Elections 2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

Elections 2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

Hivi hakuna mkutano mkuu au mkutano wowote ambao utarushwa live wa UKAWA ili tuone wanavyomchagua mgombea wao wa urais?
 
Hivi hakuna mkutano mkuu au mkutano wowote ambao utarushwa live wa UKAWA ili tuone wanavyomchagua mgombea wao wa urais?

Tutarusha mchakato wetu wote mkuu kupitia television na radio mtakazotangaziwa na ni baada ya siku kadhaa mbele baada ya hawa wanaoendelea sasa kumaliza mchakato wao ambao watu wengi wameelekeza macho na masikio yao huko.

Na kumbuka kazi ndo tu inakwenda kuhitimishwa sasa, kwani tulichokuwa tunakisubiri ni hitimisho la CCM na tayari tumeusoma mchezo wao na tumeona strengths & weaknesses zao na sasa ni rahisi sana ku attack.

Inashauriwa kwa sasa na kwa siku hizi mbili tatu kabla ya kuweka wazi mgombea mteule wa UKAWA, kila mpenda mageuzi ahamasishe vijana wa kike na kiume na wazee kwenda kujiandikisha ili kupata vichinjio/ID za kupigia kura!

Mwisho tunao strategists na pundits field wakifanya kazi zao ipasavyo. Hakika uchaguzi wa mwaka huu kila mtu aandae andikio kwa sababu opposition tunakwenda kufungua new chapter na kuandika historia ya kuizika rasmi CCM, kwa sababu siku zote imeandikwa kila chenye mwanzo kina mwisho, na mwaka huu ni mwisho wa CCM!!

Who knows? Yaweza kuwa Tundu Lissu, Prof. Ibrahima Lipumba, Dr W.P.Slaa, Prf. Palamagamba Kabudi au hata Jaji Joseph S. Warioba!!?

What matters, ni kwamba UKAWA itakuja na mgombea jembe kweli kweli na anayekubalika kwa wananchi!

Acha CCM wajifariji kuwa wamempata Pombe Magufuli na kwa maana hiyo "nature" ya kusambaratika kwao imewasamehe. Jibu ni hapana, hapana........the threat of breakdown is still there and now is widely enlarged!
 
Tutarusha mchakato wetu wote mkuu kupitia television na radio mtakazotangaziwa na ni baada ya siku kadhaa mbele baada ya hawa wanaoendelea sasa kumaliza mchakato wao ambao watu wengi wameelekeza macho na masikio yao huko.

Na kumbuka kazi ndo tu inakwenda kuhitimishwa sasa, kwani tulichokuwa tunakisubiri ni hitimisho la CCM na tayari tumeusoma mchezo wao na tumeona strengths & weaknesses zao na sasa ni rahisi sana ku attack.

Inashauriwa kwa sasa na kwa siku hizi mbili tatu kabla ya kuweka wazi mgombea mteule wa UKAWA, kila mpenda mageuzi ahamasishe vijana wa kike na kiume na wazee kwenda kujiandikisha ili kupata vichinjio/ID za kupigia kura!

Mwisho tunao strategists na pundits field wakifanya kazi zao ipasavyo. Hakika uchaguzi wa mwaka huu kila mtu aandae andikio kwa sababu opposition tunakwenda kufungua new chapter na kuandika historia ya kuizika rasmi CCM, kwa sababu siku zote imeandikwa kila chenye mwanzo kina mwisho, na mwaka huu ni mwisho wa CCM!!

Who knows? Yaweza kuwa Tundu Lissu, Prof. Ibrahima Lipumba, Dr W.P.Slaa, Prf. Palamagamba Kabudi au hata Jaji Joseph S. Warioba!!?

What matters, ni kwamba UKAWA itakuja na mgombea jembe kweli kweli na anayekubalika kwa wananchi!

Acha CCM wajifariji kuwa wamempata Pombe Magufuli na kwa maana hiyo "nature" ya kusambaratika kwao imewasamehe. Jibu ni hapana, hapana........the threat of breakdown is still there and now is widely enlarged!

Tunasubiri siasa ni mahesabu pia
 
Acha kwanza CV za Tundu Lisu.. kwa hatua za awali naomba fanya hiviii..

Embu kaa chini na CV zako(hizo unaziona ziko sawa) Tafuta CV za John Mnyika kisha rudi kwnye swala la maamuzi na effect katika kujenga nchi kati yako na yeye.

utajua nafasi ya GPA ni ipi .

ukimaliza hapo endelea kutafuta ya Tundu lisu sasa .

