Ni taarifa gani Hayati Ally Kibao alikuwa nazo kiasi cha kuepelekea kifo chake?

Ni taarifa gani Hayati Ally Kibao alikuwa nazo kiasi cha kuepelekea kifo chake?

Watu wengi walisema mabaya kwa JPM ila n miaka zaidi ya miwili sasa JPM hayupo ila matendo maovu yanaendelea, ndio tujue JPM hakuwa tatizo bali n mfumo mzima wa serikali.

Haya mambo hata kwa Nyerere yalikuwepo.
Nyerere hakuua watu covertly, Nyerere aliwaweka watu kizuizini au kuwarudisha katika vijiji vyao walipozaliwa na kuwapiga stop kutoka nje ya kijiji. Kama unamjua hata mmoja aliyeuawa covertly mtaje
 
Kwa nini usiseme ni kumfurahisha aliyekuwa ofisi namba 1? Au uliwahi sikia akikemea? Si Bora SSH anatoa Hadi Kauli za kukemea?

KUKEMEA? STUPID COMMENT. YAANI HAYO MAIGIZO UNAONA NI ISSUE? SI ALISEMA NI DRAMA? AU WEWE HUKUSIKIA AKISEMA WAAACHE DRAMA? SASA KAAMUA KUJIUNGA NAO.
 
Habari hizi za utekaji nyingi zinayeyuka juu kwa juu.
Watu wa mitandao ndio haswa huzipata,ambapo wengi wao sio wapiga kura.
Uhuni wa aina hii sio rahisi kuifanya serikali ionekane ni mbaya na inaua watu wake.
Maana wapiga kura wengi hawapo mitandaoni.
Me nadhani wabadilishe mbinu tuu.
Hii ilishafeli kitambo,wanaumiza watu buure kama walivyomfanya lissu,wakamtumi kama chambo kisa ni mropokaji lakini haikumpunguzia kitu Magu.
Wazee wa propaganda kaeni mezani muwe mnadrafti mambo kwa akili, style za mauaji ni za miaka ya zamani.
Wa$enge kama wewe mlipaswa kutekwa na hao watekaji.
 
Huyu Mzee Ali. M. Kibao aliwahi kuwa Mwanajeshi kwa nafasi yenye hadhi kiasi flani. Hakuwa mtu wa mitandao sana. Huwezi msikia akipinga jambo la Serikali au kukemea. Alikuwa silent sana.

Na utekaji wake si kwamba alitafutwa atekwe tu auawe randomly. Hapana. Ni mkakati ambao unaweza kuta hata mle ndani walikuwepo watu kadhaa wakifuatilia nyendo zake.

Ni kwamba alikuwa kwenye list ya wahusika ambao walipata taarifa ambazo zikawafanya watake taarifa zaidi kwa mhusika. Kwa nini?

Ndo sababu ya kumtesa wakitaka kupata taarifa hizo. Aseme kwa kiwango ambacho walihitaji. Na baada ya kukamilisha waliona ni bora wapoteze ushahidi. Amwagiwe tindikali usoni asitambulike.

Kisha tungepata taarifa polisi imeokotwa maiti ya mtu ambaye ni jambazi, alifumaniwa, alienda kwa mganga au mfanyabiashara aliyekuwa na maadui. WATACHUNGUZA ZAIDI. Period.

Lakini Mungu ana namna ya kuwafichua waovu. Kama ambavyo alitekwa yule bwana mdogo ambaye alipigwa risasi kichwani wakamwacha afe. HAKUFA. HE LIVED TO TELL.

Huyu mzee Mungu tu alitaka kuwafunua macho na masikio Watanzania. Kuwa waamke. Maana mtu akipona wanasahau haraka. Labda akifa watashtuka.

Sasa hatujui nini kilikuwa kinatafutwa. Lakini who is next? Na shida ni nini exactly?
ninasita kusema, kwa kuwa mzee wa ukopa namuheshimu sana, lkn nakaribia kuunganisha dot.

Juzi ni kama alihalakisha mauwaji haya. Akisema biblia inaruhusu watu wa kitengo wakisaliti wanapaswa kuuwawa. Haijapita hata siku 5 mauwaji yakatokea.

