Ni tukio gani la kunusurika usiloweza kusahau?

Ni tukio gani la kunusurika usiloweza kusahau?

2016 nilinusurika Mungu ni mwema.
Napeleka mzigo kwa mtu x kumbe nafatiliwa na wazee wa kazi nafika kwenye ile nyumba pembeni yake kuna restaurant nikasema hebu ninywe juisi nijipongeze kwa kufika salama hata ile juice siweka mdomoni nikasikia risasi hizo..... Badae nakuja kuambiwa aliingia mwanamke wakajua ni mimi na wazee nao kuingia x alipigwa risasi saa 11 jioni lakini akapona.
Ya pili niko kwenye gari naenda sehemu x kufika mlimani gari ikafeli ikaanza kuyumba huku inarudi nyuma nilitupwa kule nikaanguka mizigo ikanilalia nilikuja kutolewa baada ya masaa mawili nilikuja kutolewa nasikia kwa mballii amekufa huyo lakini nilizinduka kwa maumivu makali sana ya kifua..
Uso kwa uso na komando dogo k nine bus likatekwa tunaona hao tunasubiliwa dereva akapaki gari sitasahau vihere here waliosimamisha vichwa vyao wote walifumuliwa vichwa siwezi kusahau mpka leo nikiona damu nazimia.
 
2016 nilinusurika Mungu ni mwema.
Napeleka mzigo kwa mtu x kumbe nafatiliwa na wazee wa kazi nafika kwenye ile nyumba pembeni yake kuna restaurant nikasema hebu ninywe juisi nijipongeze kwa kufika salama hata ile juice siweka mdomoni nikasikia risasi hizo..... Badae nakuja kuambiwa aliingia mwanamke wakajua ni mimi na wazee nao kuingia x alipigwa risasi saa 11 jioni lakini akapona.
Ya pili niko kwenye gari naenda sehemu x kufika mlimani gari ikafeli ikaanza kuyumba huku inarudi nyuma nilitupwa kule nikaanguka mizigo ikanilalia nilikuja kutolewa baada ya masaa mawili nilikuja kutolewa nasikia kwa mballii amekufa huyo lakini nilizinduka kwa maumivu makali sana ya kifua..
Uso kwa uso na komando dogo k nine bus likatekwa tunaona hao tunasubiliwa dereva akapaki gari sitasahau vihere here waliosimamisha vichwa vyao wote walifumuliwa vichwa siwezi kusahau mpka leo nikiona damu nazimia.
Aisee, Mungu anakupenda sana. Pole kwa hiyo mikasa
 
2016 nilinusurika Mungu ni mwema.
Napeleka mzigo kwa mtu x kumbe nafatiliwa na wazee wa kazi nafika kwenye ile nyumba pembeni yake kuna restaurant nikasema hebu ninywe juisi nijipongeze kwa kufika salama hata ile juice siweka mdomoni nikasikia risasi hizo..... Badae nakuja kuambiwa aliingia mwanamke wakajua ni mimi na wazee nao kuingia x alipigwa risasi saa 11 jioni lakini akapona.
Ya pili niko kwenye gari naenda sehemu x kufika mlimani gari ikafeli ikaanza kuyumba huku inarudi nyuma nilitupwa kule nikaanguka mizigo ikanilalia nilikuja kutolewa baada ya masaa mawili nilikuja kutolewa nasikia kwa mballii amekufa huyo lakini nilizinduka kwa maumivu makali sana ya kifua..
Uso kwa uso na komando dogo k nine bus likatekwa tunaona hao tunasubiliwa dereva akapaki gari sitasahau vihere here waliosimamisha vichwa vyao wote walifumuliwa vichwa siwezi kusahau mpka leo nikiona damu nazimia.
Pole aise, matukio hatari yote.

Ila hizo x zimekuwa nyingi.
 
Mimi nilinusurika kogongwa na zile daladala ndogo( hiace, vipanya).

Maeneo ya pale kibamba CCM.

Nilikuwa nataka kukata tiketi ili nipande mwendokasi iliyokuwa imesimama kituoni (barabara ndogo)
Mara nikaona barabara kuu (Moro road) kuna daladala zinazopita kimara.

Basi nikatoka nakimbia bila kuangalia nyuma ya mwendokasi .

