Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #61
Sasaivi wakiona jambo la Samia tu wana neno lao eti tunauzwa! Wamekaririshwa saivi kusema tunauzwa kwenye kila kituWasiomwelewa ni masalia ya Sukuma gang tu, waliodhani shetani atatawala milele.
Utawaweza Chato gang! Wao sasaivi ni tungatunga fc! Wahusika wanasema ndege zitakuwa zinakuja mara mbili kwa wiki wao wanasema ndege imekodiwa! Wao ni kupotosha tuTena kama ni ya kukodi ndio ina faida zaidi kwa sababu abiria wote wanakuwa wamekuja kwa lengo moja tu la utalii.
Maana yake ni pesa pesa pesa pesa pesa tu.
Kama imekodiwa maana yake ni nzuri zaidi inabeba matajiri watupu wanaokuja kuspend pesa tu, hakuna wafanyakazi maana yake au return residence.Utawaweza Chato gang! Wao sasaivi ni tungatunga fc! Wahusika wanasema ndege zitakuwa zinakuja mara mbili kwa wiki wao wanasema ndege imekodiwa! Wao ni kupotosha tu
Bc tu hunijui mkuu, mm sina makonekisheni hayo sasa. Mm n age 27 unaweza kujiongeza mwenyewe mm n kijana wa aina gani.Wakina ruge na seth walivyokuwa wanatupiga walikuwa wanajua salary ya gvt?
Sijaelewa swali na sina jibu lake!Wewe ni porter au guide mkuu?
swafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiHii ni moja ya sababu iliyonifanya niipende Serikali ya Awamu ya Sita! Hawana kelele sana wala propaganda ni vitendo tu na matokeo yanaonekana.
Baada ya Serikali iliyopita kudharau Sera ya Mambo ya nje jambo lililopelekea Tanzania kutofaidika na Sera Bora ya Mambo ya Nje, Sasa Mabadiliko ya Sera ya Mambo ya Nje tunaanza kuona yanaanza kuzaa matunda.
Kufuata miongozo ya kimataifa juu ya Corona na kuzingatia upya mahusiano bora na mataifa mengine kunaanza tena kuifaidisha Tanzania Kiuchumi.
Leo Shirika la Ndege la Kimataifa la Uswisi limeanzisha Safari zake kuja Tanzania! Na kwa Leo tu wameshusha watalii 270 Uwanja wa ndege wa kia
Kwa msiojua kila Mtalii anapotua tu hapa Tanzania analipia dola 100 kama gharama ya visa. Hapo hujalala hotelini ambapo TRA wanaingiza Tourist tax, Hapo hajaenda mbugani ambapo analipia pia kama dola 100 kwa kuingia tu mbugani. Fedha zote hizi zinaenda kumuhudumia Mtanzania Kwa kumpatia Maendeleo.
Kusema kweli sina budi kumpenda Mama Samia! Ndo mana thamani ya Shilingi ya Tanzania inazidi kuimarika dhidi ya dola ya Marekani. Hongera Kwa Mabadiliko ya Kisera yanayozidi kulinufaisha TaifaView attachment 1969580View attachment 1969581View attachment 1969582
Safi sana Mhe SamiaHii ni moja ya sababu iliyonifanya niipende Serikali ya Awamu ya Sita! Hawana kelele sana wala propaganda ni vitendo tu na matokeo yanaonekana.
Baada ya Serikali iliyopita kudharau Sera ya Mambo ya nje jambo lililopelekea Tanzania kutofaidika na Sera Bora ya Mambo ya Nje, Sasa Mabadiliko ya Sera ya Mambo ya Nje tunaanza kuona yanaanza kuzaa matunda.
Kufuata miongozo ya kimataifa juu ya Corona na kuzingatia upya mahusiano bora na mataifa mengine kunaanza tena kuifaidisha Tanzania Kiuchumi.
Leo Shirika la Ndege la Kimataifa la Uswisi limeanzisha Safari zake kuja Tanzania! Na kwa Leo tu wameshusha watalii 270 Uwanja wa ndege wa kia
Kwa msiojua kila Mtalii anapotua tu hapa Tanzania analipia dola 100 kama gharama ya visa. Hapo hujalala hotelini ambapo TRA wanaingiza Tourist tax, Hapo hajaenda mbugani ambapo analipia pia kama dola 100 kwa kuingia tu mbugani. Fedha zote hizi zinaenda kumuhudumia Mtanzania Kwa kumpatia Maendeleo.
Kusema kweli sina budi kumpenda Mama Samia! Ndo mana thamani ya Shilingi ya Tanzania inazidi kuimarika dhidi ya dola ya Marekani. Hongera Kwa Mabadiliko ya Kisera yanayozidi kulinufaisha TaifaView attachment 1969580View attachment 1969581View attachment 1969582
Sasa unashangilia kama naniSijaelewa swali na sina jibu lake!
