Ni taarifa gani Hayati Ally Kibao alikuwa nazo kiasi cha kuepelekea kifo chake?

Ni taarifa gani Hayati Ally Kibao alikuwa nazo kiasi cha kuepelekea kifo chake?

Mr. Mmbaga umeandika short statement ila imebeba long statement.

Haya mambo ya uongozi siyo ya kushangilia anapoingia mkuu mpya, leo tunaona yanayoendelea.
Wazee wa mzimu
 
Wewe form four failure huwezi nielewa. Ndo mnajaa polisi akili hamna hamfikirii. Ulipata Division 5 utakuwa na uelewa wa kuelewa sisi wenye akili kubwa tunachoandika?
Unamwonea bure tu huyo jamaa hata kama ni form four failure. Watu wenye akili kubwa huwa hawajisifu wala hawatukani, wana reason. After all, haya uliyoandika hapa ni mambo yakufikirika tu.
 
Nyerere hakuua watu covertly, Nyerere aliwaweka watu kizuizini au kuwarudisha katika vijiji vyao walipozaliwa na kuwapiga stop kutoka nje ya kijiji. Kama unamjua hata mmoja aliyeuawa covertly mtaje
Fatilia mambo bwana mdogo
 
Watanzania tuna kumbukumbu ndogo sana. Hii michezo ya maafisa wa vyombo vya dola kushughulikiwa kisa kupishana na chama tawala ulianza tangu awamu ya kwanza, sema kwasababu ya SELECTIVE JUDGMENT and CHERRY-PICKING HISTORY huwa tunamchagua Raisi wa kumchukia na kumpenda.

Ila huu utamaduni umekuwepo muda mrefu sana hapa nchini Tanzania.
Ni kweli,tunaambiwa kipindi cha Nyerere wengine walikimbia na kwenda kuishi uhamishoni kwa lazima.
Pengine huyu Mzee alikuwa anakimbia hivyo..
 
Hapa kuna jambo la kukumbuka, mauwaji ya namna hii yanayohusisha tindikali, kuharibiwa uso vibaya sana sio mauwaji yanayofanya na polisi au serikali,

Kumbukumbu zinaonesha Mauwaji ya namna hii yamefanywa na Chadema dhidi ya wafuasi wake waliowatoa kafara ushahidi ni matamshi ya aliekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dr. Silaha.


Ni wakati umefika wa Watanzania Kuyatazama mambo kwa mapana zaidi ya hisia zetu ni mihemko ya wanasiasa.


Sina shaka kwamba Polisi hawawezi teka mtu mkubwa kisiasa kama alivykuwa Alli Kibao halafu wakafanye ujinga wa kitoto kiasi kile eti wateke hadharani wauwe na kutelekeza maiti hadharani hii sio polisi ya Tanzania..
Mwakyembe alimwagiwa tindikali na watu gani??
 
Watanzania tuna kumbukumbu ndogo sana. Hii michezo ya maafisa wa vyombo vya dola kushughulikiwa kisa kupishana na chama tawala ulianza tangu awamu ya kwanza, sema kwasababu ya SELECTIVE JUDGMENT and CHERRY-PICKING HISTORY huwa tunamchagua Raisi wa kumchukia na kumpenda.

Ila huu utamaduni umekuwepo muda mrefu sana hapa nchini Tanzania.
Awamu ya kwanza pale wizara ya mambo ya ndani kulikuwa na nyumba kule nyuma zina mabati mekundu zilikuwa zikipakana na ukuta wa YMCA, enzi zile ukipita barabarani unasikia watu wanalia mle ndani kwa vipigo walivyopewa na watu wa usalama wa Taifa.

Mzee Butiku anaongea kwa uwazi leo hii utadhani hakuwa mtu wa karibu wa Mwalimu Nyerere miaka ile.
 
Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
Samia anapata upinzani kutoka kwa hao waliokuwa katika baraza akawapunguza hivi karibuni. Kishindo chao ni lazima kiwe kikubwa lakini haina maana kwamba wao wanayo afadhali yoyote wakipewa mamlaka.

Pia naamini jinsia yake ni tatizo kwa wapuuzi fulani wachache wanaojifanya wameishika mno dini kiasi cha kuona ni kufuru kuongozwa na mwanamke, utadhani wao hawajazaliwa na wanawake.

Samia katulia kimya muda huu anapokea taarifa za kiusalama kutoka kwenye vyanzo vya uhakika.
 
Back
Top Bottom