Mkuu wewe ni mtu wa maana na muhimu.
 
tundu lisu ana akili lakin ana jazba sana hafai

Haja mshinda Magufuli mkuu kwa jazba japo ame mshinda kwa akili, hofu yangu kwa Magufuli anatoka kwenye mfumo ule ule wa ccm mbovu, kila siku anaisifia, hata kama imeboronga, na alionekana kujikomba saana Kwa jk eti barabara zako mh. Raisi , na wakati wavuja jasho ndio tuna changia kodi kila kukicha..na mchukia sio siri na angekuwa upinzani ndio ungejua tabia zake vyema
 
Kweli ukawa wanapaswa watulie waje na kitu kipya (suprise) anapaswa kupewa rungu mtu mpya ambaye hajawahi kugombea urais ukimweka LISSU ukawa wanachukua nchi asubuhi ya siku ya uchaguzi,angalizo makosa madogo madogo hayatakiwi this time.

Haya tuanzishe wimbo. .
twende x 3 mbele na Lissu. .........!

Wilbroad ni kiongozi mzuri sana tena sana tatizo ana kasoro moja kubwa the fact kwamba amewahi kuwa padre is a major setback ukizingatia ya kwamba kura za upande wa pili tunazihitaji mno.
Lipumba ni kiongozi mzuri sana tena sana, tatizo jina lake limezoeleka mno kwenye nyanja za kinyang'anyiro cha urais, kawaida watu wanapenda kusikia kitu kipya kwa wakati, ni bora pia kumtazama Mbatia ama kafulila.
 
Hoja yako imekaa sawa japo kuna sehemu zina mzaa .
Sasa sijui ndio umetumia kuchangamaha thread or vip.

Ila mapendekezo yako bado si sahihi .

Nchi kwa sasa haiitaji kukaa mikononi mwa mtu mwnye janzba nanmwnye miamko.

Tunahitaji busara zaidi kwnye kitu hiki.

Magufuli Na Tundu Lissu ni Nani mwenye hasira na mkurupukaji
 
Jamani eeeee mie nipo mkoani huku, kitendo cha Magufuli kusimama kwa tiketi ya CCM, kimewachanganya wananchi na kuwavuruga sana. CCM wamekuwa wajanja. Kwa lugha nyingine wamewashangaza wananchi. Kwa hiyo na sisi UKAWA inabidi tuwashangaze vilevile.

Awekwe mtu atakayetupatia fursa ya kuwa na wabunge wengi na madiwani wengi kwa kukomaa na kura za wananchi.

Wahaya wanamsemo mmoja unasema hivi " Mukazi wawe kakushobeza, naiwe oshobeza nyokozara" maana yake ni kuwa "Mke wako akikushangaza au kukuduwaza, nawewe mduwaze au mshangaze Mama mkwe wako" Yaani wife wako akikufanyia kitu cha ajabu na wewe mfanyie maajabu zaidi mama mkwe wako.

Sasa CCM, wametuduwaza(Ukweli mchungu) na sisi inabidi tuwaduwaze. Njia pekee iliyobaki ni kuwawekea TUNDU LISSU. Wapo mtakaoniponda lakini ukweli ndo huo. UKAWA hatupati Urais mwaka huu. Si kwamba nimekata tamaa bali ndo ukweli maana karata hazijakaa vizuri.

Tundu Lissu waambie wenzio Ukweli ndo huo.

Ili tuvuruge njia ni hiyo tu. Nimeandika mwenyewe sijaibiwa Password

Ta Muganyizi.
 
Nakubaliana nawe kwa asilimia zote.ingekuwa plan nzuri ambayo ingesaidia ukawa kuongeza viti vya ubunge japo kwa uraisi kupata ni ngumu. Lkn umeshafikiria adhari za kumkosa Lissu bungeni?
 
Nakubaliana nawe kwa asilimia zote.ingekuwa plan nzuri ambayo ingesaidia ukawa kuongeza viti vya ubunge japo kwa uraisi kupata ni ngumu. Lkn umeshafikiria adhari za kumkosa Lissu bungeni?

Inabidi Slaa arudi bungeni. Au akikosa aje kama special seat..............hatuna jinsi. Walau tupunguze maamuzi ya ndiyoooooooooooooooooooo bungeni
 
Back
Top Bottom