Wewe endelea kulinda legacy ya mwendazake.Mwambieni mr belgiji arudi tu maana kazi imemshinda
Lazima arudi maana aliyetaka kumuua kafa yeye.Mwambieni mr belgiji arudi tu maana kazi imemshinda
Uwe unaelewa na wewe. CCM iliyoongozwa na magufuli iliuwa watanzania wengi sana ikiwemo jaribio la kutaka kumuua Tundu Lissu na nchi nyingi zilivunja uhusiano na Tanzania. Serikali inaonesha kurudisha mahusiano ya kimataifa na kuacha mauaji ya kisiasa.Hivi uwa mnawaza nini kusifia ujuha kwani Magufuli alikuwa SAU ama.
Mama anaeleweka muda mrefu, ni mzalendo na mtu sahihi kushika hatamu. Anaupiga mwingi na hana kelele, Kwa mwendo huu 2025 nchi nzima itaimba jina lakeMama nmeanza kumwelewa[emoji16]
Hivi wakati wa magufuli Tanzania ilitishia nini kwenye nchi za kiafrika? Naona mnaongea kama vichaa nyie wafuasi wa mwendazakeMmmmm uyo uyo munaye muita katili ndo aliwafanyia mambo mengi ambayo ingeliwachukuwa zaidi ya miaka 20 au 30 kutimiza aliye watimizia
Tanzania toka 2005 mpaka 2015 ilikuwa ya 12 kwa uchumi Afrika uyo uyo Mnaye muita katili ndo aliwafanya mpaka Sasa ivi TZ iwe juu kiuchumi
Uyo uyo Mnaye muita katili ndo alifanya TZ
Iwe Tishio kwenye inch za ki Afrika
Yaani ninyi kupokea tu watalii ndo mumeona mmefika
Basi mwambieni uyo Mama yenu afanye yote ambayo magufuli alifanya kwa mda mdogo kuokowa uchumi wa Tanzania
Ujenga mabarabara Na kuendeleza baadhi ya miradi aliyo acha magufuli tuone kama ATA weza zaidi ya kuwa ana pangiwa Na wazungu
Siku zote Mzungu utaka kumtawala mwafrika look Chine right now waliachana Na sera za kizungu Sasa ivi wako wapi
Na ndicho magufuli alicho kuwa Na kitaka kwa watanzania iwe inch ya kujitegemea sio kupewa pewa vijizawadi kama watoto wadogo
Alitaka waje wafanye biashara sio Kuja kutawala au Kuja kuiba Mali za wa Tanzania
And i trust this New president killed her fellow
Duh ππππ
Nyie ndio mnaotafuta kushibisha matumbo kwa kujipendekeza, wakati serikali ya awamu ya tano kuwa na propaganda na kudharau Sera za Mambo ya nje ,kutofata protocol za kupambana na Corona kimataifa (NIMEKUNUKUU) hamkukemea wala kuonyesha kutopendezwa nayo Leo mmekuwa wahubiri wa mapungufu ya awamu ya5Hii ni moja ya sababu iliyonifanya niipende Serikali ya Awamu ya Sita! Hawana kelele sana wala propaganda ni vitendo tu na matokeo yanaonekana.
Baada ya Serikali iliyopita kudharau Sera ya Mambo ya nje jambo lililopelekea Tanzania kutofaidika na Sera Bora ya Mambo ya Nje, Sasa Mabadiliko ya Sera ya Mambo ya Nje tunaanza kuona yanaanza kuzaa matunda.
Kufuata miongozo ya kimataifa juu ya Corona na kuzingatia upya mahusiano bora na mataifa mengine kunaanza tena kuifaidisha Tanzania Kiuchumi.
Leo Shirika la Ndege la Kimataifa la Uswisi limeanzisha Safari zake kuja Tanzania! Na kwa Leo tu wameshusha watalii 270 Uwanja wa ndege wa kia
Kwa msiojua kila Mtalii anapotua tu hapa Tanzania analipia dola 100 kama gharama ya visa. Hapo hujalala hotelini ambapo TRA wanaingiza Tourist tax, Hapo hajaenda mbugani ambapo analipia pia kama dola 100 kwa kuingia tu mbugani. Fedha zote hizi zinaenda kumuhudumia Mtanzania Kwa kumpatia Maendeleo.
Kusema kweli sina budi kumpenda Mama Samia! Ndo mana thamani ya Shilingi ya Tanzania inazidi kuimarika dhidi ya dola ya Marekani. Hongera Kwa Mabadiliko ya Kisera yanayozidi kulinufaisha TaifaView attachment 1969580View attachment 1969581View attachment 1969582