Elections 2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

Elections 2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

Baada ya kuangalia uwezo wa watia nia wa ccm naona nchi ikienda Ukawa kama watamsimamisha Lissu aka messi.
 
Baada ya kuangalia uwezo wa watia nia wa ccm naona nchi ikienda Ukawa kama watamsimamisha Lissu aka messi.

Ni Lissu pekee anayeweza kuleta kura na ushindi wa kutisha ambao ccm haitasubutu kuiba, ni rahisi kumuuza kuliko slaa ukizingatia aina ya wapiga kura Tz, cdm ni bora kumwomba Lissu achukue kijiti, nadhani pia atakuwa compromise kwa ukawa wote
 
Kimya hiki cha ukawa kinaashilia kuna kitu kipya kinakuja. Tukae tusubiri, ila kwa lisu sifa za kuongoza tz anazo
 
Umejenga hoja japo sina hakika km TL Antipas ni president material kwa sasa. Mimi namwona kama AG. Asante mkuu meningitis

Mie nami naungana na hoja kuwa kwa sasa ATML asiwe Raisi, bali AG ama Waziri Mkuu, ili akaisafishe TAMISEMI, TANURI la UFISADI Papa Nchini... Nna HAKIKAWana Ikungi watampa tena kazi ya kuwatumikia Watanzania....
 
we have many swords to slaughter CCM this year. but we are going to use only one, others will be reserved for other posts.

chama kitatuletea jembe moja tu. mengine yataunda serikali bora kabisa na imara.
 
Taifa linahitaji kiongozi ambaye atakua tofauti kabisa na Kikwete. Tunahitaji mtu mwenye msimamo asiye chekea maovu, aliye tayari kulipigania taifa zaidi ya kiwango cha kawaida, Lissu anaweza na anatosha.

Tupeni Lissu kama mgombea wa UKAWA ili ajekuwa Rais wa Tanzania.
 
NI hatari zaidi kwa watu wengi. Ila lissu atachoma, hatatishia kuwa anachoma..
 
Alishasema hapo awali akihojiwa na mkasi tv (salama ),alisema urais siyo rank yake
 
Ana uadilifu gani?

Toka mwaka 1961 ccm ndo wanakusanya kodi na kuingia mikataba yote tuliyonayo sasa unapouliza swali hilo kwa lissu utakuwa ujatenda haki swali hilo ungewauliza wagombea wa mtaa wa lumumba kwan wengi wao wamesave katika serikali na mashirika ya umma
 
Eti wanasema ana "GOVINDER" hivi tutaongozwa na rais gani wa hivyo kweli jamani?
 
Taifa linahitaji kiongozi ambaye atakua tofauti kabisa na Kikwete. Tunahitaji mtu mwenye msimamo asiye chekea maovu, aliye tayari kulipigania taifa zaidi ya kiwango cha kawaida, Lissu anaweza na anatosha.

Tupeni Lissu kama mgombea wa UKAWA ili ajekuwa Rais wa Tanzania.
Na Dr.Slaa je au mmeishamchoka mara hii.
 
Back
Top Bottom