Ile napita mbele ya mwendokasi, natoa kichwa hivi kuna kidaladala kikapita speed sana.

Kama ningewahi 1sec ilikuwa inanigonga.

Bado sijasahau ili tukio.
Pole.
 
Mimi nilinusurika kogongwa na zile daladala ndogo( hiace, vipanya).

Maeneo ya pale kibamba CCM.

Nilikuwa nataka kukata tiketi ili nipande mwendokasi iliyokuwa imesimama kituoni (barabara ndogo)
Mara nikaona barabara kuu (Moro road) kuna daladala zinazopita kimara.

Basi nikatoka nakimbia bila kuangalia nyuma ya mwendokasi .

Ile napita mbele ya mwendokasi, natoa kichwa hivi kuna kidaladala kikapita speed sana.

Kama ningewahi 1sec ilikuwa inanigonga.

Bado sijasahau ili tukio.
Daaah umenikumbsha pia 2017, nlinusurika kugongwa na Gari dogo privent, maeneo ya Posta-Dar sasa Ile njia Ina one way kwenda umeenda kurudi umerudi,
Sasa mm nataka nivuke barabara, Ile nataka kuvuka Mwenye gari dogo akasmama nipte, s nikarud nyuma ili apite yeye , akaruhusu mm nakaenda Tena niveke akastop nivuke nilfanya lile jambo Kwa mara nne akiwa ananisbr nivuke aiseeh Ile mara ya Tano nmeenda s na yy karuhusu liwalo naliwe nilikoswakoswa.
 
Niliwahi katiza na Nguruwe mitaa ya Msikitini nimemfunga kwenye pikipiki Sanya sina hili wala lile. Sasa kwenye kona ya barabara inayopita msikitini kuna bodaboda. Wale boda walipoon ninebeba nguruwe walianza kelele, huyoo.. huyoo.. kamata. Mbele kidogo naelekea kuupita msikiti nikasimamishwa na madogo wa pale msikitini wakanisimamisha kibabe, nguruwe anapiga kelele mtikisiko wa pikipiki na kubanwa na mipira. Nikaweka stendi pikipiki, wakaanza kunizonga apigwe apigwe wakiniuliza kwanini napita na nguruwe mitaa ile.

Nikawaambia ile ni njia ndio maana napita. Nataka kuwasha pikipiki dogo mmoja akachomoa funguo, nikapiga stendi pikipiki kumfuata yule dogo anipe funguo huku hasira zinanipanda.
Namfuata yule dogo mmoja, msomali wakimwika Ibra akaja akanipiga bonge la kofi la mgongo, tukashikana.
Tulichapana mkono na wale madogo, wakanizidia, tulichapana mkono muda wa dakika 10 hivi. Watu wakatoka kwenye migahawa ya pembeni na wale boda chap wakafika eneo lile kutaka kutuamua kinafiki. Walinijeruhi vibaya sana wale wadogo walikuwa wengi japo shughuli ilikuwa pevu, walikuwa sita wengine waoga wanaangalia tuu. Dakika chache watu wamejaa mitaa ile na wale boda wananishika mimi kujifanya wanwamua ugomvi kumbe wanataka nipigwe. Akatoka Mzee mmoja msikitini ndio kuamuru ugomvi uishe na kuniamuru niondoke mara moja ataita polisi.

Wiki nzima nilikuwa nakandwa home na wife na walinivunja mbavu ila nguruwe nilisepa nae.
 
Daah jana tu gari tairi ya mbele imepeta pancha baada ya kukanyaga jiwe la ncha lilikuwa barabarani sijui nani aliwekaaaa...11 yani aiseee niliyumbaa balaa
 
Daah jana tu gari tairi ya mbele imepeta pancha baada ya kukanyaga jiwe la ncha lilikuwa barabarani sijui nani aliwekaaaa...11 yani aiseee niliyumbaa balaa
Kumbe muoga eeeeh...
Sasa kwa mambo ya kimasihara uwe muoga hivo hivo mkuu sawa
 
Daah jana tu gari tairi ya mbele imepeta pancha baada ya kukanyaga jiwe la ncha lilikuwa barabarani sijui nani aliwekaaaa...11 yani aiseee niliyumbaa balaa
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom