Ni taifa gani kati ya haya ambalo limekuwa na mchango mkubwa zaidi Duniani katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia kwa muda wote na kwanini?

Ni taifa gani kati ya haya ambalo limekuwa na mchango mkubwa zaidi Duniani katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia kwa muda wote na kwanini?

Hivi unajua USA ni Taifa jipya sana kulinganisha na wenzie?

Jipya kwamba Lina miaka chini ya 300 lakini karibu kila kitu wamechukua kutoka ulaya hasa Uingereza. Kwahiyo ni kama extension ya Uingereza. Ukiiangalia hivyo maana hiyo sio jipya kivile systems nyingi zao ni kama za uingereza/ Europe.

Na wale waanzilishi walikuwa influenced, they studied and we're big admires of ancient Egypt.
 
Hivi unajua USA ni Taifa jipya sana kulinganisha na wenzie?
USA dollar bill has pyramids, The all seeing eyes and the eagle. Hivi vyote na vingine vingi wamecopy from Egyptian symbols and culture.

1676175047314.png
 
Kwa hili nakuunga mkono

Ila tangu kale hakuna Taifa lolote duniani lililokuwa na nguvu kiutawala na kiuchumi bila kupambana na kushinda vita

'' Survival for the fittest '' ndio ilikuwa ikitake place tangu enzi na hakuna utawala iliomaintain ubabe mpaka mwisho

Wagiriki waliangushwa na Warumi, Warumi walitawala dunia nzima kwa karne nyingi waliangushwa na Waingereza + Wajerumani + Wafaransa + Warusi wa zamani yakiwa in makabila madogo bado

Ulaya yote mpaka spain zikatawaliwa na Waarabu / Waturuki wa Ottoman Empire kwa karne kadhaa

Kila Mbabe ana Mbabe wake

Mwingereza mpaka Leo
 
Habari!

Taifa ni watu na tunapozungumzia mchango wa taifa katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia tunamaanisha jitihada za watu katika taifa husika katika kulitekeleza hilo.

Katika historia kuna watu wengi maarufu kutokana na vipaji pamoja na maarifa waliyokuwa nayo hapo zamani yaliyokuwa chanzo kikubwa cha mabadiliko mbalimbali ya kimaisha katika dunia yetu ambao wengi huyaita 'maendeleo'.

Watu kama vile Isaac Newton, Albert Einstein, Galileo Galilei, Aristotle, Leonardo da Vinci, Johannes Kepler, Marie Curie, Michael Faraday, Archimedes, Nikola Tesla, Alexander Graham Bell, Thomas Edison, James Watt ni baadhi tu.

Kuna mataifa mengi ambayo kwa umoja wake yamechangia katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia lakini kwa sasa tuzungumzie mataifa haya manne ya barani Ulaya yenye historia ndefu sana.

1) BRITAIN (Uingereza)
2) FRANCE (Ufaransa)
3) GERMANY (Ujerumani)
4) ITALY (Italia)

Kwa maoni yako, ni taifa lipi kati ya hayo ambalo kwa muda wote limekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya Kisayansi na Teknolojia tuzitumiazo hivi sasa na kwa sababu zipi?


Karibu!
Britain maan wao ndio waliofanya mapinduzi makubwa ya viwanda kwa mara ya kwanza 1700s.

Since then dunia imebadilika kwa speed ya radii..
 
Habari!

Taifa ni watu na tunapozungumzia mchango wa taifa katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia tunamaanisha jitihada za watu katika taifa husika katika kulitekeleza hilo.

Katika historia kuna watu wengi maarufu kutokana na vipaji pamoja na maarifa waliyokuwa nayo hapo zamani yaliyokuwa chanzo kikubwa cha mabadiliko mbalimbali ya kimaisha katika dunia yetu ambao wengi huyaita 'maendeleo'.

Watu kama vile Isaac Newton, Albert Einstein, Galileo Galilei, Aristotle, Leonardo da Vinci, Johannes Kepler, Marie Curie, Michael Faraday, Archimedes, Nikola Tesla, Alexander Graham Bell, Thomas Edison, James Watt ni baadhi tu.

Kuna mataifa mengi ambayo kwa umoja wake yamechangia katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia lakini kwa sasa tuzungumzie mataifa haya manne ya barani Ulaya yenye historia ndefu sana.

1) BRITAIN (Uingereza)
2) FRANCE (Ufaransa)
3) GERMANY (Ujerumani)
4) ITALY (Italia)

Kwa maoni yako, ni taifa lipi kati ya hayo ambalo kwa muda wote limekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya Kisayansi na Teknolojia tuzitumiazo hivi sasa na kwa sababu zipi?


