Samwel Meleka
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 602
- 268
Naunga mkono hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnataka kiongozi anayechekacheka bila kuchekeshwa siyo,tundu lisu ana akili lakin ana jazba sana hafai
...you got it bra....pamoja na quality zote za Lissu..haya uliyoweka hapa ni nyongeza pia....thanks..CHADEMA msije mkafanya kosa la kumsimamisha mgombea mwingine zaidi ya Lissu kwasababu,Kwa mfano Dr Slaa anaweza kiongozi mzuri sana wa nchi hii lakini tatizo linakuja je anachagulika?Tayari inajulikana kabisa Dr Slaa anaweza kuzikosa kura za Watanzania wa imani nyingine.Ni dhahiri hakuna atakaueweza kushinda urais kwa kutegemea kura za watu wa imani moja tu.Hapo ndipo Tundu Lissu anapotokea kuwa mgombea salama kidogo kwani misimamo yake ya kisiasa imetokea kuwakuna Watanzania wa imani nyingine pia hivyo ana uhakika wa kupata kura kutoka upande huo pia.Lissu ni kijana na ni msomi anaweza kuwavutia vijana wengi kwenda kupiga kura kwa wingi.Lissu ana mwonekano hii inaweza kumsaidia kupata kura za wanawake pia.Fikiria CCM wakimsimamisha Pinda kama mgombea wao wa urais na UKAWA wakamsimamisha Lissu nini kitatokea.
Hapo naungana na wewe mkuu!!!Umejenga hoja japo sina hakika km TL ni president material kwa sasa. Mimi namwona km AG. Asante mkuu meningitis
Kwani Lisu kamaliza dawa zake?
Wala usipoteze muda wako kuhangaika na huyu zao la escrow.Kwa hoja dhaifu sana kama hii tushajua unatoka upande gan na wala hatusumbuki kukujibu mana haina mashiko!!
Umejenga hoja japo sina hakika km TL ni president material kwa sasa. Mimi namwona km AG. Asante mkuu meningitis
lisu ni kiongozi mzuri sana but anafaa awe MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI uraisi hatouweza yupo strict sana na raisi anatakiwa awe flexible sometime.
katika maamuzi namfananisha na magufuli kabisa but even magufuli awezi kuwa raisi kutokana na kuwa na kaliba zinazofanana.
doctor slaaa
lipumba.
mbowe.
lowasa
kidogo wanaweza kuvaa hivyo viatu ya uraisi wa TZ
Alimtukana baba wa taifa bungeni, toka siku hiyo nimemdharau kabisa.
Tundu Lissu ana advantage nyingi sana,ni handsome pia,akina mama wanapenda ma_handsome boy.Hicho ndicho kilichomsaidia JK,Ila Lissu ana akili
Tundu lissu uyuu jamaa anajua siasa na pia anamsimamo sana. Tundu lisu ni sawa na wabunge 20 wa CCM. Ukawa tuendelee kutafuta majembe zaidi kama LISU.