basi sawa kuna lingine jipya la ......... linakuja watajirekebishaWalitaka kulifanya liwe LA kuchekesha lakini yule mwanaume anayejibu amejibu huku anasoma script Ile Bila kufanya kama anaongea kawaida kiuhalisia kwahyo ikalifanya liboe
umesahau huu ni mwezi wa mahaba,by the way happy valentine !Hili la cocacola la sasa hivi sijiu happy hour........
Limekaa kimahaba kimahaba
Haya matangazo inabidi yaanze kuwa ethical m.f serengeti na tangazo lao "nipe bia ninywe" kwa kutumia tune ya happy birthday..ina affect watoto wetu unakuta na wao wako busy wanaimba nipe bia ninywe wakijua ni kitu kizuri.. Ethics people, ethics.
ha haaa haaaa kale kadada kanavyomrembulia jamaa!umesahau huu ni mwezi wa mahaba,by the way happy valentine !
mkuu inaonekana hupendi matangazo mengi eh??Ehee lile la magodoro pia ni bovu hatari, sidhani kama wenye nalo walilipa pesa au lilikuwa nila offer?
Mi pia hili tangazo silipendiiiiiiLipo yangazo moja la family soap mtoto anamwagia tomato source mtu mzima halafu yule mtoto anapretend kana kwamba amefanya bahati mbaya yaani bovu hata tungempa mtoto wangu wa miaka miwili hawezi kutengeneza tangazo bovu namna lile. Tukubali tukatae Wakenya wako mbaaali sana kwenye kutengeneza matangazo haya ya hapa kwetu bora muongeage tu
Sure but coca hawafanyii Tz mengi Ni ya nje ndo mana Yana ubora Sana,wabongo wanayatafsir tumatangazo yote ya sabuni za unga
nayachukia sana kwa uongo uliopitiliza
halafu kuna lile la godoro host ni monalisa
na matangazo yote ya coca-cola sio kama mabaya yanapata air time ya kutosha mpaka yanakera
by the way for me coca-cola ndiyo kampuni inayotengeneza matangazo mazuri kupita kampuni yoyote ile duniani
Hilo tangazo ni baya na HALIELEWEKI.Kuna tangazo la Tigo wamecopy wakakosea kupaste.(sijui kuku akifungwa kamba......)
Analazimisha kumwagia mtu tomato ili aweke mikono kinywani....yan sijui walikuwa na haraka gani kuliweka hewaniHilo la tomato sauce nibayaaaaaa...