Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,659
Muungano huanzia mioyoni mwa wanaoungana. Huwezi kuunganisha watu bila kuwapa faida zao za kuungana. Unapaswa kuwaambia hao watu watafaidikaje na muungano na uwasikilize wao wakupe aina ya muungano wanaoutaka na sio ule watawala wanaoutaka wao kwa maslahi yao. Muungano wowote ni lazima pande zote mbili zinufaike na kuungana kwao. Huwez sema muungano sio suala la kupata haki sawa sasa huo utakuwa muungano wa viongoz wachache kwa maslahi yao na sio wa watawaliwa yani wana nchi. Unahitaji uelewa kwenye swala la muungano wew. Hoja za kuwa taifa kubwa bila wananchi wake kuridhia ni ulaghai wa watawala. Upo hapo?
Wewe kama Binaadamu hutakiwi kujiconfine kwenye kajigraphia Fulani na kukafanya kama mungu wako, open up your mind. unaweza kuishi sehemu yoyote ile unayotaka wewe, lakini ukumbuke hauwezi kuwa confortable kuishi kwenye ka nchi dhaifu
Swala la Muungano sio swala la haki ya binaadamu,Leo tunaenda kupiga kura juu ya katiba na swala la muungano likiwemo, wale wenye umri chini ya miaka 18 hawapigi kura, una uhakika gani matakwa yao tutayazingatia.
wakikua wakasema tubadilishe tutafanyaje?
Tunataka mtu atakaye tuongoza kwenye hili,Kama alivyofanya Nyerere sio mtu mwenye hoja nyiiiiingi kwenye jambo moja kama Lissu.