NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
Wewe mwenye timu stronger ulifika wapi??Yanga ni dhaifu tena sana.
Champions alikutana na Al hilal ya Ibenge yenye washambuliaji butu mwendo ukaisha hapo sikwambii Wydad,Al ahly au Raja ingekuaje.
Sasa wenzao walishagomea mechi ya final,yeye anaona njia sahihi ni kuandika kwenye social media haisadii kitu VAR inagoma.kufanya Kazi kwenye mechi ya Jana alafu viongozi wako pale mm nadhani ilitakiwa ichukulir hatua kubwa kuliko hii ya kuandika andika.mpira wa kuhuni ndio maana tukienda kwa wanaojua.mpira afrika hatutoboiVimba mwananchiView attachment 2645635
Tena mbele ya kiongozi mkubwa CAF.Sasa wenzao walishagomea mechi ya final,yeye anaona njia sahihi ni kuandika kwenye social media haisadii kitu VAR inagoma.kufanya Kazi kwenye mechi ya Jana alafu viongozi wako pale mm nadhani ilitakiwa ichukulir hatua kubwa kuliko hii ya kuandika andika.mpira wa kuhuni ndio maana tukienda kwa wanaojua.mpira afrika hatutoboi
Mna levo Gani?? Tuanzie hapoUtopolo mnaiwaza mnyama sio level zenu, kugonga mgongwe nyie harafu lawama mpeleke kwa Simba sukari yao
Tuonesheni la kwenu mlilochukua kwa timu yenu imara.Kama si dhaifu si mngerudi na kombe!!
Majinga sana hayo aiseeMapenzi na ushabiki ndivyo vinavyofanya watu waidis yanga .....ila ukweli ni kuwa yanga ni timu kuuuuuuuuuuuubwa.......yanga ni dude kuuuuuuuuuuuubwa
Nani kasema timu yetu ni imara??Tuonesheni la kwenu mlilochukua kwa timu yenu imara.
Mlikuwa kombe gani acha kukaza fuvu,sasa mnakutana na timu zinazoshuka daraja afu kombe hampati,wanaume wapo KLABU BINGWA HAO WENGINE NI TIA MAJI TU.Makolo inauwauma sana kwa kidogo tulichokipata waoo miaka zaid ya mitano wameambulia patupu
Sasa unachobisha hapa na kuisapoti USM AlgerNani kasema timu yetu ni imara??
Malengo ya Simba yalikua ni Yapi??Kupewa medali bila kikombe,medali hizo ni sawa na shanga kiunoni.Lengo la Utopolo lilikuwa ni kuingia group stage ya CAF Champions League wakaangukia pua.Huko kushiriki kwenye Shirikisho ni kujifariji tu.Haikufikia lengo hivyo wamefeli.Kushindwa mtihani wa form six urudishwe form four ni kufeli kwa sababu lengo ni kufaulu ushiriki na wakubwa.
Maji kwenye kifuu chungu kaona ni bahari.