Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Nakumbuka hiyo ripoti ilisema chanzo kikubwa cha hizo ndoa kuvunjika ni WANAUME KUTAKA KUFANYA NA WAKE NGONO KINYUME NA MAUMBILEImeripotiwa karibuni kuwa kwa Dar es Salaam pekee ndo zaidi ya 300 zinavunja kila mwezi 🤔
Lakini baadae upepo ukipita huwa zinafufukaMapenzi na mahusiano 😃😃😃😃😃
Ndoa zilizokufa ila watu wanaishi pamoja ni nyingi mara4 ya hizo talaka zinazoombwa.
Ila heri talaka kuliko kuuana
Hapa nakubaliana na wewe. Ziko nyingi sana. Wanasogeza siku tuNdoa zilizokufa ila watu wanaishi pamoja ni nyingi mara4 ya hizo talaka zinazoombwa.
Wa kujinunisha anaye mupenzi wake, tabia ya kununa ipo kwa wanaawake wengi. Hakuna anachomiss nakwambia, tuna jifariji tuHivi unaijua raha ya kupewa kero ndogondogo na mke unayeishi naye chumba kimoja tena kila siku?Huyo hajui raha ya kumuona mke kajinunisha bila sababu.😂😂😂😂
Ukweli mchungu!!Ndoa ni jambo zuri.. tatizo watu tunaoa wake za watu na wanawake wanaolewa na waume za watu.
N.y.e.gezi tunaanza zipata toka tuna miaka 15. Ila ndoa tunafunga tukiwa na miaka 30. Hapo kati kati kwa miaka zaidi ya 15 ya nyegezi tumeonesha nyeti zetu kwa wenza kibao kabla ya mume ama mke.. sasa ndoa inadumu vipi?
Unaanzia wapi kumtuliza mke aliye na ma ex kumi yaani anajua kila staili ya dushelele.. ama mume mwenye ma ex 20
Vp kwa watu wa pwani ambao kwao kufunga ndoa wakiwa na umri mdog wa kuanzia miaka 20 ni jambo la kawaida nao tunawahukumu vipi?Ndoa ni jambo zuri.. tatizo watu tunaoa wake za watu na wanawake wanaolewa na waume za watu.
N.y.e.gezi tunaanza zipata toka tuna miaka 15. Ila ndoa tunafunga tukiwa na miaka 30. Hapo kati kati kwa miaka zaidi ya 15 ya nyegezi tumeonesha nyeti zetu kwa wenza kibao kabla ya mume ama mke.. sasa ndoa inadumu vipi?
Unaanzia wapi kumtuliza mke aliye na ma ex kumi yaani anajua kila staili ya dushelele.. ama mume mwenye ma ex 20
RITA ndo wana ukweli kuliko Ustawi wa JamiiNdoa 500 kwa mwaka!!?
Juzi Serikali imesema Dar es Salaam pekee zaidi ya ndoa 300 zinatalakiwa kila mwezi.
Please check your facts.
Mwananchi ilitakiwa kuomba radhi kwa kutofata RITA, maana RITA ndo wasajili wa ndoa ma talakaNakumbuka hiyo ripoti ilisema chanzo kikubwa cha hizo ndoa kuvunjika ni WANAUME KUTAKA KUFANYA NA WAKE NGONO KINYUME NA MAUMBILE
Ni sawa kabisa wala si utaniHuo ulikuwa unamfanya mwanamke ajione yeye yupo duniani kwa ajili ya kuolewa. Hata akiwa na elimu ama nafasi kubwa na mchango katika jamii, bila kuolewa anajiona hana thamani. Je, wewe unadhani ni sawa?
Naunga mkonyo hoja.Tupende tusipende, tutake tusitake, tukubali tukatae, tuelewe tusielewe;
"JANDO & UNYAGO" zilikuwa ni mila zenye impact kubwa kwenye kudumisha ndoa na kuimarisha domestic wellfare ya waafrika.
Mazuri yalikuwa yanazidi mabaya, kilichotakiwa ni kutoa yale mabaya na kubakisha mazuri..
Zamani mwanamke hata awe msomi vipi kamwe hawakubweteka na elimu zao kisha wakaacha attitude mke anayopaswa kuwa nayo.
Ila kwa sababu tumekubali kutawaliwa kielimu, kijamii, kiuchumi basi acha tule jeuri yetu.
Uzi ufungwe, hii ndio sababu ya wanawake wengi kuolewa sikuhizi. Shida zikiisha mwanamke haoni sababu ya kuendelea kumpenda na kumtii mumewe.Umasikini ndio unaowasukuma wanawake wengi wakiwemo hao wasomi kuingia kwenye ndoa, so umasikini wao ukiisha au wakimudu kujitegemea ile nguvu ya msukumo utoweka, tofauti na wanawake waliosukumwa na nguvu ya upendo kuingia kwenye ndoa.
ukweli mtupu.Ndoa ni jambo zuri.. tatizo watu tunaoa wake za watu na wanawake wanaolewa na waume za watu.
N.y.e.gezi tunaanza zipata toka tuna miaka 15. Ila ndoa tunafunga tukiwa na miaka 30. Hapo kati kati kwa miaka zaidi ya 15 ya nyegezi tumeonesha nyeti zetu kwa wenza kibao kabla ya mume ama mke.. sasa ndoa inadumu vipi?
Unaanzia wapi kumtuliza mke aliye na ma ex kumi yaani anajua kila staili ya dushelele.. ama mume mwenye ma ex 20