Elections 2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

Elections 2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

Ni wapi na lini Tundu Lissu alitukana?
Kwa nini hakuchukuliwa hatua?

Tusiwe waoga na tusilete propaganda za kitoto.

Alimtukana baba wa taifa bungeni, toka siku hiyo nimemdharau kabisa.
 
Hivi hatuwezi kupata Rais kama Kagame wa rwanda ?? au tumuombe aje bongo hata mwaka mmoja tu,tu outsource Rais.... maana hii nchi isha fail..ni dhahiri.

viongozi hawana uzalendo
wezi wa mali ya umma wanateteana
rais ndo ivo tena..hata hamu ya kumskiliza hakuna...
hadi panya road wanaweza kusimamisha shughuli za jiji....ha ha ha (polisi,usalama wa taifa na vyombo vya dola vipo)
n.k yani ni shakala baghala ...hakuna uongozi
 
Mkuu usijifanye hujui google au nenda youtube utaona
 
Lisu atasababisha tukose misaada, hana lugha nzuri kwa wawekezaji.
 
Nikweli kabisa kuwa Lissu ni mzuri na anaweza kushinda, lakini anahitaji kuendelea na ubunge miaka mingine mitano au kumi ili ubunge 'UZIDI KUMPIGA MSASA'!
NB: HATA BABA WA TAIFA ILIKIRI HATARI YA MAAMUZI YA VIONGOZI VIJANA, AKIWEMO NA YEYE MWENYEWE WAKATI WA KUPATA UHURU!
(MIMI NI GAMBA KWAHIYO UKIPENDA USHAURI WANGU CHUKUA..............!)
 
Hakyanani Tundu Lissu akiwa Rais Jk lazima aombe hifadhi ya ukimbizi!
 
Lisu atasababisha tukose misaada, hana lugha nzuri kwa wawekezaji.

Naona umechanganya mambo hapa.

Misaada hutolewa na wahisani!na kama unafuatilia basi utajua kwa sasa tumenyimwa misaada kwa kuwa tunawachekea mafisadi.Kamwe lissu hatakuwa na kauli njema kwa mafisadi.

Wawekezaji ni wale wanaokuja na mitaji yao ili kufanya biashara na hatimaye kutuachia japo na sisi kidogo.

Lissu alishajipambanua wazi wazi kuwa hatavumilia wawekezaji wanaokuja kuvunja nyumba za masikini kwa kisingizio cha uwekezaji.
Kama wawekezaji tunaowaongelea ni hawa wachina wachoma mahindi pale kariakoo basi acha waendezao.
 
Hivi hatuwezi kupata Rais kama Kagame wa rwanda ?? au tumuombe aje bongo hata mwaka mmoja tu,tu outsource Rais.... maana hii nchi isha fail..ni dhahiri.

viongozi hawana uzalendo
wezi wa mali ya umma wanateteana
rais ndo ivo tena..hata hamu ya kumskiliza hakuna...
hadi panya road wanaweza kusimamisha shughuli za jiji....ha ha ha (polisi,usalama wa taifa na vyombo vya dola vipo)
n.k yani ni shakala baghala ...hakuna uongozi

Ninahisi kuwa TL ndiyo anaweza kuja kuwa Kagame wa Tanzania kama tukimpa nafasi
 
Mwaka huu ni wa Singida.

Lakini kati ya Mwigulu, Nyalandu na Lissu, bingwa anajulikana kuwa ni Lissu. UKAWA wakimsimamisha huyu mtu hata mimi nitapiga kura. Kuna jambo watu hawathubutu kulisema - Dr. Slaa amekwishajaribu vya kutosha. Inafaa apumzike kwa sasa japo tunampenda sana.

Nichukieni wa kunichukia lakini ukweli nshasema.
 
Kuna kijana gani ndani ya ccm atakayeweza kusimama na Lissu?

Wapiga kura wengi wa mwaka huu ni vijana nafasi ya mzee iwe kwa UKAWA AU CCM haipo.
Nilidhani Tuntemeke ndiye kaibukia kwenye hii thread.
 
Mwaka huu ni wa Singida.

Lakini kati ya Mwigulu, Nyalandu na Lissu, bingwa anajulikana kuwa ni Lissu. UKAWA wakimsimamisha huyu mtu hata mimi nitapiga kura. Kuna jambo watu hawathubutu kulisema - Dr. Slaa amekwishajaribu vya kutosha. Inafaa apumzike kwa sasa japo tunampenda sana.

Nichukieni wa kunichukia lakini ukweli nshasema.
View attachment 216680
 
Back
Top Bottom