Sina link lkn aliyeona aweza kuunganisha dot

Pili nadhani kuna maadui wa Samia. Sijui kama ni wafuasi wa chama walioko serikali.... sijui

Lkn waliofanya haya ni maadui wa mama walioko ndani ya mfumo.

Lengo ni kumuangusha.

Kila jambo lina kheri zake.

Na kwa hakika ktk hakuna muislam wanaingia msikiti ambae anaweza kufanya unyama huu
 
Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
Una maana hao uliowaita wahuni ni watu wenye nguvu sana na wenye mbinu za kisasa zaidi kiasi kwamba hawawezekani kabisa kushughulikiwa kisheria wala kwa namna yeyote ile ??!

Yaani Hawawezekaniki kwa namna yeyote ile ??!
Hata kwa kuwabembeleza waache hayo mambo mabaya ??! 😱
 
Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
Hahahaa... Na hao wahuni wanalindwa? Mbona serikali haijishughulishi hata kuwatafuta?
Soka na wenzako wapi? Waliomteka Sativa wako wapi? Vipi Swala la Kombo wa Tanga?
 
Yaani imagine huyu mzee aliyeuawa kikatili ni baba ako... Lijitu km Mwashambwa linavyosifia ccm ukilikuta mahali kabla ya kuliua unaweza ukalibaka kwanza.
 
🤔 So, kinachoendelea, jinsi kinavyoendelea ni hali ya kawaida tangu enzi zile. Kwamba kinachoshangaza ni hizi kelele nyingi za taharuki ambazo haziutendei haki uongozi wa sasa. Au…?
Nyerere aliwafukuza kazi kina DGIS Emilio Mzena, Peter Siyovelwa, Peter Kisumo na maafisa usalama wengi tu miaka ya 70's kwasababu walifanya mauaji makubwa ya watanzania wasiokuwa na hatia. Mwaka 1975 akafanya En Masse Recruitment na kuisuka upya idara ya usalama wa taifa, akiwafukuza Thugs and Sadists na kuajiri maelfu ya vijana wasomi kutoka chuo kikuu na sekondari.

Hili bado halikusaidia kwasababu usalama wa taifa chini ya Imran Kombe walikuwa kama A Loose Cannon, wanakamata, wanatesa, wanaua watu wakilazimisha ujamaa ambao umeshafeli. Imran Kombe alikuwa ana nguvu kama mungu mtu, vile. Moja ya chanzo cha kupitisha sheria ya usalama wa taifa ya mwaka 1996 ilikuwa ni malalamiko kwamba idara inaendeshwa kimajungu na kihuni-huni tu bila uwajibikaji wowote ule.

Jambo ambalo linashanganza ni kwamba sheria ya mabadiliko ya mwaka 2023 imeturudisha kulekule kwenye Pre-1996 ambako TISS haina Civilian Oversight, ati DGIS hawajibiki kwa MINISTER OF STATE na CHIEF SECRETARY, kwamba wao wanajifanyia tu wanachotaka kama ilivyo CIA. Wamepewa kinga (Immunity) na wanaruhusiwa kutengeneza (Paramilitary Forces) ambazo zitakuwa na makomandoo, wanajeshi na polisi.

Jeshi tayari tunalo, polisi tunao, hizi Paramilitary Forces za nini ?
Tena siku wameenda mbali kuwaruhusu kumiliki silaha wakiwa kweny kazi.

INA MAANA SASA:
-TISS watafanya operesheni na hakuna anayejua.
  • Watapanga bajeti na CHIEF SECRETARY wala MINISTER OF STATE hafahamu.
  • Watafanya Operesheni kubwa kwa idhini ya DGIS bila Civilian Oversight.

Huu ujinga hata World Class Intelligence Organisations kama CIA, MI6 na MSS uliwashinda. Shirika la kijasusi kuendeshwa bila Civilian Oversight is a recipe for disaster. Ubaya zaidi hata kwa bunge hawawajibiki, wanawajibika kwa Raisi. Siku nchi inatawaliwa na wahuni, unadhani kitatokea nini ?
 
Hiyo enzi ya nyerere ilikuwa inafanyika kwa watu spesho tu ambao walikuwa tishio kwa Taifa kwa mfano mtu akionekana anataka kumpindua Rais ndio anatekwa ukihesabu kwa awamu mbili hawawezi kufika watu watatu tofauti na sasa hivi ambako hata watu ambao hawana nguvu yoyote yaani watu ambao hata kuyaendesha maisha yao bado ni mtihani pia wanatekwa idadi ni kubwa mno kwa sasa haijawahi kutokea kama hivi hadi kupelekea wananchi wote kupata taharuki kama hivi.
Kina Siyovelwa na Kisumo walipoua watu kule Kanda ya Ziwa walikuwa na shida gani kwa taifa wale Wasukuma ?

