati wa Nyerere nilikuwa ntu mzima na mfuatiliaji wa siasa tofauti na wewe pengine hujazaliwa.
Ni muendelezo wa uhayawani ule hadi leo.Halafu baada ya hapo?
Anayafanya akiwa kaburini auNi muendelezo wa uhayawani ule hadi leo.
Jiwe ndiye pioneer/founder wa uovu huu......kamwe hawezi kusahaulika ktk uovu huuSasa anahusika vp hapo?
Huu ujenzi wa SGR unaoendelea sasa yeye ndio alianzisha, kwahiyo anaendelea kuijenga akiwa huko ahera madukani?Anayafanya akiwa kaburini au
Vipi mtamualila tena kwenye balaza lenu la bawacha?Ni muendelezo wa uhayawani ule hadi leo.
Unadhani kila asiyekubali majizi na madictator ya ccm basi ni mwanachama wa cdm? Kama cdm watamualika wamualike kimpango wao. Lakini ukweli ni kuwa magu alikuwa shetani kamili, mama wa kambo anacopy tu.Vipi mtamualila tena kwenye balaza lenu la bawacha?
Si anaupiga mwingi eti?
Awamu ya kwanza pale wizara ya mambo ya ndani kulikuwa na nyumba kule nyuma zina mabati mekundu zilikuwa zikipakana na ukuta wa YMCA, enzi zile ukipita barabarani unasikia watu wanalia mle ndani kwa vipigo walivyopewa na watu wa usalama wa Taifa.
Mzee Butiku anaongea kwa uwazi leo hii utadhani hakuwa mtu wa karibu wa Mwalimu Nyerere miaka ile.
Mwakyembe hakumwagiwa tindikali. Inasemekana aliwekewa sumu ikawa inammaliza taratibu hadi alipopelekwa nje ya nchi kutibiwa.Mwakyembe alimwagiwa tindikali na watu gani??
Hayo Ni maneno yako au umemezeshwa na watu? Au unaongea kwa sababu hayupo.Unadhani kila asiyekubali majizi na madictator ya ccm basi ni mwanachama wa cdm? Kama cdm watamualika wamualike kimpango wao. Lakini ukweli ni kuwa magu alikuwa shetani kamili, mama wa kambo anacopy tu.
Utakufa vibaya we endelea kuamini kuwa huyo muovu alikuwa mtakatifuJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Sasa mbona yale mambo yanaendelea wakat jamaa amekufa miaka mitatu sasa imepitaUtakufa vibaya we endelea kuamini kuwa huyo muovu alikuwa mtakatifu
nilipata kusema haya ya utekaji na kutesa mwanzilishi ni babu yao Nyerere. vile tu waumini wake hawataki kuusikia huo ukweli.Awamu ya kwanza pale wizara ya mambo ya ndani kulikuwa na nyumba kule nyuma zina mabati mekundu zilikuwa zikipakana na ukuta wa YMCA, enzi zile ukipita barabarani unasikia watu wanalia mle ndani kwa vipigo walivyopewa na watu wa usalama wa Taifa.
Mzee Butiku anaongea kwa uwazi leo hii utadhani hakuwa mtu wa karibu wa Mwalimu Nyerere miaka ile.
Jpm ndio aliasisi huu ufirauni, mpumbavu yule!JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Wewe ni choko sana! Chadema Wana SMG au ak47? Kima wewe!Hapa kuna jambo la kukumbuka, mauwaji ya namna hii yanayohusisha tindikali, kuharibiwa uso vibaya sana sio mauwaji yanayofanya na polisi au serikali,
Kumbukumbu zinaonesha Mauwaji ya namna hii yamefanywa na Chadema dhidi ya wafuasi wake waliowatoa kafara ushahidi ni matamshi ya aliekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dr. Silaha.
Ni wakati umefika wa Watanzania Kuyatazama mambo kwa mapana zaidi ya hisia zetu ni mihemko ya wanasiasa.
Sina shaka kwamba Polisi hawawezi teka mtu mkubwa kisiasa kama alivykuwa Alli Kibao halafu wakafanye ujinga wa kitoto kiasi kile eti wateke hadharani wauwe na kutelekeza maiti hadharani hii sio polisi ya Tanzania..
JPM hakusingiziwa bali aliupromot sana mfumo na kuweka precedent ambayo aliyefuata anadesamengi sana
Vp sasa hv huo ufirauni umeisha? Mana n mwaka wa tatu sasa hayupoJpm ndio aliasisi huu ufirauni, mpumbavu yule!
Vp sasa hv huo ufirauni umeisha? Mana n mwaka wa tatu sasa hayupo