Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
UKIWA kama mdau wa starehe na mpenzi wa KWENDA night club hebu tujuzane ni tukio gani lililowahi kukuta ndani ya club ambalo hutolisahau.......
Mimi upande wangu ni matukio matatu aisee yaliyowahi kunikuta
1.moja nilisinzia katika makochi nikachomolewa simu na wallet ilikuwa na nauli dah basi nilijikuta mwisho wa Siku natembea HADI Magomeni nikitokea maisha club.
2.tukio LA pili ilikuwaga mambo club KUNA DEMU nilikutana nae nikiwa njee basi nilimlipia kingilio KWA nia ya tuwe wote kama kampani tukiwa ndani lakini mwisho wa siku dem aliniomba ruhusa anaenda chooni basi hakurudi tena nilimpotafuta nilimkuta yupo na njemba nyingine
3.tukio LA tatu KUNA DEMU nilikuwa nakunywa nae bia ila alivyogundua nimeishiwa hela ya bia basi aliamuamua kunikimbia.
Je wewe una tukio gani ambalo uwezi kusahauuu
Mimi upande wangu ni matukio matatu aisee yaliyowahi kunikuta
1.moja nilisinzia katika makochi nikachomolewa simu na wallet ilikuwa na nauli dah basi nilijikuta mwisho wa Siku natembea HADI Magomeni nikitokea maisha club.
2.tukio LA pili ilikuwaga mambo club KUNA DEMU nilikutana nae nikiwa njee basi nilimlipia kingilio KWA nia ya tuwe wote kama kampani tukiwa ndani lakini mwisho wa siku dem aliniomba ruhusa anaenda chooni basi hakurudi tena nilimpotafuta nilimkuta yupo na njemba nyingine
3.tukio LA tatu KUNA DEMU nilikuwa nakunywa nae bia ila alivyogundua nimeishiwa hela ya bia basi aliamuamua kunikimbia.
Je wewe una tukio gani ambalo uwezi kusahauuu