Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Zaidi ya miaka miwili sasa lkn mambo n yaleyale 😂Sasa hivi hayupo wanahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaidi ya miaka miwili sasa lkn mambo n yaleyale 😂Sasa hivi hayupo wanahaha
Na badoZaidi ya miaka miwili sasa lkn mambo n yaleyale 😂
Mkuu ukweli n kuwa chura kiziwi anazingua kawaachia watu waendeshe nchi wakimwaminisha kuwa watamsaidia 2025,ki kina february unawaonea tu kuwa wana uwezo wa kumilik genge la kuweza kuteka na kuua bas wanaweza pindua nchi,nchi haiko salama tena.Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
hivyo huu ni utaratibu wetu iendelee tu siyo?
Innalillahi waina illayhi roojeuniserikali Ina mashine zote,lkn mauaji yana shamiri,tunaachaje kuituhumu yenyewe?
Mtoto wa kahaba weweHapa kuna jambo la kukumbuka, mauwaji ya namna hii yanayohusisha tindikali, kuharibiwa uso vibaya sana sio mauwaji yanayofanya na polisi au serikali,
Kumbukumbu zinaonesha Mauwaji ya namna hii yamefanywa na Chadema dhidi ya wafuasi wake waliowatoa kafara ushahidi ni matamshi ya aliekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Dr. Silaha.
Ni wakati umefika wa Watanzania Kuyatazama mambo kwa mapana zaidi ya hisia zetu ni mihemko ya wanasiasa.
Sina shaka kwamba Polisi hawawezi teka mtu mkubwa kisiasa kama alivykuwa Alli Kibao halafu wakafanye ujinga wa kitoto kiasi kile eti wateke hadharani wauwe na kutelekeza maiti hadharani hii sio polisi ya Tanzania..
Ukisema tu wabongo utajumlisha hata wasioamini hivyo, ila kuna baadhi ya watu wanapenda kuamini hivyo na wanataka ndio iwe hivyo tu.Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua mauaji ya huyu ndugu yetu ni serikali yetu ya mama imeshiriki. Wahuni ni watu wabaya sana wanatumia mbinu zote kumchafua mama lakini mwisho wa yote watashindwa tu. Huu utekaji umeshamiri sasa hivi baada ya wahuni kutimuliwa kwenye baraza la mawaziri. Ila kwa vile wabongo wengi ni wapumbavu wataamini ni serkali ndio imefanya upuuzi huu.
Sawa kabisa!Huenda historia imejirudia. Kombe... Mzee Ally Mohammed Kibao. Mwenyezi Mungu awapumzishe kwa amani.
Utamadunu wa usio wa kistaarabu hata kidogo.Watanzania tuna kumbukumbu ndogo sana. Hii michezo ya maafisa wa vyombo vya dola kushughulikiwa kisa kupishana na chama tawala ulianza tangu awamu ya kwanza, sema kwasababu ya SELECTIVE JUDGMENT and CHERRY-PICKING HISTORY huwa tunamchagua Raisi wa kumchukia na kumpenda.
Ila huu utamaduni umekuwepo muda mrefu sana hapa nchini Tanzania.
Wale wahuni si bado wapo wanafanya hivyo kumfurahisha kiongozi na kumpa taarifa za uongo huyu Mzee asingekua anajulikana ingeishia hewani yule mtoto wa Mbeya kapelekwa mahakamani katoka nasikia katekwa tena..Walisema ni JPM
Hayupo lakini bado yapo
🚮🚮🚮 Ndio maana mnapata laana na mnamponza huyo JPM wenu maana mlianza kumuita Mungu.JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Ila Kwa Sasa Rais ndio tatizo? Au ni mfumo?Watu wengi walisema mabaya kwa JPM ila n miaka zaidi ya miwili sasa JPM hayupo ila matendo maovu yanaendelea, ndio tujue JPM hakuwa tatizo bali n mfumo mzima wa serikali.
Haya mambo hata kwa Nyerere yalikuwepo.
chura alishasema yeye na mwendazake ni kitu kimojaJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Wakati yakifanyika yeye akiwepo ni nani alikuwa anafanya? Kwa Sasa ni nani anafanya?Walisema ni JPM
Hayupo lakini bado yapo
Kipindi kile walifanya kumfurahisha nani?Wale wahuni si bado wapo wanafanya hivyo kumfurahisha kiongozi na kumpa taarifa za uongo huyu Mzee asingekua anajulikana ingeishia hewani yule mtoto wa Mbeya kapelekwa mahakamani katoka nasikia katekwa tena..
Kawaulize hao wenye defender wanaosimamisha magari hapo bwawani na kuteka watu.Kipindi kile walifanya kumfurahisha nani?