Ni taarifa gani Hayati Ally Kibao alikuwa nazo kiasi cha kuepelekea kifo chake?

Ni taarifa gani Hayati Ally Kibao alikuwa nazo kiasi cha kuepelekea kifo chake?

Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
Binafsi nimeshakuelewa vizuri sana ndugu Brigedia General Carlitos Way!

Niliwahi kukaa na bwana mmoja akaniambia bwana mwezi februari na bwana penati nanauke ni watu hata sana! Nikamuona mbabaishaji...
 
Watanzania tuna kumbukumbu ndogo sana. Hii michezo ya maafisa wa vyombo vya dola kushughulikiwa kisa kupishana na chama tawala ulianza tangu awamu ya kwanza, sema kwasababu ya SELECTIVE JUDGMENT and CHERRY-PICKING HISTORY huwa tunamchagua Raisi wa kumchukia na kumpenda.

Ila huu utamaduni umekuwepo muda mrefu sana hapa nchini Tanzania.
🤔 So, kinachoendelea, jinsi kinavyoendelea ni hali ya kawaida tangu enzi zile. Kwamba kinachoshangaza ni hizi kelele nyingi za taharuki ambazo haziutendei haki uongozi wa sasa. Au…?
 
Kuna mwamba mmoja anakuambia "Unajenga lami alafu unaua watu sasa lami za niniii!!!?"

Unanunua ndege alaf wanaotakiwa kupanda unawaua, Sasa ndege za kazi gani!!?

Anyway Kama mzee wetu alitenda kosa kubwa kiasi cha kuhukumiwa kifo cha kikatili vile Basi bado wapo weengi sana kwenye mnyororo.
 
Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
Ni jambo la kufikirisha sana kwa kweli.Uhalisia ni kwamba empire ina uhakika wa kushinda uchaguzi kwa ushindi mzuri tu kutokana na mambo mengi ambayo namba moja ameyafanya yaliyogusa mioyo ya watu wengi.Kuna uongozi na utu,namba moja ameutuhudhihirishia utu wake si kwa mtaji wa kisiasa bali ni makuzi yake aliyolelewa.Namba moja wetu ana utu na ni mwenye kujali.Tayari ushindi tunao sasa kwa nini madoa kama haya?
Mtazamo wangu kuna watu wanapata kiwewe na taswira nzuri ya namba moja inayozidi kujijenga kila siku hali inayotishia mikakati yao shindani.Sasa wanaamua kuweka makorongo kwenye barabara nzuri ili safari iwe ngumu na dereva akinai na uchovu wa safari.

Huu ni mtizamo wangu.

Mungu Ibariki Tanzania
 
Huyu Mzee Ali. M. Kibao aliwahi kuwa Mwanajeshi kwa nafasi yenye hadhi kiasi flani. Hakuwa mtu wa mitandao sana. Huwezi msikia akipinga jambo la Serikali au kukemea. Alikuwa silent sana.

Na utekaji wake si kwamba alitafutwa atekwe tu auawe randomly. Hapana. Ni mkakati ambao unaweza kuta hata mle ndani walikuwepo watu kadhaa wakifuatilia nyendo zake.

Ni kwamba alikuwa kwenye list ya wahusika ambao walipata taarifa ambazo zikawafanya watake taarifa zaidi kwa mhusika. Kwa nini?

Ndo sababu ya kumtesa wakitaka kupata taarifa hizo. Aseme kwa kiwango ambacho walihitaji. Na baada ya kukamilisha waliona ni bora wapoteze ushahidi. Amwagiwe tindikali usoni asitambulike.

Kisha tungepata taarifa polisi imeokotwa maiti ya mtu ambaye ni jambazi, alifumaniwa, alienda kwa mganga au mfanyabiashara aliyekuwa na maadui. WATACHUNGUZA ZAIDI. Period.

Lakini Mungu ana namna ya kuwafichua waovu. Kama ambavyo alitekwa yule bwana mdogo ambaye alipigwa risasi kichwani wakamwacha afe. HAKUFA. HE LIVED TO TELL.

Huyu mzee Mungu tu alitaka kuwafunua macho na masikio Watanzania. Kuwa waamke. Maana mtu akipona wanasahau haraka. Labda akifa watashtuka.

Sasa hatujui nini kilikuwa kinatafutwa. Lakini who is next? Na shida ni nini exactly?
Satifa alikuwa na ''taarifa'' gani muhimu? Kumbuka walitumia watu, muda na mali nyingi ili tu kwenda kumuua kwenye mbuga za Katavi.
 
Binafsi nimeshakuelewa vizuri sana ndugu Brigedia General Carlitos Way!

Niliwahi kukaa na bwana mmoja akaniambia bwana mwezi februari na bwana penati nanauke ni watu hata sana! Nikamuona mbabaishaji...
Kama hao wawili wanaweza kufanya mambo kama hayo na Serikali ipo inawachekea tu basi tuna serikali dhaifu sana.
 
Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
Bora ungekaa kimya Tu.
 
Huyu Mzee Ali. M. Kibao aliwahi kuwa Mwanajeshi kwa nafasi yenye hadhi kiasi flani. Hakuwa mtu wa mitandao sana. Huwezi msikia akipinga jambo la Serikali au kukemea. Alikuwa silent sana.

Na utekaji wake si kwamba alitafutwa atekwe tu auawe randomly. Hapana. Ni mkakati ambao unaweza kuta hata mle ndani walikuwepo watu kadhaa wakifuatilia nyendo zake.

Ni kwamba alikuwa kwenye list ya wahusika ambao walipata taarifa ambazo zikawafanya watake taarifa zaidi kwa mhusika. Kwa nini?

Ndo sababu ya kumtesa wakitaka kupata taarifa hizo. Aseme kwa kiwango ambacho walihitaji. Na baada ya kukamilisha waliona ni bora wapoteze ushahidi. Amwagiwe tindikali usoni asitambulike.

Kisha tungepata taarifa polisi imeokotwa maiti ya mtu ambaye ni jambazi, alifumaniwa, alienda kwa mganga au mfanyabiashara aliyekuwa na maadui. WATACHUNGUZA ZAIDI. Period.

Lakini Mungu ana namna ya kuwafichua waovu. Kama ambavyo alitekwa yule bwana mdogo ambaye alipigwa risasi kichwani wakamwacha afe. HAKUFA. HE LIVED TO TELL.

Huyu mzee Mungu tu alitaka kuwafunua macho na masikio Watanzania. Kuwa waamke. Maana mtu akipona wanasahau haraka. Labda akifa watashtuka.

Sasa hatujui nini kilikuwa kinatafutwa. Lakini who is next? Na shida ni nini exactly?
Labda alishiriki kumuua Dkt Magufuli yaani mambo mengi hata la kuchukua tunakosa
 
Back
Top Bottom