Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anakubali kuwa na Taifa la watukana matusi bila aibu
Hivi hakuna mkutano mkuu au mkutano wowote ambao utarushwa live wa UKAWA ili tuone wanavyomchagua mgombea wao wa urais?
Tutarusha mchakato wetu wote mkuu kupitia television na radio mtakazotangaziwa na ni baada ya siku kadhaa mbele baada ya hawa wanaoendelea sasa kumaliza mchakato wao ambao watu wengi wameelekeza macho na masikio yao huko.
Na kumbuka kazi ndo tu inakwenda kuhitimishwa sasa, kwani tulichokuwa tunakisubiri ni hitimisho la CCM na tayari tumeusoma mchezo wao na tumeona strengths & weaknesses zao na sasa ni rahisi sana ku attack.
Inashauriwa kwa sasa na kwa siku hizi mbili tatu kabla ya kuweka wazi mgombea mteule wa UKAWA, kila mpenda mageuzi ahamasishe vijana wa kike na kiume na wazee kwenda kujiandikisha ili kupata vichinjio/ID za kupigia kura!
Mwisho tunao strategists na pundits field wakifanya kazi zao ipasavyo. Hakika uchaguzi wa mwaka huu kila mtu aandae andikio kwa sababu opposition tunakwenda kufungua new chapter na kuandika historia ya kuizika rasmi CCM, kwa sababu siku zote imeandikwa kila chenye mwanzo kina mwisho, na mwaka huu ni mwisho wa CCM!!
Who knows? Yaweza kuwa Tundu Lissu, Prof. Ibrahima Lipumba, Dr W.P.Slaa, Prf. Palamagamba Kabudi au hata Jaji Joseph S. Warioba!!?
What matters, ni kwamba UKAWA itakuja na mgombea jembe kweli kweli na anayekubalika kwa wananchi!
Acha CCM wajifariji kuwa wamempata Pombe Magufuli na kwa maana hiyo "nature" ya kusambaratika kwao imewasamehe. Jibu ni hapana, hapana........the threat of breakdown is still there and now is widely enlarged!
Acha kwanza CV za Tundu Lisu.. kwa hatua za awali naomba fanya hiviii..
Embu kaa chini na CV zako(hizo unaziona ziko sawa) Tafuta CV za John Mnyika kisha rudi kwnye swala la maamuzi na effect katika kujenga nchi kati yako na yeye.
utajua nafasi ya GPA ni ipi .
ukimaliza hapo endelea kutafuta ya Tundu lisu sasa .
tundu lisu ana akili lakin ana jazba sana hafai
Hoja yako imekaa sawa japo kuna sehemu zina mzaa .
Sasa sijui ndio umetumia kuchangamaha thread or vip.
Ila mapendekezo yako bado si sahihi .
Nchi kwa sasa haiitaji kukaa mikononi mwa mtu mwnye janzba nanmwnye miamko.
Tunahitaji busara zaidi kwnye kitu hiki.
Nakubaliana nawe kwa asilimia zote.ingekuwa plan nzuri ambayo ingesaidia ukawa kuongeza viti vya ubunge japo kwa uraisi kupata ni ngumu. Lkn umeshafikiria adhari za kumkosa Lissu bungeni?