Chiferereji Cha jisatu
Senior Member
- Mar 13, 2023
- 101
- 212
Nil
Nikifikia hatua Hadi ya kugoole hatua za kufaa yaani zote nilikuwa nazo afu pale mwsho wanahitisha kwmba ukiwa na hzi dalili piga emergency number Iko pale daaah😂😂, Kuna dawa nyuma niandkiwa niifate Mwanza mjini kwnye gari konda alinipa siti na kati Kuna watu wengi walikuwa mamesmama. Na ilikuwa mara kwnza kumtjia jina langu ila baada ya dakika kum na Tano aliniita falan njoo ukae hapa, baada ya kupna nlimuuliza hvi kw nn ulipa sit sku zle ajlijb kwmba kaka. Ile sku nlikuona uko na Hali mbaya sna na skujua kama utafika mjini, na kwel nlvokuw nmekaa nlkuwa Nawaza nkifia humu nitatambukije. Mm nafia safrn Mimi daaah n hatr hii Dunia Ina mengi sana2. Hili sasa nalo Babu kubwa kwnye maisha yangu sita kuja nlisahau
Nilifika Mkoa wa Mwanza wilaya X kata X, pale nlikuwa nipo na kaz ya Mkataba
Kwenye mambo ya Maji. Sasa bana nmefika pale nmekaa wiki nmekaa kama miezi mitatu ulipofka kuanza mwezi nne(kipnd Cha kukaa pale) Afya yangu nikaona kama siielewi mara kuumwa, kukonda, baridi hlo kwenye jua Kali yaan unaskia barid Kali hatr,. Nkaenda kucheki hospital ya Government walinipata na magonjwa kama 5 hivi,(Typhoid, Amoeba, malaria, UTI, Vidonda vya tumbo,) nlichmuuliza Dokta n kwmba hayo yote n yangu alijibu ndyo nkapewa. Dawa,
Bas nkaenda Tena hospital ya Private
Hapo nikacheki na HIV majbu yakasema ni -(Negative) ila yote nikiyokutwa nayo kule waliyapata pia
Pale. Skuchukua dawa, ila pale Government waliuza hvi unakunywa pombe nkasema. Hapa maan kwl nilkuwa stumii, basi. Akasema mbona upo na Hali hii ya hatr alimwelewa dokita.
Kwel ilikuwa hatr maaan nlikuwa nkila wali, nyama au maharage nikienda haja kubwa nashusha kama nilivokula
Yaan bila kumeng'enywa yaaan unarudisha kama ulvokula daah nilkaaa na hyo Hali wili mbili nkitembea road upepo unanipeperusha jamani hiii Dunia achan tu
Usku naota nmekufa mara gari ya maiti imenfata naona kabs wanvofungua geti kunibeba kuniweka kwnye gari mbele Kuna ndugu zangu
Daaah, hiki kipndi kilikuwa hatari sana
Hapo nlikuwa na Mama ake mtoto wangu wa kwnza alikuwa kunisalimu alikuta naumwa mwanzo mwanzo
Kuna siku nimshuka kitu choon nkamuita aone alisema mmmh jamn mbna hii hatr jamn usfe mm ndo nitakuwa muuaji jamn mbna utaniachia shida na mtoto mdgo kiasi hki🤭🤭🤭
Bas nilimshrikisha Bi mkubwa akanituma Kansan nkamshrikisha padri wa eneo lile, pia nkaanza na kufatilia Mtumishi wa Mungu Mwamposa kwenye Tv yake ya A rise and shine🙏🏿🙏🏿(Mida ya saa tatu Kuna kipindi cha Ukombozi wa familia)
Nilipata ujasri Sana nlichomwomba Kupitia Yale maombi ni Mungu n, Nguo yangu irudishwe mara moja na mtu alieichukua, mbili,
Naomba nikienda hospital nkipma nkute ugonjwa mmoja tu ama syo nife
Na kweli nkarud hospital nkapma nkakutwa na Typhoid tu nkatumia sindano nkapona
(Ombi la kwnza).Nyuma yaan story hii kulikuwepo Na kupotelewa na nguo yangu niliingia kwnye maombi kwa, (rejea hapo juu) kufatilia Mwamposa Ile nguo ilirudishwa na jiran ambae mwanzo alisema hakuiona na haijui(maan nlimuuliza kma aliiona nguo yangu kwnye kamba-nyumba za kupanga) ko baada ya Ile nguo kupotea ndo maradhi yalianza.
Mungu n Mweza wa yote, kama ujapangiwa kuondoka katika hii dunia huwez ondolewa na Binadamu.