Mbona nimeona comment ya mtoto mzuri mwenzangu kan'tangaze tupo buanaInamaana mademu wa humu hawajawahi kukumbwa na mkasa wowote? Au ndo wanaifuatilia thread kimya kimya huku wakijifuatilia wanavyoelezewa kwenye comments
Kumbe wewe ni mzuri eeh?Mbona nimeona comment ya mtoto mzuri mwenzangu kan'tangaze tupo buana
Chuga moja hiyo hahaha, mkuu kama ulikuepo vileπSio demu wa Arusha kweli mkuu?
Ndivyo walivyo. Wana tabia za kigumu kama kaka zao.Chuga moja hiyo hahaha, mkuu kama ulikuepo vileπ
labda jina la bongo muviπHakuna aliewahi kukutana na Jini club humu?
hahahaNdivyo walivyo. Wana tabia za kigumu kama kaka zao.
ha ha haAiseee kuna siku Niko na mwanangu, tukazama bills, ile kutia mguu tu ndani nkakutana na mwanangu wa kitambo sana y
Ile oya oya mingi ,jamaa akanitonya kana na mzigo wa mirungi kama kilo5 hivi dadadeki ,mixer vitu vigumu kadhaaaa,
Tukazama smoking room mida ya sa8, kula sana vitu hadi tukazima, kuja kushtuka sa10 inaelekea sa11 .
Mwana nliekuja naye hata sijui yuko wapi, basi nkajisogeza hadi stand ya dala dala .
Nlivyokaaa nkakaaa ,daladala imetoka posta hadi mabibo ikashusha Mimi nimo tu ikageuza Tena posta Mimi nimo tu, ikarud Tena mabibo aiseee hapo sielewi kitu badae konda akanifata akaniuliza wewe unaenda wapi mbona hushuki ,dah nkikumbuka nacheka sana
Hakuna mtoto wa kike mbayaKumbe wewe ni mzuri eeh?
Mashaallah..!!Hakuna mtoto wa kike mbaya
Ungetupa wallet yako na kweli waone umeitupa ungeelewa unaegombaniwa ni wewe au pesa yako.Jana tu, Niligombaniwa na Mademu watatu, Nilifadhahika sana.
alinilete jam sana sema mi pale nilkua na wana shazi so tulimtulizaDavid huyo jamaa alikunywa bia zake hajakuzikunguaa lakini
Hmm hii Kama kahawa hii mkuu[emoji23]Wakati nasoma , Siku hiyo tumekusanyana kikundi chetu kama wa 4 ivi tunaenda Maisha..kiukweli mimi sikuwa mzoefu na tungi a.k.a ulabu ila wenzangu walikua ni wazoefu sana tuu maaana walikua wanakunywa ndo waningia class..Sasa tumeingia na mimi kujifananay oya oya tukaanza kuzishusha bhana..vitu kupanda kichwani nikaanza kujiona mbabe kila demu nataka nimbambie nikakutana na demu flan hiv anacheza pekeyake tuu kumsogelea sogelea ile kumletea kisura cha mapenzi kumbe pembeni alikua baunsa mmoja ndo bwana aake ..jamaa akanifata kiustaarabu tu kunitoa nikajifanya namletea mbovu ..yule jamaa alinipa Box moja nikaenda kuangukia pembeni na makochi nimechanika tayari shingoni nikamtapikia mdada mmoja ivi kwenye kochi hapo sijui washkaji wakwapi Yule dada nilihisi ni malaika ..akaninyanyua hadi akanipeleka washroom akanisafisah fresh yan akanunua maji halaf akani toa hadi nje kupata upepo nikawa nimemlalia mapajani ..Hadi kunakaribia kukucha akachukua bajaji hadi gheto kwake kumbe alikua ni mwanafunzi wa IFM....itaendelea
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]demu nataka nimbambie nae analazimisha anibambie, nilikasirika sanaπππ
mkatianaWakati nasoma , Siku hiyo tumekusanyana kikundi chetu kama wa 4 ivi tunaenda Maisha..kiukweli mimi sikuwa mzoefu na tungi a.k.a ulabu ila wenzangu walikua ni wazoefu sana tuu maaana walikua wanakunywa ndo waningia class..Sasa tumeingia na mimi kujifananay oya oya tukaanza kuzishusha bhana..vitu kupanda kichwani nikaanza kujiona mbabe kila demu nataka nimbambie nikakutana na demu flan hiv anacheza pekeyake tuu kumsogelea sogelea ile kumletea kisura cha mapenzi kumbe pembeni alikua baunsa mmoja ndo bwana aake ..jamaa akanifata kiustaarabu tu kunitoa nikajifanya namletea mbovu ..yule jamaa alinipa Box moja nikaenda kuangukia pembeni na makochi nimechanika tayari shingoni nikamtapikia mdada mmoja ivi kwenye kochi hapo sijui washkaji wakwapi Yule dada nilihisi ni malaika ..akaninyanyua hadi akanipeleka washroom akanisafisah fresh yan akanunua maji halaf akani toa hadi nje kupata upepo nikawa nimemlalia mapajani ..Hadi kunakaribia kukucha akachukua bajaji hadi gheto kwake kumbe alikua ni mwanafunzi wa IFM....itaendelea