Karibu!
Hakuna kama Germany, vita ya kwanza na ya pili za dunia ndizo zilizowatoa kwenye reli.
Schlodinger, laplase, Eisteen nk
 
Britain maan wao ndio waliofanya mapinduzi makubwa ya viwanda kwa mara ya kwanza 1700s.

Since then dunia imebadilika kwa speed ya radii..
Mapinduzi yameanza na UGERMAN sio Britain. Soma historia vzr mkuu
 
Habari!

Taifa ni watu na tunapozungumzia mchango wa taifa katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia tunamaanisha jitihada za watu katika taifa husika katika kulitekeleza hilo.

Katika historia kuna watu wengi maarufu kutokana na vipaji pamoja na maarifa waliyokuwa nayo hapo zamani yaliyokuwa chanzo kikubwa cha mabadiliko mbalimbali ya kimaisha katika dunia yetu ambao wengi huyaita 'maendeleo'.

Watu kama vile Isaac Newton, Albert Einstein, Galileo Galilei, Aristotle, Leonardo da Vinci, Johannes Kepler, Marie Curie, Michael Faraday, Archimedes, Nikola Tesla, Alexander Graham Bell, Thomas Edison, James Watt ni baadhi tu.

Kuna mataifa mengi ambayo kwa umoja wake yamechangia katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia lakini kwa sasa tuzungumzie mataifa haya manne ya barani Ulaya yenye historia ndefu sana.

1) BRITAIN (Uingereza)
2) FRANCE (Ufaransa)
3) GERMANY (Ujerumani)
4) ITALY (Italia)

Kwa maoni yako, ni taifa lipi kati ya hayo ambalo kwa muda wote limekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya Kisayansi na Teknolojia tuzitumiazo hivi sasa na kwa sababu zipi?


Karibu!
Swali lako naona limejikita kuhusu miaka kama 500 -600 iliyopita siyo kwenye historia yote ya dunia ukiangalia mifano uliyoitoa hapo juu.
 
Mwingereza asipofanya hivyo anakufa njaa kwsbb ana eneo Dogo sana na hana Mali ghafi ya kutosha lazima ategemee makoloni yake
Ni mvivu na mchoyo pamoja na ubwana umemzidi, kwani Mjapani mbona hana fujo na mtu
 
Habari!

Taifa ni watu na tunapozungumzia mchango wa taifa katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia tunamaanisha jitihada za watu katika taifa husika katika kulitekeleza hilo.

Katika historia kuna watu wengi maarufu kutokana na vipaji pamoja na maarifa waliyokuwa nayo hapo zamani yaliyokuwa chanzo kikubwa cha mabadiliko mbalimbali ya kimaisha katika dunia yetu ambao wengi huyaita 'maendeleo'.

Watu kama vile Isaac Newton, Albert Einstein, Galileo Galilei, Aristotle, Leonardo da Vinci, Johannes Kepler, Marie Curie, Michael Faraday, Archimedes, Nikola Tesla, Alexander Graham Bell, Thomas Edison, James Watt ni baadhi tu.

Kuna mataifa mengi ambayo kwa umoja wake yamechangia katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia lakini kwa sasa tuzungumzie mataifa haya manne ya barani Ulaya yenye historia ndefu sana.

1) BRITAIN (Uingereza)
2) FRANCE (Ufaransa)
3) GERMANY (Ujerumani)
4) ITALY (Italia)

Kwa maoni yako, ni taifa lipi kati ya hayo ambalo kwa muda wote limekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya Kisayansi na Teknolojia tuzitumiazo hivi sasa na kwa sababu zipi?


Karibu!
America iz the father of all nations
 
• WAGIRIKI / WAYUNANI

√ Elimu hasa ya darasani kwa dunia hii na Mifumo yake tangu utotoni mpaka Uzeeni (Elementary Education) kuhusu Saikolojia ya Binadamu, Falsafa ya ndani kabisa, na Matibabu

• WAISRAEL

√ Kilimo, Ubunifu na Ugunduzi wa Viwanda mbalimbali vikubwa duniani kote pamoja na silaha za kivita

• WALATINI YAANI WARUMI na nchi zake hasa ITALY, SPAIN & FRANCE

√ Uendelezaji na Uekezaji wa Elimu ya Wagiriki wa kale (Ancient Greeks) pamoja na Mapinduzi ya Uhandisi wa Majengo, hasa Makanisa, Shule, Barabara, Madaraja na Nyumba Imara na bora za kuishi

