Ni Tanzania tu, tunakotaka mabadiliko bila vitendo

Ni Tanzania tu, tunakotaka mabadiliko bila vitendo

Hapo ulipoandika "tupange safu za viongozi kulingana na matokeo tunayotaka" ndipo penye chimbuko/ kiini cha tatizo..

Inavyoonekana tumekuwa na viongozi wenye hari ya mabadiliko, waliokuwa tayari kwa nguvu na hali zao kufanya lililo ndani ya uwezo wao, lakini bahati mbaya tukawaangusha.

Sasa unaporudi na kusema tupange safu za viongozi tunaowataka wakati huu ndio napata kigugumizi, kama ile safu ya viongozi waliokuwa tayari kwa mabadiliko ilionekana haifai kwa kushindwa kwetu kuwaunga mkono, naona ni sawa na kusema tunataka safu ya viongozi laini wasio tayari kwa mapambano..

Unless otherwise tujiulize, tutafanya nini kurudisha safu ya viongozi wapenda mabadiliko, je, tupo tayari kuwaunga mkono this time? Lakini naona kuwaweka wapenda mabadiliko huku mentality zetu zikiwa zilezile ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
 
Hapo ulipoandika "tupange safu za viongozi kulingana na matokeo tunayotaka" ndipo penye chimbuko/ kiini cha tatizo..

Inavyoonekana tumekuwa na viongozi wenye hari ya mabadiliko, waliokuwa tayari kwa nguvu na hali zao kufanya lililo ndani ya uwezo wao, lakini bahati mbaya tukawaangusha.

Sasa unaporudi na kusema tupange safu za viongozi tunaowataka wakati huu ndio napata kigugumizi, kama ile safu ya viongozi waliokuwa tayari kwa mabadiliko ilionekana haifai kwa kushindwa kwetu kuwaunga mkono, naona ni sawa na kusema tunataka safu ya viongozi laini wasio tayari kwa mapambano..

Unless otherwise tujiulize, tutafanya nini kurudisha safu ya viongozi wapenda mabadiliko, je, tupo tayari kuwaunga mkono this time? Lakini naona kuwaweka wapenda mabadiliko huku mentality zetu zikiwa zilezile ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Mkuu ulikuwa umeanza vyema kwenye bandiko lako hapa:

Hapo ulipoandika "tupange safu za viongozi kulingana na matokeo tunayotaka" ndipo penye chimbuko/ kiini cha tatizo..

Tuna vyama ambako tuna viongozi wetu. Ni vizuri ikafahamika kiongozi anaweza kuwa yeyote kupitia kwenye sanduku la kura.

Viongozi hawa wanapaswa kuwepo madarakani kwa ajili ya kufanikisha agenda fulani tulizokubaliana. Ufanisi wao madarakani ni Kwa kufanikisha agenda hizo. Huku kudai hawakuungwa mkono nadhani ni kichaka cha kujifichia tu.

Walikuwapo kina Slaa Kauli hizi za kusema hawakuungwa mkono hazikuwapo. Walikuwapo kina Maalim Seif kauli hizi za kutokuungwa mkono hazikuwapo.



Wapo kina Raila Kauli hizi za kutokuungwa hazipo. Kwani Raila ana watu hata 1,000 tu kwenye hii movement yake inayowatoa kamasi kina Ruto?

Wapo kina Malema kauli hizi za kutokuungwa mkono hazipo.

Lipumba au Cheyo anaungwaje mkono. Kiongozi dhaifu aupate wapi uungwaji mkono? Umewaona hata wana watu wangapi kwenye mikutano yao?

Kwamba hawakuungwa mkono hiyo mbona ni kauli tosha ya kuhitaji mabadiliko ya kiuongozi, kuweka wengine wenye uungwaji mkono?

Tuyaangalie mambo kwa mapana yake. Koleo tuliite Kwa jina lake. Bila hivyo tutasubiri sana nazi chini ya miembe.
 
Hapo ulipoandika "tupange safu za viongozi kulingana na matokeo tunayotaka" ndipo penye chimbuko/ kiini cha tatizo..

Inavyoonekana tumekuwa na viongozi wenye hari ya mabadiliko, waliokuwa tayari kwa nguvu na hali zao kufanya lililo ndani ya uwezo wao, lakini bahati mbaya tukawaangusha.

Sasa unaporudi na kusema tupange safu za viongozi tunaowataka wakati huu ndio napata kigugumizi, kama ile safu ya viongozi waliokuwa tayari kwa mabadiliko ilionekana haifai kwa kushindwa kwetu kuwaunga mkono, naona ni sawa na kusema tunataka safu ya viongozi laini wasio tayari kwa mapambano..

Unless otherwise tujiulize, tutafanya nini kurudisha safu ya viongozi wapenda mabadiliko, je, tupo tayari kuwaunga mkono this time? Lakini naona kuwaweka wapenda mabadiliko huku mentality zetu zikiwa zilezile ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Cc: Zawadini, Mag3
 
Nchi hii ina watu wengi wasio fikiri vizuri na unafki umetamalaki sana.
 
Haswaa, Watanzania tunapiga kelele kutaka mabadiliko huku tukiwa tumelala vitandani.
Mabadiliko yoyote ya kweli Duniani hupatikana kwa shida ikiwa ni pamoja na kumwaga damu.
Tofauti na hapo, hakuna mabadiliko ya kweli.
 
Back
Top Bottom