Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
- Thread starter
- #21
Utakuwa chadema! Maana chadema akiona neno CCM nikama Nguruwe kukatiza msikitini. Ha ha ha ha chama mfu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa chadema! Maana chadema akiona neno CCM nikama Nguruwe kukatiza msikitini. Ha ha ha ha chamaJitie
Jitie upofu tu...ni kawaida kwa mpumbavu na mwehu kushindwa kuangalia vitu kwa uhalisia....hongera.Utakuwa chadema! Maana chadema akiona neno CCM nikama Nguruwe kukatiza msikitini. Ha ha ha ha chama mfu.
Hata kama hakulazimishwa lakini riba ziko kisheria haujipangii tu wewe.kwani ulilazimishwa kukopa? hilo ndo tatizo la kutokusoma miongozo ya hizo taasisi alafu unakopa baadae unakuja kulialia
sawa nmekuelewaHata kama hakulazimishwa lakini riba ziko kisheria haujipangii tu wewe.
Beyport hii taasisi wansumiza sana mtu unakopa unarudisha mara mbili ya pesa ulokopa,haifai kabisaWadau, kupitia gazeti la mwananchi la tarehe 20/12/20 Brg. Gen Mbungo, kamanda wa Takukuru Tanzania ameeleza kuwa, kuna taasisi nyingi zinaumiza wananchi kwa kutoza riba kubwa, ikiwemo kushikilia mali za watu kutokana na mikopo umiza.
Km unauelewa wa taasisi hizo au vikundi hivyo, basi vitaje hapa kwa jina, na mkoa, hii itasaidia TAKUKURU kufatilia taasisi hizo.
Bay port ya dar hawa ni matapeli kabisaWadau, kupitia gazeti la mwananchi la tarehe 20/12/20 Brg. Gen Mbungo, kamanda wa Takukuru Tanzania ameeleza kuwa, kuna taasisi nyingi zinaumiza wananchi kwa kutoza riba kubwa, ikiwemo kushikilia mali za watu kutokana na mikopo umiza.
Km unauelewa wa taasisi hizo au vikundi hivyo, basi vitaje hapa kwa jina, na mkoa, hii itasaidia TAKUKURU kufatilia taasisi hizo.
Bayport au Platinum Credit ni Microfinance, usikope mkopo wa muda mrefu Kwasababu tu eti wana masharti nafuu na mikopo yao ni faster.Beyport hii taasisi wansumiza sana mtu unakopa unarudisha mara mbili ya pesa ulokopa,haifai kabisa
Wewe ni mfanyakazi wa TAKUKURU?Wadau, kupitia gazeti la mwananchi la tarehe 20/12/20 Brg. Gen Mbungo, kamanda wa Takukuru Tanzania ameeleza kuwa, kuna taasisi nyingi zinaumiza wananchi kwa kutoza riba kubwa, ikiwemo kushikilia mali za watu kutokana na mikopo umiza.
Km unauelewa wa taasisi hizo au vikundi hivyo, basi vitaje hapa kwa jina, na mkoa, hii itasaidia TAKUKURU kufatilia taasisi hizo.
-Benk zote Tanzania ni wanyonyaji,ndio maana Tz inaongoza kwa Idadi ya Bank ukanda wa Afrika mashariki na kusini.Finca