Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Wap hapo nilimuita Mungu?🚮🚮🚮 Ndio maana mnapata laana na mnamponza huyo JPM wenu maana mlianza kumuita Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wap hapo nilimuita Mungu?🚮🚮🚮 Ndio maana mnapata laana na mnamponza huyo JPM wenu maana mlianza kumuita Mungu.
kabisa wakati hadi toothspick tunaletewa toka china halafu ndege zinarudi na twiga kama parcelKwanza hii Nchi masikini ya kutupwa inasiri Gani ya maana ambayo Hadi inapelwkea kuua watu?
Jiwe ndiye muasisi wa utekajiWakati yakifanyika yeye akiwepo ni nani alikuwa anafanya? Kwa Sasa ni nani anafanya?
Alisingiziwa?JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Mwenge ule 😂Sijui ni kwanini mtu ukishakuwa mfuasi wa CCM unakuwa mjinga!
Au sifa ya kuwa mwanachama ni UJINGA!?
Binafsi nimeshakuelewa vizuri sana ndugu Brigedia General Carlitos Way!Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
🤔 So, kinachoendelea, jinsi kinavyoendelea ni hali ya kawaida tangu enzi zile. Kwamba kinachoshangaza ni hizi kelele nyingi za taharuki ambazo haziutendei haki uongozi wa sasa. Au…?Watanzania tuna kumbukumbu ndogo sana. Hii michezo ya maafisa wa vyombo vya dola kushughulikiwa kisa kupishana na chama tawala ulianza tangu awamu ya kwanza, sema kwasababu ya SELECTIVE JUDGMENT and CHERRY-PICKING HISTORY huwa tunamchagua Raisi wa kumchukia na kumpenda.
Ila huu utamaduni umekuwepo muda mrefu sana hapa nchini Tanzania.
Ndio alisingiziwa.Alisingiziwa?
Wanasema eti yeye ndio muwasisi wa haya mambo.JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Ni jambo la kufikirisha sana kwa kweli.Uhalisia ni kwamba empire ina uhakika wa kushinda uchaguzi kwa ushindi mzuri tu kutokana na mambo mengi ambayo namba moja ameyafanya yaliyogusa mioyo ya watu wengi.Kuna uongozi na utu,namba moja ameutuhudhihirishia utu wake si kwa mtaji wa kisiasa bali ni makuzi yake aliyolelewa.Namba moja wetu ana utu na ni mwenye kujali.Tayari ushindi tunao sasa kwa nini madoa kama haya?Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
Miaka miwili hayupo, kwahy huyu rais wa sasa ameshindwa kuvunja hayo mambo?Wanasema eti yeye ndio muwasisi wa haya mambo.
Ngoja wahusika wake kukujibu chief.Miaka miwili hayupo, kwahy huyu rais wa sasa ameshindwa kuvunja hayo mambo?
Satifa alikuwa na ''taarifa'' gani muhimu? Kumbuka walitumia watu, muda na mali nyingi ili tu kwenda kumuua kwenye mbuga za Katavi.Huyu Mzee Ali. M. Kibao aliwahi kuwa Mwanajeshi kwa nafasi yenye hadhi kiasi flani. Hakuwa mtu wa mitandao sana. Huwezi msikia akipinga jambo la Serikali au kukemea. Alikuwa silent sana.
Na utekaji wake si kwamba alitafutwa atekwe tu auawe randomly. Hapana. Ni mkakati ambao unaweza kuta hata mle ndani walikuwepo watu kadhaa wakifuatilia nyendo zake.
Ni kwamba alikuwa kwenye list ya wahusika ambao walipata taarifa ambazo zikawafanya watake taarifa zaidi kwa mhusika. Kwa nini?
Ndo sababu ya kumtesa wakitaka kupata taarifa hizo. Aseme kwa kiwango ambacho walihitaji. Na baada ya kukamilisha waliona ni bora wapoteze ushahidi. Amwagiwe tindikali usoni asitambulike.
Kisha tungepata taarifa polisi imeokotwa maiti ya mtu ambaye ni jambazi, alifumaniwa, alienda kwa mganga au mfanyabiashara aliyekuwa na maadui. WATACHUNGUZA ZAIDI. Period.
Lakini Mungu ana namna ya kuwafichua waovu. Kama ambavyo alitekwa yule bwana mdogo ambaye alipigwa risasi kichwani wakamwacha afe. HAKUFA. HE LIVED TO TELL.
Huyu mzee Mungu tu alitaka kuwafunua macho na masikio Watanzania. Kuwa waamke. Maana mtu akipona wanasahau haraka. Labda akifa watashtuka.
Sasa hatujui nini kilikuwa kinatafutwa. Lakini who is next? Na shida ni nini exactly?
Kama hao wawili wanaweza kufanya mambo kama hayo na Serikali ipo inawachekea tu basi tuna serikali dhaifu sana.Binafsi nimeshakuelewa vizuri sana ndugu Brigedia General Carlitos Way!
Niliwahi kukaa na bwana mmoja akaniambia bwana mwezi februari na bwana penati nanauke ni watu hata sana! Nikamuona mbabaishaji...
Bora ungekaa kimya Tu.Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
Labda alishiriki kumuua Dkt Magufuli yaani mambo mengi hata la kuchukua tunakosaHuyu Mzee Ali. M. Kibao aliwahi kuwa Mwanajeshi kwa nafasi yenye hadhi kiasi flani. Hakuwa mtu wa mitandao sana. Huwezi msikia akipinga jambo la Serikali au kukemea. Alikuwa silent sana.
Na utekaji wake si kwamba alitafutwa atekwe tu auawe randomly. Hapana. Ni mkakati ambao unaweza kuta hata mle ndani walikuwepo watu kadhaa wakifuatilia nyendo zake.
Ni kwamba alikuwa kwenye list ya wahusika ambao walipata taarifa ambazo zikawafanya watake taarifa zaidi kwa mhusika. Kwa nini?
Ndo sababu ya kumtesa wakitaka kupata taarifa hizo. Aseme kwa kiwango ambacho walihitaji. Na baada ya kukamilisha waliona ni bora wapoteze ushahidi. Amwagiwe tindikali usoni asitambulike.
Kisha tungepata taarifa polisi imeokotwa maiti ya mtu ambaye ni jambazi, alifumaniwa, alienda kwa mganga au mfanyabiashara aliyekuwa na maadui. WATACHUNGUZA ZAIDI. Period.
Lakini Mungu ana namna ya kuwafichua waovu. Kama ambavyo alitekwa yule bwana mdogo ambaye alipigwa risasi kichwani wakamwacha afe. HAKUFA. HE LIVED TO TELL.
Huyu mzee Mungu tu alitaka kuwafunua macho na masikio Watanzania. Kuwa waamke. Maana mtu akipona wanasahau haraka. Labda akifa watashtuka.
Sasa hatujui nini kilikuwa kinatafutwa. Lakini who is next? Na shida ni nini exactly?
Kwa nini??JPM alisingiziwa mabaya mengi sana