Ni Tanzania tu kama mtu ni mara yako ya kwanza kuingia katika kilimo hukopesheki kwenye taasisi za fedha

Ni Tanzania tu kama mtu ni mara yako ya kwanza kuingia katika kilimo hukopesheki kwenye taasisi za fedha

MPUNGA MMOJA

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
304
Reaction score
401
Hoja hii inaweza kuwa ngumu kueleweka lakini maana yake ni hii;

Ili Mkulima ukopesheke kwenye taasisi za benki unapaswa ukidhi haya:

~ Uwe na taarifa za mauzo ya mazao yako
~ Uwe na hati ya umiliki/kukodi mashamba
~ Uwe unalima mazao biashara

Kwa anaeanza kilimo hapa anakwama maana hayo masharti yote yanategemea fedha anayotaka kukopa.
 
Back
Top Bottom