Kina Mwalulesya na Chipaka wanavyowekwa kizuizini na kuharibiwa maisha walikuwa na uhatari gani kwa usalama wa nchi ?

Mtoto wa Kambona alipigwa risasi kule Uingereza bila sababu za msingi, kama ambavyo Kagame anafanya leo hii. Mtoto alikuwa ni tishio gani sasa ?

Ni ROHO MBAYA TU ambayo kama hatutakubali kujifanyia tathmini na kubadilika, kesho unaweza ukawa ni wewe. Mwalimu kuna mahala alipatia na kuna sehemu alivurunda mno kutengeneza A Cult of Personality na kuilinda kwa gharama yoyote ile.​
 
ninasita kusema, kwa kuwa mzee wa ukopa namuheshimu sana, lkn nakaribia kuunganisha dot.

Juzi ni kama alihalakisha mauwaji haya. Akisema biblia inaruhusu watu wa kitengo wakisaliti wanapaswa kuuwawa. Haijapita hata siku 5 mauwaji yakatokea.

Sina link lkn aliyeona aweza kuunganisha dot

Pili nadhani kuna maadui wa Samia. Sijui kama ni wafuasi wa chama walioko serikali.... sijui

Lkn waliofanya haya ni maadui wa mama walioko ndani ya mfumo.

Lengo ni kumuangusha.

Kila jambo lina kheri zake.

Na kwa hakika ktk hakuna muislam wanaingia msikiti ambae anaweza kufanya unyama huu

Msikilize Sheikh Mwaipopo utamweleza zaidi.
 
K
Watanzania tuna kumbukumbu ndogo sana. Hii michezo ya maafisa wa vyombo vya dola kushughulikiwa kisa kupishana na chama tawala ulianza tangu awamu ya kwanza, sema kwasababu ya SELECTIVE JUDGMENT and CHERRY-PICKING HISTORY huwa tunamchagua Raisi wa kumchukia na kumpenda.

Ila huu utamaduni umekuwepo muda mrefu sana hapa nchini Tanzania.

Kwa hiyo imekuwa swala la utamaduni, sasa tuendeleze utamaduni wetu au inatosha kwa sasa?
 
Huyu Mzee Ali. M. Kibao aliwahi kuwa Mwanajeshi kwa nafasi yenye hadhi kiasi flani. Hakuwa mtu wa mitandao sana. Huwezi msikia akipinga jambo la Serikali au kukemea. Alikuwa silent sana.

Na utekaji wake si kwamba alitafutwa atekwe tu auawe randomly. Hapana. Ni mkakati ambao unaweza kuta hata mle ndani walikuwepo watu kadhaa wakifuatilia nyendo zake.

Ni kwamba alikuwa kwenye list ya wahusika ambao walipata taarifa ambazo zikawafanya watake taarifa zaidi kwa mhusika. Kwa nini?

Ndo sababu ya kumtesa wakitaka kupata taarifa hizo. Aseme kwa kiwango ambacho walihitaji. Na baada ya kukamilisha waliona ni bora wapoteze ushahidi. Amwagiwe tindikali usoni asitambulike.

Kisha tungepata taarifa polisi imeokotwa maiti ya mtu ambaye ni jambazi, alifumaniwa, alienda kwa mganga au mfanyabiashara aliyekuwa na maadui. WATACHUNGUZA ZAIDI. Period.

Lakini Mungu ana namna ya kuwafichua waovu. Kama ambavyo alitekwa yule bwana mdogo ambaye alipigwa risasi kichwani wakamwacha afe. HAKUFA. HE LIVED TO TELL.

Huyu mzee Mungu tu alitaka kuwafunua macho na masikio Watanzania. Kuwa waamke. Maana mtu akipona wanasahau haraka. Labda akifa watashtuka.

Sasa hatujui nini kilikuwa kinatafutwa. Lakini who is next? Na shida ni nini exactly?
Hayati ????
 
Back
Top Bottom