Ni tokea Kikwete apandishe pension ya wastaafu wa Hazina toka 25,000 hadi Laki moja miaka 20 iliyopita hajatokea tena

Ni tokea Kikwete apandishe pension ya wastaafu wa Hazina toka 25,000 hadi Laki moja miaka 20 iliyopita hajatokea tena

Mkongwe Mzoefu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2018
Posts
861
Reaction score
2,515
Mtu katumika maisha yake ya ujana kwa taifa, wengine wamepigana hadi vita ndani na nje ya nchi kwa uaminifu mkubwa lakini ndani ya miaka 20 hakumbukwi na hapo kazidi kuwa kikongwe lakini hakuna kiongozi au wabunge (ukiacha Esta Bulaya, Mungu ampe maisha marefu) anaye jali.

Ni tokea Kikwete apandishe pension ya wastaafu wa Hazina toka 25,000 hadi Laki moja miaka 20 iliyopita hajatokea mwingine kuwaza hawa wazee lakini angalia mishahara yao na marupurupu yao leo na miaka 20 iliyopita!

Pengine hata hayo mawazo ya wazee kumuwazia Kikwete arudi madarakani kama Trump yanaweza kuwa sawa, kwanza kiumri Trump ni mzee kuliko Kikwete.

Au mnasemaje kuhusu mawazo haya ya wazee?

Soma makala hii ya Mwananchi utaelewa vizuri
 
Mtu katumika maisha yake ya ujana kwa taifa, wengine wamepigana hadi vita ndani na nje ya nchi kwa uaminifu mkubwa lakini ndani ya miaka 20 hakumbukwi na hapo kazidi kuwa kikongwe lakini hakuna kiongozi au wabunge (ukiacha Esta Bulaya, Mungu ampe maisha marefu) anaye jali.

Ni tokea Kikwete apandishe pension ya wastaafu wa Hazina toka 25,000 hadi Laki moja miaka 20 iliyopita hajatokea mwingine kuwaza hawa wazee lakini angalia mishahara yao na marupurupu yao leo na miaka 20 iliyopita!

Pengine hata hayo mawazo ya wazee kumuwazia Kikwete arudi madarakani kama Trump yanaweza kuwa sawa, kwanza kiumri Trump ni mzee kuliko Kikwete.

Au mnasemaje kuhusu mawazo haya ya wazee?

Soma makala hii ya Mwananchi utaelewa vizuri
Mkuu, wastaafu waliokuwa wengi ndio ambao waliulea na hata kuzalisha mfumo uliopo na wanaoulalamikia sasa. It is too late now!

Ni hawa hawa wastaahu na kwa ujumla wao ndio hasa ambao waliwalea viongozi/watawala na kuanza kujilipa marurpuru na mafao ya kukufuru pasipo wao kuhoji ama kulalamika kwa wakati ilioluwa sahihi na stahiki.. Waliwategemea wanasiasa kufanya mabadiliko kuliko wao kuwa sehemu muhimu ya mchakato wa mabdiliko hayo!?

Wakatii sheria ya mafao ya viongozi ikipitishwa na kuwabagua watawala na watawaliwa, mlikaa kimya huku mkiendekeza pambio, sifa, na kukiabudu chama tawala na viongozi wake. Wanasiasa wa vyama vya upinzani na wanaharakati pale kila walipojaribu kukemea na kudai manadiriko, mliwaangalia kwa jicho ya dharau na kuwahukumu kuwa ni wachochezi na wapenda vurugu.

Sasa imefika kipindi ambacho mnastahili kula kazi za mikono yenu. Watawala hata wenza wao sasa wanalipana mafao ya kukufuru, tena kwa asilinia pungufu kidogo tu na yule ambaye yupo ofisini! Mlishindwa kulalamika na kuhoji kwa wakati, sasa limewafika ndiyo mnaanza kujiona mnaonewa na mmechelewa kuliona hilo.

