Ni Uchawi tu huo! Benard Morrison kimbia haraka kwa Mwamposa au kwa Kuhani Mussa Richard Mwacha ukaponywe hiyo ngiri ya kichawi

Yanga sasa si waloge wawe mabingwa wa Afrika kabisa, mbona wanaishia kufanya vitu vya kitoto tu, anyway ndio tabia za wachawi zilivyo siku zote hawapendi maendeleo ya wengine kwasababu wao wameshazoea kuishi kwenye vibanda vilivyochoka.
Vipi mlipolala makaburini na mapaka mlikuwa mnafanyaje?
 
Haya wale ambao huwa mnasema hakuna uchawi kwenye soka (au uchawi hauna msaada na athari zozote kwenye soka) mko wapi?

Kuna siku nilichangia uzi fulani nikaelezea jinsi ambavyo kuna timu zimekuwa zinashinda game zao kwa kupitia ushirikiana, kuna watu walinipinga na hata kunitukana. Ila cha ajabu kwenye uzi huu wanakubali kuwa Morrison kapigwa 'misumari', au wanafikiri 'misumari' ni nini kama si uchawi?

Mlionipinga nawaona na IDs zenu jinsi mnavyokubali leo kuwa uchawi kwenye soka upo.
 
Mbona jana alikuwa anakipiga?
 
Sisi yangu msituhusishe na maradhi ya huyo Morrison wenu, muunganishe na mshanajr au ramekms wamsadie
 

taja majina yako kamili na namba zako za simu halafu utamke maneno yako kuhusu hao manabii. Utapigwa na kimbunga kikali kutoka Mwenge Mpakani wewe!!! . Shauri yako mkuu...
 
Hizo ni porojo tu kama porojo zingine hakuna uchawi wala mavi yake uchawi. Na wala hajatupiwa chochote, utopolo de corona fc wanajifariji tu
Wanaoeneza habari za uchawi ni Simba, nashindwa kuamini kama wapo serious wanaamini hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…