Ni tabia gani unatamani usiwe nazo 202?

Ni tabia gani unatamani usiwe nazo 202?

trisha cute

Senior Member
Joined
Dec 1, 2020
Posts
194
Reaction score
608
Happy new year guys nashukuru Mungu nimeona 2021 kwa neema na nimeingia 2021 kwa kuanza na Mungu nimepokea mwaka mpya nikiwa kanisan naposali "Reality of christ ministry Sinza Mori"

But well sisi kama binadam tunakuwa na mipango, malengo na tabia ambazo hatupendi kuexperience kwa mwaka mwingine binafsi mwaka 2020 kuna tabia nilikua sifurahishwi nazo kwangu na sitamani kuingia nazo mwaka huu "ikiwemo kutoweka savings" maana hii imenicost kwenye kutofanikisha malengo yangu vile inavyotakiwa.

SHARE EXPERIENCE YAKO, JE WEWE NI TABIA GANI HAUTAMAN KUWA NAZO KWA MWAKA HUU 2021?
 
Happy new year guys nashukuru Mungu nimeona 2021 kwa neema na nimeingia 2021 kwa kuanza na Mungu nimepokea mwaka mpya nikiwa kanisan naposali "Reality of christ ministry sinza mori"
But well sisi kama binadam tunakua na mipango, malengo na tabia ambazo hatupendi kuexperience kwa mwaka mwingine binafsi mwaka 2020 kuna tabia nilikua sifurahishwi nazo kwangu na sitaman kuingia nazo mwaka huu "ikiwemo kutoweka savings" mana hii imenicost kwenye kutofanikisha malengo yangu vile inavotakiwa

SHARE EXPERIENCE YAKO JE WW NI TABIA GANI HAUTAMAN KUWA NAZO KWA MWAKA HUU 2021
Dah zipo nyingi nashindwa hata niseme ipi, ngoja nikumbuke kwanza half nirudi tena.
 
Back
Top Bottom