Ukweli mchungu ni kuwa, majuto ni mjukuu. Zidi kuitegemea na kuiombea CCM, kuna siku ukiwa kaburini itakusikia.
 
Binafsi sioni haja ya wastaafu kulipwa pension, kwasbb tayari wameondoka ktk utumishi.

Wastaafu wanapaswa kuishi kwa kutumia walichokivuna ktk maisha yao ya utumishi
 
Mtu katumika maisha yake ya ujana kwa taifa, wengine wamepigana hadi vita ndani na nje ya nchi kwa uaminifu mkubwa lakini ndani ya miaka 20 hakumbukwi na hapo kazidi kuwa kikongwe lakini hakuna kiongozi au wabunge (ukiacha Esta Bulaya, Mungu ampe maisha marefu) anaye jali.

Ni tokea Kikwete apandishe pension ya wastaafu wa Hazina toka 25,000 hadi Laki moja miaka 20 iliyopita hajatokea mwingine kuwaza hawa wazee lakini angalia mishahara yao na marupurupu yao leo na miaka 20 iliyopita!

Pengine hata hayo mawazo ya wazee kumuwazia Kikwete arudi madarakani kama Trump yanaweza kuwa sawa, kwanza kiumri Trump ni mzee kuliko Kikwete.

Au mnasemaje kuhusu mawazo haya ya wazee?

Soma makala hii ya Mwananchi utaelewa vizuri
Wamelata kikokoteo kpya ili kumnyang'anya mtumishi hata hiki alicho ongezewa na mzee kikwete
 
Mkuu, wastaafu waliokuwa wengi ndio ambao waliulea na hata kuzalisha mfumo uliopo na wanaoulalamikia sasa. It is too late now!

Ni hawa hawa wastaahu na kwa ujumla wao ndio hasa ambao waliwalea viongozi/watawala na kuanza kujilipa marurpuru na mafao ya kukufuru pasipo wao kuhoji ama kulalamika kwa wakati ilioluwa sahihi na stahiki.. Waliwategemea wanasiasa kufanya mabadiliko kuliko wao kuwa sehemu muhimu ya mchakato wa mabdiliko hayo!?

Wakatii sheria ya mafao ya viongozi ikipitishwa na kuwabagua watawala na watawaliwa, mlikaa kimya huku mkiendekeza pambio, sifa, na kukiabudu chama tawala na viongozi wake. Wanasiasa wa vyama vya upinzani na wanaharakati pale kila walipojaribu kukemea na kudai manadiriko, mliwaangalia kwa jicho ya dharau na kuwahukumu kuwa ni wachochezi na wapenda vurugu.

Sasa imefika kipindi ambacho mnastahili kula kazi za mikono yenu. Watawala hata wenza wao sasa wanalipana mafao ya kukufuru, tena kwa asilinia pungufu kidogo tu na yule ambaye yupo ofisini! Mlishindwa kulalamika na kuhoji kwa wakati, sasa limewafika ndiyo mnaanza kujiona mnaonewa na mmechelewa kuliona hilo.

Ukweli mchungu ni kuwa, majuto ni mjukuu. Zidi kuitegemea na kuiombea CCM, kuna siku ukiwa kaburini itakusikia.
Hapa nafikiri twende kisayansi kidogo kuliko mihemko na luwatupia lawama za jumla jumla.
Wastaafu wanaozungumziwa hapa ni wale wazee wanaolipwa na Hazina directly na walistaafu miaka ya 90's kwenda nyuma.
Wengi wao wana umri wa miaka 80 na kuendelea au chini ya hapo kama walikuwa kwenye zoezi la redundancy.
Hawa hawajafanya kazi enzi za Kikwete na kuendelea hivyo hawahusiki na mabadiliko yaliyoleta ufisadi, kujilimbikizia mali, maposho ya ajabu na kujipendelea. Wengi labda waingie katika mkumbo wa makosa ya Mwinyi na Nyerere.
Ni aibu kuwatelekeza wazee hao ambao wengine ndio wamepigana vita Uganda, Msumbiji nk au walitumikia kama madaktari,wauguzi,walimu wakati nchi ikiwa na miundo mbinu ya kimasikini kabisa. Yupo daktari mmoja alikuwa ananielezea kuwa katika hospitali moja ya wilaya huko Mtwara kufanya operesheni wakitumia karabai ilikuwa jambo la kawaida, jee leo nani atakubali?
Ni laana kuwatelekeza, usikute ndio maana nchi mambo ni vululu vululu.
 
