Ni timu gani kati hizi tano nijiunge nayo kwa ajili ya `Signal Subscription’ wakati na mimi najifua mdogo mdogo

Ni timu gani kati hizi tano nijiunge nayo kwa ajili ya `Signal Subscription’ wakati na mimi najifua mdogo mdogo

Kama hautajali kuna jamaa anafundisha BTMM mtafute telegram kama utamuelewa ni sawa...
Anaitwa Jeff ila jina la telegram ni lingine..
Na kuna mwingine anafundisha Kwa dola 40 huku anatoa na signal ila Jeff yeye Kwa sasa anacharge dola 79 Kwa mwezi ila ni mtalam Wa btmm sana hope hautajuta
Jina la akaunti yake ya telegram?
 
Ingawa sijui kipato chako kikoje ila kwa amount uliyoloose kibongo bongo sio ndogo! Lazima itakuondolea confidence kimtindo.

Hivyo umewaza vizuri sana kutafuta kampani ya kutrade nao kwa maana ya ku gain confidence

Ushauri wangu, kati ya hao uliowataja juu kama umejiridhisha vya kutosha ningekushauri u trade na Forex Money industry ambao nadhani wako chini ya Fransisco magnetic. Huyu ni trader wa muda mrefu bila kujalisha yaliyomkuta hapo katikati lakini pia sio aina ya watu wa majigambo (wakati mwingine majigambo yanapofusha tu)

Wengine ninaowafahamu ni KasheboFx, Market Switch, Afriforex (hawa sasa hivi wana program ambayo haina kutozana hela ila tu uwe na account avatrade kwa link yao), na Mac empire (July boy mwenyewe anajiita)

Kashebo ni rahisi zaidi kumfuatilia maana kila weekend anafanya analysis free utube na kwenye telegram group lake pia anafanya account management

NB: Sijawahi kuwa kwenye VIP group zao wote hao ila kazi zao zinaonekana na wanaotrade nao wanawasema vizuri na sijawahi kusikia skendo yoyote kuwahusu tangu nianze kuwafuatilia (2017)!

Lakini pia sio lazima utafute hizo timu za kulipia! Kuna watu kibao wanatrade kama timu bila kutozana hela yoyote! Yaani mnafanya analysis kwa pamoja, mnabishana, na kisha mnaamua entry kwa pamoja. Hapa unaweza kutafuta watu unaofahamu uwezo wao mkaji organize kwa pamoja

Ni hayo tu! Changamoto unazopitia ni za kawaida sana.
July boy mtoe hakuna kitu pale, jiunge na hao Afriforex akina Pancho Pachilo
 
Nimeanza rasmi kusoma kwa undani issues za Stock Market (Forex, Commodities, Indices, Future nakadhalika)

Nimepiga hesabu naona nahitaji at least miezi mitatu hadi nianze ku invest serious kwenye stock market.

Wakati najifua, nimefikiria bora nijiunge kwenye timu inayotoa Signal subscription ama Account management.

Kwa nini?

Kupitia timu hiyo nitakua najifunza practically strategies zao wanazotumia. Hivo theory na practical vinaenda pamoja.

Pia kama service ikiwa reliable nitakua nakuza account mdogo mdogo.

Sasa hapa bongo kuna timu kama tano popular zinatoa signals and account management.

Nahitaji mliojiunga mniambie kati ya hawa washkaji timu gani ipo reliable nijiunge nao wakati najifua mdogo mdogo.

255_Millionaires_Fx
Washkaji kila jmosi lazima wapost profit vs loss za week nzima.

Fx_Money_Industry.
Huyu mshikaji Magnetics naona yuko vizuri. Sijui ashaanza kuwalipa wadai wake.

Uptrend_Inc
Timu ya Udhaifa na Ontario wake. Sema sionagi wakipost sana mrejesho wa kila week.

Forex_Elites_Academy
Hawa washkaji kina Kapinga naona wako vizuri pia.

Elikana_Fx
Huyu mshikaji yuko vizuri pia, sema jamaa anacharge $100 kwa mwezi duh!!

Kuna waliojiunga mojawapo ya hizo signal groups anipe feedback timu gan nzuri ya kujiunga nayo. Nikuze account pia nijifunze strategy zao.
255-millionaires Fx wako vizuri.
 
Wote wabongo huyo july boy ni mjanja mjanja tu,lakini huyo Pancho Pachilo yuko makini sana waweza mtafuta IG lakini jitahidi pia na wewe kusoma na kupractice sana.
Sijawahi kabisa kuwasikia hawa. Ni wabongo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ma men chief at his best
Poa. Sema nini, unaonekana kama mshamba hivi. Hujui principle za cash flow.
Nyinyi ndio wale ukiona 500 barabaran huokoti kisa una 10,000 mfukoni.
Acha ushamba. Elimika. Fatilia principle za active and passive income ujanjaruke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom