Ni tukio gani la udogoni ambalo huwezi kulisahau?

Ni tukio gani la udogoni ambalo huwezi kulisahau?

Choo cha shimo! Nikiwa mdogo like 6 yrs nikaletewa nguo mpya shati na kaptura yake nikaivaa siku hiyo hiyo, baada ya muda nikabanwa na haja kubwa nikaenda msalani nikafanya yangu baada ya kumaliza nikawa naiangalia kaptura yangu mpya!!! Hamadi ikaniponyoka ikadumbukia chooni haaa nihaha nikatafuta mti n utoto wangu najaribu kuitoa kumbe ndo nazidi kuisokomeza nikabaki nalia tu

Kwenda kwa babu kutoa taarifa wee nilichezea bakora sitasahau. Ajabu kile choo baada ya muda kikabomoka eti nikaenda kuitafuta kwenye yale mabaki[emoji851][emoji851]
We pumbafuuuuu kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Daaah nashukuru Mungu sana mpaka Leo mzima wa afya!!
1) Niliwai tumbukia chooni bahati nzuri mguu mkanasa juu hapo ndo ponea yangu!!
2) Nilwai kunywa sumu katika store ya bwana shamba kijijini kwetu (alikuwa jirani yetu) tulikuwa na mtoto wake wakike tunajificha(kibaba na kimama) basi nikachukua chupa moja nilijua ni asali nikapiga gafla povu zito likaanza kunitoka yule rafiki yangu akawa analia tu basi ndo watu kuja kunisaidia
3) lilizama kwenye MTO nikameza maji sana bahati kuna MTU akaja kuniokoa
4) kugongwa na baskeli daah nikawa hoiiii!!!
Mengne ya ukubwani yapo japo Uzi huu unahusu matukio ya utotoni!! Asanteee Mungu kwa zawadi ya uhai

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu!!! Huyo binti bado yupo????
 
Aisee utoto bwana hatar , kuna mjamaa alikua ni mlinzi ws disco enzi hizo basi sisi wazee wa vitongo tukawa tunataka tuingie kws njia za panya si akatunasa bas akampa kipigo mwenzangu daah mm nikachomoka aisee

Sku tunarudi game flani hivi ya mpira tukamkuta njiani kaomgozana na mke wangu

Tulimpa kipigo cha mbwa koko hadi mkewe akataka kuzimia kwa mayowe

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa kawazidi umri???
 
Miaka hio niko around 4yrs. Nyumbani tulikua tunawangiwa vibayaa sana mama alikua anawasikia wanatoka juu ya dari wanadondokea barazani akiwasha kibatari anaona mkono unazima taa.
Siku moja wachawi waliniiba usiku wakaniweka chini ya mtungi mama akaniona asubuhi. Sijui walinifanya nini usiku huo mpaka leo
Mmmmh!!!! Sumbawanga nini[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nakumbuka nikiwa darasa la nne nilimtongoza binti ananizidi umri yupo darasa la 7 enzi hizo tunaita LY, kumbe hakupenda akaleta ushahidi wa barua kwa mama, Mama akatoa amri nilale chini nichapwe na huyo binti niliyemtongoza na akamwambia akilegeza mikono kunichapa kizembe atamchapa na yeye, kidume nikala fimbo zakutosha.
Yule binti ninamchukia hadi leo sijui yupo hai huko alipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu mtafute umgegede huyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aisee mi yapo mengi ya kitoto ila haya kidogo nikiwa mepata akili akili

Nikiwa kama drs la pili hivi nilikuwa nikijitazama kwenye kioo na najiuliza maswali kibao bila majibu mfano mimi ni nani? Kwann naitwa jina hili X? Mbona huku ndani yangu naongea na sauti haitoki? ( hapo najijaribisha kuongea kimoyo moyo hlf naishia kujishangaa mbona sauti haitoki) Watu wakifa wanaenda wapi? (siku hizo kulikuwa na imani kwamba kuna watu wanaweza kwenda kuzimu na kukutana na marehemu kwa kweli nilitamani sana ili nijuie).... Na maswali mengine kibao kama hayo ila majibu nilikuja pata ukubwani toka kwenye biblia

Jingine nakumbuka nilikuwa napenda sana ibada na ndoto zangu kwa siku hizo ilikuwa nije kuwa padri sasa nilikuwa na hudhuria zile misa za asbh saa 12 kasoro kila mara kama km 2 hivi toka home hadi kanisani nilikuwa nalala na babu sasa ikatokea siku moja babu kaniamsha nijiandae niende church kumbe siku hiyo mzee kala vyombo saa hajaangalia vzr kaniamsha kama saa 9 hiv,i hapo sina saa wala nn nilitoka nikashuka kwenda church ila usiku hauishi nikazidiwa na hofu nikapita duka flani nikaita ili niombe walau nikae kidogo napo kimya nikaendelea kuna sehemu palikuwaga na mbwa wakali sana ila Mungu akanipitisha salama nikafika church hata milango haijafunguliwa nikakaa muda wa kutosha ndio ikafunguliwa... Huwa nikitafakari naona ile siku Mungu tu ndie alienilnda maana nilikuwa chalii mdogo kama miaka 12 ama 11 hivi na nilikuwa nakatochi kadogo kakiberiti duhh!
 
1;Kipindi hicho disco linachezwa shule ya msingi,Darasani usiku.
Mara paap!nikaamka late night saa Sikumbuki nikajikuta niko mwenyewe nyumba nzima.
Nilikuwa nalalaga na Dada zangu.
Waliniachia taa inawaka..
Taa za chemli imeshushwa utambi mwanga mdoogo.
Nilichofanya nikapandisha utambi,nikaibeba taa huku tumbo waz huyoooo... mpk shuleni peke yangu (robo km).
Walistuka sana walipoambiwa mdogo wenu yupo nje kabeba ta a, anawatafuta.
2;Kunusurika kuzama chooni.
Niko zangu nafanya yang u..si nikamaliza nikasimama!
Nikamwona mende tunduni nikapeleka mguu kumsukumia chini...
Mweeeee mguu ukakosa kubalance...maraa pap kwanzia kifuani kushuka chini Niko nd ani joto kinoma...
Nikaanza kujisave mwenyewe kuja juu..
Hope wepesi ulinisaidia.
Kutoka nje wananiuliza hayo majivu imekuaje ypo kwenye viwiko?
Sikuwambia ukweli mpk leo hawajui nilawahi kunusurika kuzama mavini.
3;Kulala nje kisa kuangalia video kwenye ukumbi wa public enzi hizo.
Movies Kali Kama
No retreat no surrender
American ninja
Cinthia Rock
War Bus
Kama hujaziangalia enzi hixo unaonekana boya kweli.
4;Kusukumwa kisimani.buuuu!...
Daaah nilikunywa vikombe vya kutosha kabla ya kuokolewa na watu wazima
..aiseee Nilitoka jicho Kama nyanya masalo.
Buuuuuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mi yapo mengi ya kitoto ila haya kidogo nikiwa mepata akili akili

Nikiwa kama drs la pili hivi nilikuwa nikijitazama kwenye kioo na najiuliza maswali kibao bila majibu mfano mimi ni nani? Kwann naitwa jina hili X? Mbona huku ndani yangu naongea na sauti haitoki? ( hapo najijaribisha kuongea kimoyo moyo hlf naishia kujishangaa mbona sauti haitoki) Watu wakifa wanaenda wapi? (siku hizo kulikuwa na imani kwamba kuna watu wanaweza kwenda kuzimu na kukutana na marehemu kwa kweli nilitamani sana ili nijuie).... Na maswali mengine kibao kama hayo ila majibu nilikuja pata ukubwani toka kwenye biblia

Jingine nakumbuka nilikuwa napenda sana ibada na ndoto zangu kwa siku hizo ilikuwa nije kuwa padri sasa nilikuwa na hudhuria zile misa za asbh saa 12 kasoro kila mara kama km 2 hivi toka home hadi kanisani nilikuwa nalala na babu sasa ikatokea siku moja babu kaniamsha nijiandae niende church kumbe siku hiyo mzee kala vyombo saa hajaangalia vzr kaniamsha kama saa 9 hiv,i hapo sina saa wala nn nilitoka nikashuka kwenda church ila usiku hauishi nikazidiwa na hofu nikapita duka flani nikaita ili niombe walau nikae kidogo napo kimya nikaendelea kuna sehemu palikuwaga na mbwa wakali sana ila kwa Mungu akanipitisha salama nikafika church hata milango haijafunguliwa nikakaa muda wa kutosha ndio ikafunguliwa... Huwa nikitafakari naona ile siku Mungu tu ndie alienilnda maana nilikuwa chalii mdogo kama miaka 12 ama 11 hivi na nilikuwa nakatochi kadogo kakiberiti duhh!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1;Kipindi hicho disco linachezwa shule ya msingi,Darasani usiku.
Mara paap!nikaamka late night saa Sikumbuki nikajikuta niko mwenyewe nyumba nzima.
Nilikuwa nalalaga na Dada zangu.
Waliniachia taa inawaka..
Taa za chemli imeshushwa utambi mwanga mdoogo.
Nilichofanya nikapandisha utambi,nikaibeba taa huku tumbo waz huyoooo... mpk shuleni peke yangu (robo km).
Walistuka sana walipoambiwa mdogo wenu yupo nje kabeba ta a, anawatafuta.
2;Kunusurika kuzama chooni.
Niko zangu nafanya yang u..si nikamaliza nikasimama!
Nikamwona mende tunduni nikapeleka mguu kumsukumia chini...
Mweeeee mguu ukakosa kubalance...maraa pap kwanzia kifuani kushuka chini Niko nd ani joto kinoma...
Nikaanza kujisave mwenyewe kuja juu..
Hope wepesi ulinisaidia.
Kutoka nje wananiuliza hayo majivu imekuaje ypo kwenye viwiko?
Sikuwambia ukweli mpk leo hawajui nilawahi kunusurika kuzama mavini.
3;Kulala nje kisa kuangalia video kwenye ukumbi wa public enzi hizo.
Movies Kali Kama
No retreat no surrender
American ninja
Cinthia Rock
War Bus
Kama hujaziangalia enzi hixo unaonekana boya kweli.
4;Kusukumwa kisimani.buuuu!...
Daaah nilikunywa vikombe vya kutosha kabla ya kuokolewa na watu wazima
..aiseee Nilitoka jicho Kama nyanya masalo.
Buuuuuu


Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ule upepo ulipokuja skul kwetu ukafunua gauni la mwl wetu sisi tukiwa darasa la 4,alikuwa na bonge la tako,tukashangilia siyo kwa kuona tako ila chupi kubwaa lililofiti lile tako,,,upepo huu basi,stiki zake staki kukumbuka
sa hivi ukirudi ule upepo tutashangaa tako
 
Sinto sahau nilipo shuhudia mke wangu akijifungua huku aki"push", na usiku wake nikapata ndoto nasikia maneno yale "pushhh" yakijirudia.......
Asubuhi nilipo amka, nikakuta kweli nime"pushh" haja kubwa kwenye bed yote....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongoz umetumia dawa zako Leo? Duh! GPA ya 32 kazi kwelikweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom