Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
😍Kwa hali hii tunaachaje sasa kumwelewa maza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😍Kwa hali hii tunaachaje sasa kumwelewa maza?
Karibu sana, lakini usifuate mtu fuata Sera na Ilani ya CCM!Hana maneno mengi kama yule bwana aliyenifanyaga niichukie ccm ila kwa mwendo huu nasema hivi "NIMEREJEA KUNDINI"🤗
👍Mama ndo mana wanasema anaupiga mwingi sana
Hakika 😍Mimi nilimwelewa mapema sana
Swadakta....Karibu sana, lakini usifuate mtu fuata Sera na Ilani ya CCM!
👏👏👏 lakini walisitisha lini safari zao za Tanzania au zilikuwa sababu za Corona kwa sababu hili janga limetesa sana mashirika ya ndege na biashara ya utalii kwa ujumla.Hii ni moja ya sababu iliyonifanya niipende Serikali ya Awamu ya Sita! Hawana kelele sana wala propaganda ni vitendo tu na matokeo yanaonekana.
Baada ya Serikali iliyopita kudharau Sera ya Mambo ya nje jambo lililopelekea Tanzania kutofaidika na Sera Bora ya Mambo ya Nje, Sasa Mabadiliko ya Sera ya Mambo ya Nje tunaanza kuona yanaanza kuzaa matunda.
Kufuata miongozo ya kimataifa juu ya Corona na kuzingatia upya mahusiano bora na mataifa mengine kunaanza tena kuifaidisha Tanzania Kiuchumi.
Leo Shirika la Ndege la Kimataifa la Uswisi limeanzisha Safari zake kuja Tanzania! Na kwa Leo tu wameshusha watalii 270 Uwanja wa ndege wa kia
Kwa msiojua kila Mtalii anapotua tu hapa Tanzania analipia dola 100 kama gharama ya visa. Hapo hujalala hotelini ambapo TRA wanaingiza Tourist tax, Hapo hajaenda mbugani ambapo analipia pia kama dola 100 kwa kuingia tu mbugani. Fedha zote hizi zinaenda kumuhudumia Mtanzania Kwa kumpatia Maendeleo.
Kusema kweli sina budi kumpenda Mama Samia! Ndo mana thamani ya Shilingi ya Tanzania inazidi kuimarika dhidi ya dola ya Marekani. Hongera Kwa Mabadiliko ya Kisera yanayozidi kulinufaisha TaifaView attachment 1969580View attachment 1969581View attachment 1969582
Sina taarifa kamili! Inaonekana ndo wameanza baada ya kipindi kirefu au hawakuwa wanakuja kabisa!👏👏👏 lakini walisitisha lini safari zao za Tanzania au zilikuwa sababu za Corona kwa sababu hili janga limetesa sana mashirika ya ndege na biashara ya utalii kwa ujumla.
Jaribu kutofautisha picha za kupokea watalii na picha za shirika la ndege kuanzisha Safari za kuja TanzaniaKwani hii ndio picha ya kwanza ya ndege za watalii kutua KIA tangu awamu hii ingie madarakani? Wakati wa awamu ya Hayati JPM picha hizi zilikuwa nyingi tena kipindi corona imepamba moto huko duniani.
Nani amechukua ndege zako?Arudishe ndege zetu
Swadakta....
CCM ni IMANI....👍😍
Naona unateseka sana kuona Mama Samia anafanikiwa! Polee sana Chato gangVitu vingine kama huvijui nyamaza
Ongea vichache tu unavyovijua
Wakati wa Magu mbona ndege zilikuwa nyingi za kitalii........Hana maneno mengi kama yule bwana aliyenifanyaga niichukie ccm ila kwa mwendo huu nasema hivi "NIMEREJEA KUNDINI"🤗
Achana na washamba hao......Kwani hii ndio picha ya kwanza ya ndege za watalii kutua KIA tangu awamu hii ingie madarakani? Wakati wa awamu ya Hayati JPM picha hizi zilikuwa nyingi tena kipindi corona imepamba moto huko duniani.
Fisadi tenaaa??? Mm ata salary ya serikali siijui ilivo ndugu😂😂😂😂Fisadi lililozuiwa mirija ya ufisadi linachekelea, kwa taarifa yako hata awamu ya 6 huwezi kupiga
Fisadi tenaaa??? Mm ata salary ya serikali siijui ilivo ndugu😂😂😂😂Fisadi lililozuiwa mirija ya ufisadi linachekelea, kwa taarifa yako hata awamu ya 6 huwezi kupiga
Tatz kwangu siyo ndege, tatz lilikuwa utawala wake tu wa mabavu basiWakati wa Magu mbona ndege zilikuwa nyingi za kitalii........
ama mnajisahaulisha kijinga!!?
Naomba kasoft copy kama kapo mkuu. Ipo ck nami mtanielewa.Karibu sana, lakini usifuate mtu fuata Sera na Ilani ya CCM!