Mtu katumika maisha yake ya ujana kwa taifa, wengine wamepigana hadi vita ndani na nje ya nchi kwa uaminifu mkubwa lakini ndani ya miaka 20 hakumbukwi na hapo kazidi kuwa kikongwe lakini hakuna kiongozi au wabunge (ukiacha Esta Bulaya, Mungu ampe maisha marefu) anaye jali.

Ni tokea Kikwete apandishe pension ya wastaafu wa Hazina toka 25,000 hadi Laki moja miaka 20 iliyopita hajatokea mwingine kuwaza hawa wazee lakini angalia mishahara yao na marupurupu yao leo na miaka 20 iliyopita!

Pengine hata hayo mawazo ya wazee kumuwazia Kikwete arudi madarakani kama Trump yanaweza kuwa sawa, kwanza kiumri Trump ni mzee kuliko Kikwete.

Au mnasemaje kuhusu mawazo haya ya wazee?

Soma makala hii ya Mwananchi utaelewa vizuri
Baadhi ya wabunge wanakosea sana kuwapuuza wastaafu wa kawaida ambao ni wa NSSF, PSSSF, yaani wanajali upande mafao ya wanasiasa pekee, Hilo Jambo baya kwa hakika.
 
katiba inasemaje mi nijuavyo mtu akishamaliza tawala zake mbili atupishe!.. kuna katiba mpya kwani..?
Akimaliza muda wake anakaa nje ya kiti cha urais kwa miaka mitano, baada ya hapo anaweza kugombea kipindi kingine kimoja cha miaka mitano.
Jioni nitakutafutia ibara ya katiba kuhusu jambo hili
 
Akimaliza muda wake anakaa nje ya kiti cha urais kwa miaka mitano, baada ya hapo anaweza kugombea kipindi kingine kimoja cha miaka mitano.
Jioni nitakutafutia ibara ya katiba kuhusu jambo hili
kumbe!
 
Tuacheni kupamba mpaka kufikia kuwa vichekesho, unaposema miaka 20 iliyopita ina maana ni 2004, je ni kweli 2004 Kikwete alikuwa kwenye nafasi ya kufanya hivyo? Jibu ni hapana, kipindi hiko alikuwa bado ni waziri tu
 
Tuacheni kupamba mpaka kufikia kuwa vichekesho, unaposema miaka 20 iliyopita ina maana ni 2004, je ni kweli 2004 Kikwete alikuwa kwenye nafasi ya kufanya hivyo? Jibu ni hapana, kipindi hiko alikuwa bado ni waziri tu
Tumia akili wewe! Hapa ni JF home of great thinkers. Wasemapo miaka 20 ujue wana zungumzia ndani ya muongo huo wa pili yaani kipindi cha 15-20.
Hivyo fanya research ujue exact number mwenyewe.
 
Tumia akili wewe! Hapa ni JF home of great thinkers. Wasemapo miaka 20 ujue wana zungumzia ndani ya muongo huo wa pili yaani kipindi cha 15-20.
Hivyo fanya research ujue exact number mwenyewe.
Kama ni muongo wa pili kwa nini kisiwe kipindi cha kuanzia miaka 11-20? Unajua tofauti ya muongo au miongo? Tunatumia miongo, karne na milenia ili kuelezea matukio ambayo hatuna uhakika nayo yalitokea mwaka gani hasa lakini kipindi cha kikwete kinaeleweka kilianza novemba 2005 na kuhitimishwa novemba 2015, hapo unatumiaje muongo?
 
Back
Top Bottom