Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
😂😂🤣😂tatizo lenu mnapanic badala ya kukaa na kutatua tatizo kila muda mnabwabwaja tuu kwa sauti ya juuWa$enge kama wewe mlipaswa kutekwa na hao watekaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂🤣😂tatizo lenu mnapanic badala ya kukaa na kutatua tatizo kila muda mnabwabwaja tuu kwa sauti ya juuWa$enge kama wewe mlipaswa kutekwa na hao watekaji.
Wazee wa mzimuMr. Mmbaga umeandika short statement ila imebeba long statement.
Haya mambo ya uongozi siyo ya kushangilia anapoingia mkuu mpya, leo tunaona yanayoendelea.
Unamwonea bure tu huyo jamaa hata kama ni form four failure. Watu wenye akili kubwa huwa hawajisifu wala hawatukani, wana reason. After all, haya uliyoandika hapa ni mambo yakufikirika tu.Wewe form four failure huwezi nielewa. Ndo mnajaa polisi akili hamna hamfikirii. Ulipata Division 5 utakuwa na uelewa wa kuelewa sisi wenye akili kubwa tunachoandika?
Ebuu kaa kimya usitake kutuamisha kwenye reliJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Tulia ww dogoEbuu kaa kimya usitake kutuamisha kwenye reli
Ndio mkuuUnadhani utaufurahisha moyo wako?
Sasa hv wanaisoma nambainaniuma sana kuhusu tuuma alizokuwa akipewa jpm
Na sasa hv nani anafanya mana JPM ameshakufa kitamboJiwe hakusingiziwa, yeye ndiye mwanzilishi wa kila aina ya uovu nchi hii. shetanI na nusu huyu.
Fatilia mambo bwana mdogoNyerere hakuua watu covertly, Nyerere aliwaweka watu kizuizini au kuwarudisha katika vijiji vyao walipozaliwa na kuwapiga stop kutoka nje ya kijiji. Kama unamjua hata mmoja aliyeuawa covertly mtaje
Ni kweli,tunaambiwa kipindi cha Nyerere wengine walikimbia na kwenda kuishi uhamishoni kwa lazima.Watanzania tuna kumbukumbu ndogo sana. Hii michezo ya maafisa wa vyombo vya dola kushughulikiwa kisa kupishana na chama tawala ulianza tangu awamu ya kwanza, sema kwasababu ya SELECTIVE JUDGMENT and CHERRY-PICKING HISTORY huwa tunamchagua Raisi wa kumchukia na kumpenda.
Ila huu utamaduni umekuwepo muda mrefu sana hapa nchini Tanzania.
Wakati wa Nyerere nilikuwa ntu mzima na mfuatiliaji wa siasa tofauti na wewe pengine hujazaliwa.Fatilia mambo bwana mdogo
Yeye ndio muasisi wa huu uhayawani.JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Mwakyembe alimwagiwa tindikali na watu gani??Hapa kuna jambo la kukumbuka, mauwaji ya namna hii yanayohusisha tindikali, kuharibiwa uso vibaya sana sio mauwaji yanayofanya na polisi au serikali,
Kumbukumbu zinaonesha Mauwaji ya namna hii yamefanywa na Chadema dhidi ya wafuasi wake waliowatoa kafara ushahidi ni matamshi ya aliekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dr. Silaha.
Ni wakati umefika wa Watanzania Kuyatazama mambo kwa mapana zaidi ya hisia zetu ni mihemko ya wanasiasa.
Sina shaka kwamba Polisi hawawezi teka mtu mkubwa kisiasa kama alivykuwa Alli Kibao halafu wakafanye ujinga wa kitoto kiasi kile eti wateke hadharani wauwe na kutelekeza maiti hadharani hii sio polisi ya Tanzania..
Awamu ya kwanza pale wizara ya mambo ya ndani kulikuwa na nyumba kule nyuma zina mabati mekundu zilikuwa zikipakana na ukuta wa YMCA, enzi zile ukipita barabarani unasikia watu wanalia mle ndani kwa vipigo walivyopewa na watu wa usalama wa Taifa.Watanzania tuna kumbukumbu ndogo sana. Hii michezo ya maafisa wa vyombo vya dola kushughulikiwa kisa kupishana na chama tawala ulianza tangu awamu ya kwanza, sema kwasababu ya SELECTIVE JUDGMENT and CHERRY-PICKING HISTORY huwa tunamchagua Raisi wa kumchukia na kumpenda.
Ila huu utamaduni umekuwepo muda mrefu sana hapa nchini Tanzania.
Samia anapata upinzani kutoka kwa hao waliokuwa katika baraza akawapunguza hivi karibuni. Kishindo chao ni lazima kiwe kikubwa lakini haina maana kwamba wao wanayo afadhali yoyote wakipewa mamlaka.Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
Habari ya uzushi hii.Msigwa alisema kule CHADEMA kuna mtu anaitwa Ally Kibao ndio anategemewa sana kwenye mikakati ya chama.
Haijapita mwezi Mzee wa watu ameuwawa.
Aliacha makapi yake ambayo yamerejeshwa serikalini, ndiyo yanafanya ujinga huo.Na sasa hv nani anafanya mana JPM ameshakufa kitambo
Sasa anahusika vp hapo?Aliacha makapi yake ambayo yamerejeshwa serikalini, ndiyo yanafanya ujinga huo.
Halafu baada ya hapo?Yeye ndio muasisi wa huu uhayawani.