Ni Tanzania au ndiyo tabia za nchi za kiafrika kutopenda kutoa mrejesho wa matukio?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
katika tafiti zangu nimegundua kua chenye upinzani kinanguvu sana sababu hakina cha kupoteza wala kujitetea kwa watu ni kwamba mtu anaweza kutoa taarifa may be whistler blower ambaye anaweza kupata attettion kubwa public ila bahati mbaya sana akishamaliza kutoa taarifa bado hatowi mrejesho wa alichokianzisha na mara nyingi mrejesho hutolewa na taasisi ambayo imevujishiwa maovu ila response yake ni ndogo mno kwa wananchi.

Makosa ndiyo huangaliwa kama kielelezo
 

umekula mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…