Elections 2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

Elections 2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

Nadharia tu! Hoja za kufikirika. Umeshajihoji kuhusu nguvu za hao unaotaka apambane nao?
Kwani wanahitajika mafia wangapi kum"silence" pale atakapoanza kutia "vizibo" kwenye chupa za kifisadi?
Ama unadharau vijisenti vilivyopo uswisi?
Ukombozi wa nchi hii utapatikana ccm tu! Penda usipende. Endapo tu atakaa kiongozi mwenye ushawishi wa kubadili hali iliyopo, na si minguvu.
 
Hii post itaunganishwa sasa hivi na mods kwenye post nyingine za lisu....sijui ni kwanini? Kuna post niliiweka yenye kichwa' majasiri hawa was mwembeyanga mmoja afaa urais' iliunganishwa post moja yenye nukuu ya gazeti kuwa lisu amekubali kugombea urais ukawa...
 
mkuu shukrani kwa kusema ukweli tupu ingawa ukweli tupu haupendwi sana. Namkubali sana TL.Naomba UKAWA tumtume atuletee ushindi.Hajawahi kutuuangusha, hatatuangusha.
 
Hoja yako imekaa sawa japo kuna sehemu zina mzaa .
Sasa sijui ndio umetumia kuchangamaha thread or vip.

Ila mapendekezo yako bado si sahihi .

Nchi kwa sasa haiitaji kukaa mikononi mwa mtu mwnye janzba nanmwnye miamko.

Tunahitaji busara zaidi kwnye kitu hiki.

Busara ni kosa kubwa sana na litatugharimu vibaya sana.

Mafisadi na mtandao wao hawahitaji approach yenye busara ndani yake,hatuhitaji mtu wa kuogopa kuchukua maamuzi magumu na makali dhidi yao.Fisadi ni zaidi ya shetani mkuu.

Ooh yes...kama unaitaka busara ya lissu basi wewe usiwe fiasadi!

Pia kwa sasa nchi hii ina wajuaji au wasemaji wengi kuliko maelezo.yaani baba ,mama ,watoto na wajukuu wote wameota sharubu na hakuna anayesikilizwa.naamimi tunapoelekea kutakuwa na wajuaji zaidi.Sasa basi ni katika kipindi hiki ndipo unahitaji kiongozi shupavu na kijana mwenye nguvu....mimi si yule anayeamini katika udikteta na hivyo kunifanya kubaki na option ya mjuzi wa sheria anayeweza kusimamia haki na uwajibikaji kikamilifu.

Busara ikaongoze kanisani au msikitini.

Jakaya Kikwete anatumia busara sana ndio maana anawaweka viporo mafisadi.
 
Tundu lisu ni macchine nyingine. Akiwa rais ni lazima hii nchi ikimbie mchakachaka kimaendeleo. Namtamani sana huyu jamaa awe rais ila sema watz wengi hawaoni mbali
 
Mm kimsingi tundu lisu namfananishaga na slaa kwenye maeneo ya msimamo na kuchukia ufisadi na kutaka haki sawa. Tindu lisu ni kama ronaldo wa realy madrid hata wazanzibari wanamuita ronaldo kutokana na kasi yake ya kufikiri na kutenda pia si muoga. Tundu lisu jembe anafaa sana kuwa rais
 
Nadharia tu! Hoja za kufikirika. Umeshajihoji kuhusu nguvu za hao unaotaka apambane nao?
Kwani wanahitajika mafia wangapi kum"silence" pale atakapoanza kutia "vizibo" kwenye chupa za kifisadi?
Ama unadharau vijisenti vilivyopo uswisi?
Ukombozi wa nchi hii utapatikana ccm tu! Penda usipende. Endapo tu atakaa kiongozi mwenye ushawishi wa kubadili hali iliyopo, na si minguvu.

Nashukuru kwa kukubaliana na mimi kwenye jambo muhimu kwamba Mafisadi wana nguvu sana probably to the extent ya kuiweka serikali mfukoni!

Kuna kiongozi gani ndani ya ccm ya leo mwenye ushawishi ndani ya ccm au hata nje ya ccm unahisi anaweza kubadili hali iliyopo?mtaje kwa jina ili tuwe practical!
Hata gamba liliishia kiunoni sembuse Fisadi?

Ninaamini TL ni aina ya kiongozi aliyetayari kuwa "silanced" ikiwa hiyo ndiyo itakuwa gharama ya kueliminate ufisadi.

Umma ukiwa nyuma ya lissu huyo mafia atatafutwa hata kama ni kwa kumfuata huko Italy .
 
Tundu Lissu kinara wa kukwamisha maendeleo Jimboni kwake hadi sasa Singida nzima ina vyumba vya kutosha vya madarasa lakini kwa Tundu Lissu ni aibu tupu.

Maabara mbili tu zilizokamilika tena zimejengwa na World Bank lakini zingine hata msingi haujaanza anasubiri serikali zijenge wakati watoto wake wote wapo International School Dar wakipata elimu bora.

Kahamasisha wananchi kufukia visima vya Maji kule Londoni hadi leo maji ni adha kubwa kwa wananchi wake yeye akiendelea kunywa maji ya Kilimanjaro na kuoga maji ya shower ya Ruvu Juu.
 
Wanajamvi habarini!

Pamoja sana mkuu. mie ni miongoni mwa watu ambao napenda Tundu lisu awe president lkn nawaza kuwa kwakutojua sheria maccm yatamiss sana huyu jamaa bungeni maana hiki ni kichwa.

huyu jamaa amekuwa muongoza ndani na nje ya Bunge. Bila hiki kichwa bunge hakuna kaka.
 
Lakini watu wote wa Singida tunajua kuwa Tundu Lissu ni mgonjwa wa Kichaa kwa hivyo hatushangai kwa lolote
 
Tundu lisu ni macchine nyingine. Akiwa rais ni lazima hii nchi ikimbie mchakachaka kimaendeleo. Namtamani sana huyu jamaa awe rais ila sema watz wengi hawaoni mbali

naona mwaka huu kuna uwezkano Singapore kwa watani zangu kutoa rais! alianza Mwigulu, then Nyalandu na sasa Tundu Lisu! well all the best wajukuu zangu!!!
 
Tundu Lissu kinara wa kukwamisha maendeleo Jimboni kwake hadi sasa Singida nzima ina vyumba vya kutosha vya madarasa lakini kwa Tundu Lissu ni aibu tupu.

Maabara mbili tu zilizokamilika tena zimejengwa na World Bank lakini zingine hata msingi haujaanza anasubiri serikali zijenge wakati watoto wake wote wapo International School Dar wakipata elimu bora.

Kahamasisha wananchi kufukia visima vya Maji kule Londoni hadi leo maji ni adha kubwa kwa wananchi wake yeye akiendelea kunywa maji ya Kilimanjaro na kuoga maji ya shower ya Ruvu Juu.
kinambeu kuna maendeleo gani?sehemu gani ya tanzania imeendelea?
 
Acha kupata urais, la hasha awe ni mgombea tu migodi lazima ifungwe na mafisadi lazima waombe uhifadhi wa kisiasa nje ya nchi........
 
Back
Top Bottom