Ni tangazo lipi la biashara la TV au redio unalichukia/unalipenda?

Ni tangazo lipi la biashara la TV au redio unalichukia/unalipenda?

tofauti ya
Siilipend tangazo la SUNDER INTERNATIONAL la ITV na lile la Creesoft sabun ya unga nalo ni ITV yanakeraaaaaaaa maana ya muda. Mrefuuuuu kinyama
Siilipend tangazo la SUNDER INTERNATIONAL la ITV na lile la Creesoft sabun ya unga nalo ni ITV yanakeraaaaaaaa maana ya muda. Mrefuuuuu kinyama

Tofauti ya hivo vitu viwili ulivotaja ni Ipi..?
 
Lipo tangazo moja la family soap mtoto ana mmwagia tomato source mtu mzima halafu yule mtoto anapretend kana kwamba amefanya bahati mbaya wakati alimwelekezea yaani ni tangazo bovu hata tungempa mtoto wangu wa miaka miwili hawezi kutengeneza tangazo bovu namna ile. Tukubali tukatae wwnzetu kenya wako mbaaali sana kwenye kutengeneza matangazo haya ya video nadhani hapa kwetu bora tubakie na yale matangazo ya kuongea tu
 
matangazo yote ya sabuni za unga
nayachukia sana kwa uongo uliopitiliza
halafu kuna lile la godoro host ni monalisa
na matangazo yote ya coca-cola sio kama mabaya yanapata air time ya kutosha mpaka yanakera
by the way for me coca-cola ndiyo kampuni inayotengeneza matangazo mazuri kupita kampuni yoyote ile duniani
Ehee lile la magodoro pia ni bovu hatari, sidhani kama wenye nalo walilipa pesa au lilikuwa nila offer?
 
Sio kwel bwana,Lengo tunajua lilikuwa kuonyesha kuchanganyikiwa na mambo mwanzoni mwa mwaka kutokana na mambo kuwa mengi,lakini walitaka pia kuiga vichekesho flan ktk huyo mtu anayeongea vitu tofauti na alivyoulizwa lakini wakafeli limeboa badala yake

Walifeli wapi..? Tuelekeze nass tuwakosoe
 
Haya matangazo inabidi yaanze kuwa ethical m.f serengeti na tangazo lao "nipe bia ninywe" kwa kutumia tune ya happy birthday..ina affect watoto wetu unakuta na wao wako busy wanaimba nipe bia ninywe wakijua ni kitu kizuri.. Ethics people, ethics.
wanatengenezwa kisaikolojia baadae waje kua wanyaji hiyo ndio mantiki yao
 
Habar wadau,
Sanaa ya utengenezaji matangazo ya biashara Sasa hv imekua Sana na hata nchini kwetu si haba imeboreka Sana. Zamani matangazo ya biashara katika TV au redio ilikuwa ni kero kubwa kutokana na mengi kujali tu kuitangaza biashara husika Bila kumfanya msikilizaji kulipenda tangazo lenyewe

Kwa nchi za wenzetu matangazo haya huwa wanayajali Sana kiasi cha kuhakikisha yanavutia mno, Kwa wale watumiaji wa ving'amuz mtakuwa mnaona station za nje zilivyo na matangazo ya biashara ya kuvutia,mfano ukiwa unaangalia mpira Kwa supersports kabla ya mpira kuanza au halftime huwa Kuna matangazo ya biashara lakini yanavutia mno kiasi kwamba huwa ni sehemu ya burudani kuyatazama na huachoki.

Binafsi hapa Tanzania Kuna matangazo huwa siyapend balaa,mfano Kuna lile la timiza,yupo jamaa flan kashika gitaa kavaa viatu vya ajabu anaimba timiza timiza timiza ni mkombozi,silipendi kwelkwel,jingine la benk flan ni la redio yupo jamaa anaulizwa vitu na Dada flan yeye anajibu tofauti kama amechanganyikiwa,lengo la tangazo lilikuwa ni kulifanya lichekeshe lakini Kwa kuwa mwanaume yule anaongea Kwa kusoma skripti limekuwa baya tu,

Zaman clouds walikuwa na jamaa anayeigiza kikurya ktk matangazo ya redio niliyapenda Sana na yalikuwa yanachekesha mno. Juzjuz kulikuwa na tangazo la Tigopesa la mama wa nyumban yuko na mwanae mdogo yule mtoto siku anaanza kuongea anatamka ni tigopesa nililipenda Sana lile sikuwah kulichoka lakini limepotea ghafla, matangazo mengine nisiyoyapenda ni Yale ya mpoto dah siyapend kwelkwel.

Karibu mdau uchangie nawewe kuhusiana na tasnia hii ya matangazo ya biashara yapi yanakuboa na yapi unayapenda
49a560c81a72dd2754d45bc6bb2c6f1f.jpg
Hilo la timiza. Nikilisikia nabadilisha channel. Yule baba simpendiiiiii...
 
Lipo yangazo moja la family soap mtoto anamwagia tomato source mtu mzima halafu yule mtoto anapretend kana kwamba amefanya bahati mbaya yaani bovu hata tungempa mtoto wangu wa miaka miwili hawezi kutengeneza tangazo bovu namna lile. Tukubali tukatae Wakenya wako mbaaali sana kwenye kutengeneza matangazo haya ya hapa kwetu bora muongeage tu
Hilo la tomato sauce nibayaaaaaa...
 
tangazo la dstv la joti silipendi bora hata lile la maji ya afya la ray.
 
Napenda lile la Coke braza anamtesa dogo, mara headphone aziweke juu ya kabati dogo asifikie then anakuja ku-save Coke ya dogo isinywewe na wabandidu flani na kutishia kuinywa then anampa dogo, wakati dogo anainywa anainyanyua kitako inakuwa kama inampalia dogo af braza Anasepa[emoji1]
 
Walifeli wapi..? Tuelekeze nass tuwakosoe
Walitaka kulifanya liwe LA kuchekesha lakini yule mwanaume anayejibu amejibu huku anasoma script Ile Bila kufanya kama anaongea kawaida kiuhalisia kwahyo ikalifanya liboe
 
Back
Top Bottom