Kweli. Hawa watoto huombea hata watumishi wafe ili wapate. Badala ya kutambua wao ndio mizigo katika hili taifa kwa maana hawawezi kuishinikiza serikali yaoHawa ndio watoto walioliachia taifa! "unazan" unadhani litatoboa?
Kikwete akitaka kurudi nitapiga kampeni nyingi sana hapa jf. Raisi wa maana sana mshua kikwete. Sio hawa tusiowaelewaMzee Kikwete tayari ana uhalali kikatiba kurudi kugombea urais tena. Mimi ni kati ya watu ambao tunatamani sana arudi.
Ila kwa kweli huyu wa sasa na waziri wake wa fedha sijui tuwaiteje ili kutunza heshima zao maana nakosa jina zuri.Kikwete akitaka kurudi nitapiga kampeni nyingi sana hapa jf. Raisi wa maana sana mshua kikwete. Sio hawa tusiowaelewa
Kiongoz wa Afrika anaongeza malipo / mshahara au Posho kisha anapandisha bei za bidhaa sababu , viongoz hao hao nje ya serikali wana miliki au kuhodhi mihili ya biashara mf biashara ya mafuta ya kuendeshea vyombo hivyo Hata bidhaa zinapanda kisha ulichoongezew hakibadili maisha yakoMtu katumika maisha yake ya ujana kwa taifa, wengine wamepigana hadi vita ndani na nje ya nchi kwa uaminifu mkubwa lakini ndani ya miaka 20 hakumbukwi na hapo kazidi kuwa kikongwe lakini hakuna kiongozi au wabunge (ukiacha Esta Bulaya, Mungu ampe maisha marefu) anaye jali.
Ni tokea Kikwete apandishe pension ya wastaafu wa Hazina toka 25,000 hadi Laki moja miaka 20 iliyopita hajatokea mwingine kuwaza hawa wazee lakini angalia mishahara yao na marupurupu yao leo na miaka 20 iliyopita!
Pengine hata hayo mawazo ya wazee kumuwazia Kikwete arudi madarakani kama Trump yanaweza kuwa sawa, kwanza kiumri Trump ni mzee kuliko Kikwete.
Au mnasemaje kuhusu mawazo haya ya wazee?
Soma makala hii ya Mwananchi utaelewa vizuri
Siku mstaafu alipoongezwa pensheni kwa mara ya mwisho
Kama utani, wastaafu wetu wa kima cha chini wanafikisha miaka 20 sasa tangu yule mwana mwema wa Msoga alipoamua kuwapa nyongeza ya pensheni yao ya Sh50,000 kwa mwezi, kuwa Sh100,000.www.mwananchi.co.tz
Endelea kumsubiri arudi.Mzee Kikwete tayari ana uhalali kikatiba kurudi kugombea urais tena. Mimi ni kati ya watu ambao tunatamani sana arudi.
Asante. Umeeleza vizuri sana na kuwaelimisha wajinga wanaoandika porojo hapa. Hizo laki wanazolipwa ni lazima zipitie NMB au CRDB ambako kuna makato na tozoHapa nafikiri twende kisayansi kidogo kuliko mihemko na luwatupia lawama za jumla jumla.
Wastaafu wanaozungumziwa hapa ni wale wazee wanaolipwa na Hazina directly na walistaafu miaka ya 90's kwenda nyuma.
Wengi wao wana umri wa miaka 80 na kuendelea au chini ya hapo kama walikuwa kwenye zoezi la redundancy.
Hawa hawajafanya kazi enzi za Kikwete na kuendelea hivyo hawahusiki na mabadiliko yaliyoleta ufisadi, kujilimbikizia mali, maposho ya ajabu na kujipendelea. Wengi labda waingie katika mkumbo wa makosa ya Mwinyi na Nyerere.
Ni aibu kuwatelekeza wazee hao ambao wengine ndio wamepigana vita Uganda, Msumbiji nk au walitumikia kama madaktari,wauguzi,walimu wakati nchi ikiwa na miundo mbinu ya kimasikini kabisa. Yupo daktari mmoja alikuwa ananielezea kuwa katika hospitali moja ya wilaya huko Mtwara kufanya operesheni wakitumia karabai ilikuwa jambo la kawaida, jee leo nani atakubali?
Ni laana kuwatelekeza, usikute ndio maana nchi mambo ni vululu vululu.
Inasikitisha sana. Halafu hao watoa maamuzi na kupanga mustakabali wa Ustawi wa maisha ya Mstaafu wamejisahau kwamba nao pia ni Wastaafu watarajiwa. Hiki wanachokifanya kwa wastaafu wa sasa watakutana nacho wao wenyewe watakapoitwa Wastaafu. Hawana huruma kabisa.Mtu katumika maisha yake ya ujana kwa taifa, wengine wamepigana hadi vita ndani na nje ya nchi kwa uaminifu mkubwa lakini ndani ya miaka 20 hakumbukwi na hapo kazidi kuwa kikongwe lakini hakuna kiongozi au wabunge (ukiacha Esta Bulaya, Mungu ampe maisha marefu) anaye jali.
Ni tokea Kikwete apandishe pension ya wastaafu wa Hazina toka 25,000 hadi Laki moja miaka 20 iliyopita hajatokea mwingine kuwaza hawa wazee lakini angalia mishahara yao na marupurupu yao leo na miaka 20 iliyopita!
Pengine hata hayo mawazo ya wazee kumuwazia Kikwete arudi madarakani kama Trump yanaweza kuwa sawa, kwanza kiumri Trump ni mzee kuliko Kikwete.
Au mnasemaje kuhusu mawazo haya ya wazee?
Soma makala hii ya Mwananchi utaelewa vizuri
Siku mstaafu alipoongezwa pensheni kwa mara ya mwisho
Kama utani, wastaafu wetu wa kima cha chini wanafikisha miaka 20 sasa tangu yule mwana mwema wa Msoga alipoamua kuwapa nyongeza ya pensheni yao ya Sh50,000 kwa mwezi, kuwa Sh100,000.www.mwananchi.co.tz
INASIKITISHABaba yangu anakula 100,000 kwa mwezi haitoshi inabidi nimuongezee ili amalizie mwezi maskini.
Miaka.30 kapinda mgongo hana hata bima ya afya ..inasikitisha.
Kabisa mkuu. Mimi siwaelewi hawa wetu daily matumizi ya anasa kama mandinga makubwa makubwa tuIla kwa kweli huyu wa sasa na waziri wake wa fedha sijui tuwaiteje ili kutunza heshima zao maana nakosa jina zuri.
Haiwezekani wanatapanya hela nyingi kwenye mambo ya zawadi huku watu muhimu hawawajali hata kwa heshima ya uongo.