Natokea Kanda Maalum
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 749
- 1,310
Siilipend tangazo la SUNDER INTERNATIONAL la ITV na lile la Creesoft sabun ya unga nalo ni ITV yanakeraaaaaaaa maana ya muda. Mrefuuuuu kinyama
Siilipend tangazo la SUNDER INTERNATIONAL la ITV na lile la Creesoft sabun ya unga nalo ni ITV yanakeraaaaaaaa maana ya muda. Mrefuuuuu kinyama
Plus FAMILY detergentSiilipend tangazo la SUNDER INTERNATIONAL la ITV na lile la Creesoft sabun ya unga nalo ni ITV yanakeraaaaaaaa maana ya muda. Mrefuuuuu kinyama
Ehee lile la magodoro pia ni bovu hatari, sidhani kama wenye nalo walilipa pesa au lilikuwa nila offer?matangazo yote ya sabuni za unga
nayachukia sana kwa uongo uliopitiliza
halafu kuna lile la godoro host ni monalisa
na matangazo yote ya coca-cola sio kama mabaya yanapata air time ya kutosha mpaka yanakera
by the way for me coca-cola ndiyo kampuni inayotengeneza matangazo mazuri kupita kampuni yoyote ile duniani
Sio kwel bwana,Lengo tunajua lilikuwa kuonyesha kuchanganyikiwa na mambo mwanzoni mwa mwaka kutokana na mambo kuwa mengi,lakini walitaka pia kuiga vichekesho flan ktk huyo mtu anayeongea vitu tofauti na alivyoulizwa lakini wakafeli limeboa badala yake
nilipenda mapozi ya yule dada hasa pale anapofumba macho na pale anaposema "utakunywa hapahapa"Hili la cocacola la sasa hivi sijiu happy hour........
Limekaa kimahaba kimahaba
wanatengenezwa kisaikolojia baadae waje kua wanyaji hiyo ndio mantiki yaoHaya matangazo inabidi yaanze kuwa ethical m.f serengeti na tangazo lao "nipe bia ninywe" kwa kutumia tune ya happy birthday..ina affect watoto wetu unakuta na wao wako busy wanaimba nipe bia ninywe wakijua ni kitu kizuri.. Ethics people, ethics.
Nalipenda Sana. Hasa Yule mdada akisema. Inabidi uinywe hapa hapa....Hili la cocacola la sasa hivi sijiu happy hour........
Limekaa kimahaba kimahaba
Hilo la timiza. Nikilisikia nabadilisha channel. Yule baba simpendiiiiii...Habar wadau,
Sanaa ya utengenezaji matangazo ya biashara Sasa hv imekua Sana na hata nchini kwetu si haba imeboreka Sana. Zamani matangazo ya biashara katika TV au redio ilikuwa ni kero kubwa kutokana na mengi kujali tu kuitangaza biashara husika Bila kumfanya msikilizaji kulipenda tangazo lenyewe
Kwa nchi za wenzetu matangazo haya huwa wanayajali Sana kiasi cha kuhakikisha yanavutia mno, Kwa wale watumiaji wa ving'amuz mtakuwa mnaona station za nje zilivyo na matangazo ya biashara ya kuvutia,mfano ukiwa unaangalia mpira Kwa supersports kabla ya mpira kuanza au halftime huwa Kuna matangazo ya biashara lakini yanavutia mno kiasi kwamba huwa ni sehemu ya burudani kuyatazama na huachoki.
Binafsi hapa Tanzania Kuna matangazo huwa siyapend balaa,mfano Kuna lile la timiza,yupo jamaa flan kashika gitaa kavaa viatu vya ajabu anaimba timiza timiza timiza ni mkombozi,silipendi kwelkwel,jingine la benk flan ni la redio yupo jamaa anaulizwa vitu na Dada flan yeye anajibu tofauti kama amechanganyikiwa,lengo la tangazo lilikuwa ni kulifanya lichekeshe lakini Kwa kuwa mwanaume yule anaongea Kwa kusoma skripti limekuwa baya tu,
Zaman clouds walikuwa na jamaa anayeigiza kikurya ktk matangazo ya redio niliyapenda Sana na yalikuwa yanachekesha mno. Juzjuz kulikuwa na tangazo la Tigopesa la mama wa nyumban yuko na mwanae mdogo yule mtoto siku anaanza kuongea anatamka ni tigopesa nililipenda Sana lile sikuwah kulichoka lakini limepotea ghafla, matangazo mengine nisiyoyapenda ni Yale ya mpoto dah siyapend kwelkwel.
Karibu mdau uchangie nawewe kuhusiana na tasnia hii ya matangazo ya biashara yapi yanakuboa na yapi unayapenda
Hilo la tomato sauce nibayaaaaaa...Lipo yangazo moja la family soap mtoto anamwagia tomato source mtu mzima halafu yule mtoto anapretend kana kwamba amefanya bahati mbaya yaani bovu hata tungempa mtoto wangu wa miaka miwili hawezi kutengeneza tangazo bovu namna lile. Tukubali tukatae Wakenya wako mbaaali sana kwenye kutengeneza matangazo haya ya hapa kwetu bora muongeage tu
Creensoft= Clean softSiilipend tangazo la SUNDER INTERNATIONAL la ITV na lile la Creesoft sabun ya unga nalo ni ITV yanakeraaaaaaaa maana ya muda. Mrefuuuuu kinyama