Aiseee kuna siku Niko na mwanangu, tukazama bills, ile kutia mguu tu ndani nkakutana na mwanangu wa kitambo sana y
Ile oya oya mingi ,jamaa akanitonya kana na mzigo wa mirungi kama kilo5 hivi dadadeki ,mixer vitu vigumu kadhaaaa,
Tukazama smoking room mida ya sa8, kula sana vitu hadi tukazima, kuja kushtuka sa10 inaelekea sa11 .
Mwana nliekuja naye hata sijui yuko wapi, basi nkajisogeza hadi stand ya dala dala .
Nlivyokaaa nkakaaa ,daladala imetoka posta hadi mabibo ikashusha Mimi nimo tu ikageuza Tena posta Mimi nimo tu, ikarud Tena mabibo aiseee hapo sielewi kitu badae konda akanifata akaniuliza wewe unaenda wapi mbona hushuki ,dah nkikumbuka nacheka sana