• WAMISRI WA KALE /ANCIENT EGYPTIANS

√ Uhandisi wa makaburi ya mapiramidi ya kudumu, Matibabu na Utawala


• WACHINA WA KALE / ANCIENT CHINESE

√ Matibabu na Madawa


• WAINGEREZA YAANI GREAT BRITAIN (GB) & OTHER GERMANIC NATIONS KAMA GERMANY YENYEWE

√ Kwa Modern world Baadae around karne ya 16 mpaka leo hii hawa wali take Over, wakaasisi Mapinduzi ya Viwanda vikubwa sana na Ugunduzi wa Umeme. Viwanda vya Magari, Meli, Treni, Vifaa vya Umeme, Drillers, Millers na Uongozi bora pamoja na Sheria hasa ile Magna Carta

• USA, JAPAN, KOREA, RUSSIA & TURKEY

√ Waliendeleza zaidi walichoanzisha Waisrael, Waingereza na Wajerumani ila USA na RUSSIA wakaenda zaidi kugundua usafiri wa Anga (Aircrafts), Internet na Silaha kali za kivita


• ISRAEL, HOLLAND

√ Kilimo cha kisasa na Ufugaji

Ahsante kubwa zaidi kwa Waingereza na Wamarekani kwani Sayansi, Elimu, Utawala, Sheria na teknolojia yao ndio tunayoiishi hata sasa, ambapo China na India nazo zinasambaza.

.........XXX.........XXX.........XXX.........XXX......
Uzi nondo kama za Fabian Ngajilo
 
Ina manufaa gani ukilinganisha na madhara yake mambo yakienda kombo!?
Teknolojia yoyote ikiwa umeamua kuitumia vibaya madhara yatapatikana. Chukua mfano wa kisu tu ukiamua kukitumia vizuri kitakusaidia katika shughuli zako lakini ukikitumia vibaya kitaleta madhara.
 
Teknolojia yoyote ikiwa umeamua kuitumia vibaya madhara yatapatikana. Chukua mfano wa kisu tu ukiamua kukitumia vizuri kitakusaidia katika shughuli zako lakini ukikitumia vibaya kitaleta madhara.
Achana na mifano ya kiwaki,pembua madhara Kama ya kinu Cha umeme Japan, Chernobyl nk
 
Habari!

Taifa ni watu na tunapozungumzia mchango wa taifa katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia tunamaanisha jitihada za watu katika taifa husika katika kulitekeleza hilo.

Katika historia kuna watu wengi maarufu kutokana na vipaji pamoja na maarifa waliyokuwa nayo hapo zamani yaliyokuwa chanzo kikubwa cha mabadiliko mbalimbali ya kimaisha katika dunia yetu ambao wengi huyaita 'maendeleo'.

Watu kama vile Isaac Newton, Albert Einstein, Galileo Galilei, Aristotle, Leonardo da Vinci, Johannes Kepler, Marie Curie, Michael Faraday, Archimedes, Nikola Tesla, Alexander Graham Bell, Thomas Edison, James Watt ni baadhi tu.

Kuna mataifa mengi ambayo kwa umoja wake yamechangia katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia lakini kwa sasa tuzungumzie mataifa haya manne ya barani Ulaya yenye historia ndefu sana.

1) BRITAIN (Uingereza)
2) FRANCE (Ufaransa)
3) GERMANY (Ujerumani)
4) ITALY (Italia)

Kwa maoni yako, ni taifa lipi kati ya hayo ambalo kwa muda wote limekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya Kisayansi na Teknolojia tuzitumiazo hivi sasa na kwa sababu zipi?


Karibu!
Sijaelewa mantiki ya swali lako,

Inavyoonesha jibu unalo na linafahamika,

Kumbuka nchi nyingi Zina michango hapa duniani,ila tofauti ni idadi ya michango,

Ukifanya utafiti ukawakusanya watoto wote wa darasa Fulani wa shule za misingi mfano wote wioshika nafasi ya kwanza katika mwaka Fulani ukawapa mtihani ni lazima atapatikana wa kwanza na WA mwisho.
Lkn haimaanishi wa mwisho ni kilaza.
Hivyo katika orodha ya hizo nchi ulizozitaja yupo atakaeonekana ana mchango mkubwa na mwingine mchango mdogo.

Kumbuka watu wote hatufansni mahitani.

Hatufanani changamoto.

Na hizi ndo chanzo Cha maendeleo.

Sasa najibu,Uingereza Ina mchango mkubwa kuliko wengene uliowataja.
 
Mwingereza mpaka Leo
kama kwa kugundua ziwa tanganyika sawa, lakini waswahili walishaligundua siku nyingi kabla yao...
I appreciate German the fathers of Mathematics and Physics Duniani, lakini hakuna sayari waliyowahi fika.
 
Back
Top Bottom