Inaumiza zaidi kuona watu potential ndo wanauwawa na kuwaachia wajinga wengiVipi mahakama na bunge ambalo lilikataa kuhoji kuhusu utekaji, rais hawezi kukwepa lawama Kama ameshindwa kulindwa uhai wa watanzania Bora akapumzike kimkazi awaachie wenye uwezo wa kuongoza.
Wakati wa JPM wafanyabiashara wengi waliopotea
Tutaendele vipi? kama tiss inaratibu kuua watu muhimu kwenye jamii
Ili wajinga ndani ya ccm wasuvive?