Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Wadau, kupitia gazeti la mwananchi la tarehe 20/12/20 Brg. Gen Mbungo, kamanda wa Takukuru Tanzania ameeleza kuwa, kuna taasisi nyingi zinaumiza wananchi kwa kutoza riba kubwa, ikiwemo kushikilia mali za watu kutokana na mikopo umiza.
Km unauelewa wa taasisi hizo au vikundi hivyo, basi vitaje hapa kwa jina, na mkoa, hii itasaidia TAKUKURU kufatilia taasisi hizo.
Km unauelewa wa taasisi hizo au vikundi hivyo, basi vitaje hapa kwa jina, na mkoa, hii itasaidia TAKUKURU kufatilia taasisi hizo.